Roma: Boss Ruge amehangaika na sisi kuanzia asubuhi mpaka sasa tupo pamoja naye

Roma: Boss Ruge amehangaika na sisi kuanzia asubuhi mpaka sasa tupo pamoja naye

My take,

Roma anaweza akawa amepigwa biti asiseme alikuwa amefichwa wapi, lakini naamini Ruge ndiye mtu sahihi wa kumuhoji hawa madogo walikuwa wapi??

Kama alihangaika nao kuanzia asubuhi ya Jana mpaka usiku ni wazi kuwa anajua aliwahangaikia wapi na kwa Muda gani. Ruge kwenye hili wewe ndo utasema ukweli.

Ombi:
Ruge Kama utafanya lolote kumuokoa yeyote kwenye hili Tope, Muda ndo uatakaoamua mustakabali wa biashara yako.
[HASHTAG]#kumbukauvamizi[/HASHTAG]
Heading isomeke ".............tupo pamoja nae"


Enheeeeeee, Ruge tena? Hapa huyu dogo atakuwa kahusika na dili Fulani tu la kukamatwa Roma.
 
Hata siwezi kubet. Kuna mambo mengi hapo yanahusika. Huenda wanaogopa kuongea ukweli maana wametishiwa kuuwawa kamawataongea ukweli. Au wanaweza wakawa wamepewa mamilioni ili wasiongee ukweli. Yote hayo yapo. Tusubiri. Ila ROMA ni jasiri sasa tusikilize ujasiri wake atauonesha pua kesho?. Bashite na vibaka wake wataishia kubaya sana. Muda utaamua
Swadakta. Muda utaongea.
Mwisho wa ubaya aibu.
Kama watakuwa wameshiriki..... Imekula kwa Wengi.
 
Hiki ni kizungumkuti. Jambo limejisokota hata halieleweki. Ngoja tusubiri hiyo Jumatatu tusikie.
 
Nlipata mstuko na Roma alikuwa anasema bila kuficha anamshukuru ruge I was ruge? How mbona boss wake wa tongwe sio ruge.....nikasema kuna picha kubwa nyuma ya pazia

Polisi inabidi kwanza imshikilie huyo anayedai ndo Boss wake (Ruge)anajua kila kitu mpango wote WaTz wasitufanye wapuuzi na nakumbuka hata swala la Mh.makonda la clouds walivujisha video moja akiwa anaingia ila hawakutoa video ya ndani kutuonesha nini kilikuwa kinafanyika..
 
Roma: "Boss Ruge amehangaika na sisi kuanzia asubuhi
mpaka sasa yupo pamoja nasi" kwa maana hiyo walikua wote huko walikokua? kama hawakua wote alijuaje kama Ruge alikua anahangaika nao tangu asubuhi?

Ukirejea kauli ya Makonda "kabla ya J2 Roma na wenzake watapatikna" means alikua anajua walipo.

Makonda na Ruge sasa hivi ni maadui....najaribu kuunganisha dots hpa napata shida sana kuelewa nani Stelingi nani jambazi....!

[HASHTAG]#AchaNikaeKimya[/HASHTAG]
 
Inawezekana Bashite katengeneza huo Mchezo ili suspect wa kwanza awe Ruge wapate pa kumfanyizia Kama Manji!

Kama Mtu wa kwanza kupigiwa Simu na kufika eneo la Tukio alikuwa Boss Ruge na si boss wa Tongwe records Basi hapo Ruge bila ya kujijua kishaingia kwny 18 za Makonda maana watajifanya kumtikisa Kama Shahidi/ Mtuhumiwa wa Tukio
Ruge hkuenda tongwe,aliend kituo cha polis oysterbay
 
My take,

Roma anaweza akawa amepigwa biti asiseme alikuwa amefichwa wapi, lakini naamini Ruge ndiye mtu sahihi wa kumuhoji hawa madogo walikuwa wapi??

Kama alihangaika nao kuanzia asubuhi ya Jana mpaka usiku ni wazi kuwa anajua aliwahangaikia wapi na kwa Muda gani. Ruge kwenye hili wewe ndo utasema ukweli.

Ombi:
Ruge Kama utafanya lolote kumuokoa yeyote kwenye hili Tope, Muda ndo uatakaoamua mustakabali wa biashara yako.
[HASHTAG]#kumbukauvamizi[/HASHTAG]
Heading isomeke ".............tupo pamoja nae"
Mkuu, kwa hiyo Ruge anapaswa kuwa ndani akiisaidia police. Kwamba inawezekana yeye ndo mhusika mkuu ambae alisuka huu mpango Mzima ili kumchafua mtu fulan lakin issue imebuma,

Sisi tueleweje sasa kama mtu amepotea kwa kutekwa kias kuwa vyombo vya dola havijui alipo then kumbe kuna mtu alikuwa anajua walipokuwa watekwaji na alikuwa anahangaika nao siku Mzima, kivip yaan. Hiyo inawezekanaje yaan. How??

Hawa drug dealers wasitufanye sis kuwa mbumbumbu tusioweza Ku reason mambo. Watu wanawezaje kutekwa, watu wazima then, warudi wakiwa wazima halafu et kuwa kuna mtu mmoja alikuwa anahangaika nao.

Kwanza mwanzon tuliambiwa kuwa Simu ya Roma nilikuwa inaita na whatsapp alikuwa anaonekana yuko online, inawezekana vipi mtu yuko mikonon mwa watekaji halafu anaonekana anachat on line.

Ruge aseme wazi kuwa anahusika vipi na watekaji. Alijuaje kuwa akina Roma walipokuwa. Alikuwa ananegotiate nini na watekaji. Watekaji walikuwa wanataka nn.

Msitufanye sisi hatuna akili, kule Kongo kuna mtanzania ametekwa na watekaji wamesema wazi kuwa wanataka dola million moja. Akina ruge wanafanya michezo ya kitoto
Kwahiyo Ruge anawajua watekaji...Haya ngoja tusubili hiyo jumatatu..
 
Ukweli huu utakuudhi, kwani sivyo unavyofikikir.Ila usiwaponde [emoji16]
 
Hata siwezi kubet. Kuna mambo mengi hapo yanahusika. Huenda wanaogopa kuongea ukweli maana wametishiwa kuuwawa kamawataongea ukweli. Au wanaweza wakawa wamepewa mamilioni ili wasiongee ukweli. Yote hayo yapo. Tusubiri. Ila ROMA ni jasiri sasa tusikilize ujasiri wake atauonesha pua kesho?. Bashite na vibaka wake wataishia kubaya sana. Muda utaamua
wanaume tunakuaga majasiri kabla hatujapata familia na wategemezi
 
Siku zote watu wanalalamika humu JF juu ya involvement ya Ruge (Clouds Media) kusambaratisha wasanii wa fleva kwa kuwatumia kama mapunda wao. Wakikuchoka wanakulostisha kwa njia zao, mbona marehemu Ngwea aliwachonga sana hawa jamaa? Ruge akamatwe na ahojiwe, huyu si mtu poa hata kidogo.....ni jangili kiaina.....wasanii wengi wanamlalamikia chini chini kuhofia maisha yao na kulostishwa kisanii.

Clouds sio TBC kwanini ukadhulumiwe Wakati zipo Radio nyingi? Ndo Yale Yale ya Bashite kulalamika kwanini Hawajarusha 'kipindi' chake!!
 
jamaa nilimuona yupo hoi anachechemea inawezekana wamempa kipondo cha haja halafu anaongea kama amerukwa akili kimtindo wasije kua wamembusti kiaina
 
Back
Top Bottom