Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa anamaanisha kuwa ukiwa tajiri huogopi mamlaka?Kazi hipo!.
hizi shutuma nzito sana kwa mahakama Yetu.inabidi ajieleze kama ana ushahidi.ameonyesha kuwa Tanzania hamna haki unayoweza kupata kupitia mahakama zetu.pia siyo sawa kwa serikali yetuBilionea Rostam ameamua kumwaga upupu ili waliomo ndani wajitokeze.
Ametoa shutuma kubwa ambazo wahusika inabidi wajitokeze kukanusha ili kuweka mambo sawa.
Je huu mchezo kuna msimamizi nyuma ya pazia?
View attachment 2672588
Jamaa anamaanisha kuwa ukiwa tajiri huogopi mamlaka?
Kwahiyo na yeye hana imani na mhimili wake, anasema Kisutu mtu anampigia Jaji... hii ni dhahiri sasa nchi inatakiwa kusambuliwa isukwe upyaBilionea Rostam ameamua kumwaga upupu ili waliomo ndani wajitokeze.
Ametoa shutuma kubwa ambazo wahusika inabidi wajitokeze kukanusha ili kuweka mambo sawa.
Je huu mchezo kuna msimamizi nyuma ya pazia?
View attachment 2672588
Shida ya wanasiasa wanaamua kumislead watu kwa faida yao wenyewe.Bilionea Rostam ameamua kumwaga upupu ili waliomo ndani wajitokeze.
Ametoa shutuma kubwa ambazo wahusika inabidi wajitokeze kukanusha ili kuweka mambo sawa.
Je huu mchezo kuna msimamizi nyuma ya pazia?
View attachment 2672588
Ukiona panya wanajivinjari bila wasiwasi wowote, ujue wanajua paka alipo!.Bilionea Rostam ameamua kumwaga upupu ili waliomo ndani wajitokeze.
Ametoa shutuma kubwa ambazo wahusika inabidi wajitokeze kukanusha ili kuweka mambo sawa.
Je huu mchezo kuna msimamizi nyuma ya pazia?
View attachment 2672588
Nimekuelewa brother na ukimkuta ngedere mjini ujue kuna aliyemleta mjiniUkiona panya wanajibinjari bila wasiwasi wowote, ujue wanajua paka alipo!.
P
Hakuna namna ya kuwagusa hao wadudu wote uliowatajaFamilia ambayo haina Baba Imara mtoto anabweka, Mama anabweka Wajukuuu wanabweka, Wageni wanabweka baaasi ni tafrani. Lkn familia yenye baba imara hakuna sauti isikayo nje ya boma kuzidi ile ya Baba!
Tanzania Nchi yangu niliahidi kukulinda kwa Jasho na Damu lakini kuna Panya, Viroboto, Utitiri, Kupe, Inzi wanaunguruma na kukuzengea na HAUNA MKONO WA KUPANGUSA HAWA PARASITE.... Hakika hawa Parasite umefika wakati wa kuwapangusa!
Sasa tufanyeje na anayafanya hayo kwa manufaa ya nani na nani anamlinda?Shida ya wanasiasa wanaamua kumislead watu kwa faida yao wenyewe.
Arbitration hata Mimi naweza nikaitumia na Mmatumbi mwenzangu, kutatua migogoro yetu na katika mkataba tukaamua migogoro ikasikilizwe Ghana...
Ni kitu kidogo sana sema ameweka siasa na kutaka kugusa hisia za wasiojua hayo mambo.