Rostam Aziz: Hakuna mwekezaji atakubali kuwekeza halafu umwambie aende Mahakama ya Kisutu ambapo Majaji wanaweza kupigiwa simu na watu wa Serikali

Rostam Aziz: Hakuna mwekezaji atakubali kuwekeza halafu umwambie aende Mahakama ya Kisutu ambapo Majaji wanaweza kupigiwa simu na watu wa Serikali

View attachment 2678094
"Kwanini wanaenda court ya kimataifa na sio hapa nchini? hiyo ni sheria ambayo hauwezi kupata muwekezaji. Hamna muwekezaji atakuja hapa kuwekeza pesa zake halafu kesho unamwambia aende kisutu, Kisutu ambapo mtu yeyote wa Serikali anaweza kumpigia simu jaji akamwambia huyo usimpe hukumu hiyo, usimpe haki yake"

"Nani atakubali kiuwekeza kama halindwi na Sheria za kimataifa, hawezi kuja mtu hapa. Watakuja watu wachina kuleta vitu vidogo vidogo lakini biashara kubwa zinaangalia pia ulinzi wa mali yao. Na ulinzi wa mali zao lazima uendane na sheria za kimataifa, na sheria za kimataifa zinasema hiyo ndio misingi ya kuwekeza"

"Mimi ningekuwa mwekezaji wa nje, halafu nikija unaniambia niwekeze kwa dola bilioni 1, halafu nikipata matatizo niende kisutu siwezi kuleta hela yangu hapa"

Rostam Aziz
Juni 26, 2023

Kauli iliyotolewa jana na mfanyabiashara Rostam Aziz juuu ya Mahakama za Tanzania ni tusi kubwa sana kwa Viongozi wote wa serikali.

=====

UPDATES;

=====

Rostam Aziz atakiwa kutoa ushahidi au kukanusha habari hii kwa uzito uleule.

Zaidi soma;
Yametimia
 
View attachment 2678094
"Kwanini wanaenda court ya kimataifa na sio hapa nchini? hiyo ni sheria ambayo hauwezi kupata muwekezaji. Hamna muwekezaji atakuja hapa kuwekeza pesa zake halafu kesho unamwambia aende kisutu, Kisutu ambapo mtu yeyote wa Serikali anaweza kumpigia simu jaji akamwambia huyo usimpe hukumu hiyo, usimpe haki yake"

"Nani atakubali kiuwekeza kama halindwi na Sheria za kimataifa, hawezi kuja mtu hapa. Watakuja watu wachina kuleta vitu vidogo vidogo lakini biashara kubwa zinaangalia pia ulinzi wa mali yao. Na ulinzi wa mali zao lazima uendane na sheria za kimataifa, na sheria za kimataifa zinasema hiyo ndio misingi ya kuwekeza"

"Mimi ningekuwa mwekezaji wa nje, halafu nikija unaniambia niwekeze kwa dola bilioni 1, halafu nikipata matatizo niende kisutu siwezi kuleta hela yangu hapa"

Rostam Aziz
Juni 26, 2023

Kauli iliyotolewa jana na mfanyabiashara Rostam Aziz juuu ya Mahakama za Tanzania ni tusi kubwa sana kwa Viongozi wote wa serikali.

=====

UPDATES;

=====

Rostam Aziz atakiwa kutoa ushahidi au kukanusha habari hii kwa uzito uleule.

Zaidi soma;
Kasema kweli mfano dangote aliwahi sema akiwa na matajiri wenzie huko uzunguni hivi Tanzania ni nchi hatari kwa wawekezaji
 
Huyu bwana pamoja na kuandamwa na tuhuma za ufisadi kutoka kwa wapinzani, kuna siku alisema jambo kuhusu mahakama zetu na majaji wa mahakama hizo(sitaki kurudia kwani naweza nisimnukuu sawasawa).

Sasa kwa hukumu ya kesi leo huko Mbeya kuhusu uwekezaji wa DP WORLD; je, ndio kutimia kwa maneno ya Rostam ingawa nasikia aliomba radhi kwa matamshi yake?
Mahakama zote ziko hivyo. Hata hizo mahakama za nje za mabepari zipo kwa ajili ya kulinda masilahi ya serikali za mapepari. Kesi zako ukizipeleka huko kwao lazima utanyolewa, nao vile vile kesi zao wakizileta huku kwetu lazima watanyolewa. Sisi tunachagua kwenda kunyolewa tunapoporwa rasilimali zetu. Wao hawataki tuwanyoe wanapotupora rasilimali zetu. Tuna akili kweli? Lazima tuzinduke!
 
View attachment 2678094
"Kwanini wanaenda court ya kimataifa na sio hapa nchini? hiyo ni sheria ambayo hauwezi kupata muwekezaji. Hamna muwekezaji atakuja hapa kuwekeza pesa zake halafu kesho unamwambia aende kisutu, Kisutu ambapo mtu yeyote wa Serikali anaweza kumpigia simu jaji akamwambia huyo usimpe hukumu hiyo, usimpe haki yake"

"Nani atakubali kiuwekeza kama halindwi na Sheria za kimataifa, hawezi kuja mtu hapa. Watakuja watu wachina kuleta vitu vidogo vidogo lakini biashara kubwa zinaangalia pia ulinzi wa mali yao. Na ulinzi wa mali zao lazima uendane na sheria za kimataifa, na sheria za kimataifa zinasema hiyo ndio misingi ya kuwekeza"

"Mimi ningekuwa mwekezaji wa nje, halafu nikija unaniambia niwekeze kwa dola bilioni 1, halafu nikipata matatizo niende kisutu siwezi kuleta hela yangu hapa"

Rostam Aziz
Juni 26, 2023

Kauli iliyotolewa jana na mfanyabiashara Rostam Aziz juuu ya Mahakama za Tanzania ni tusi kubwa sana kwa Viongozi wote wa serikali.

=====

UPDATES;

=====

Rostam Aziz atakiwa kutoa ushahidi au kukanusha habari hii kwa uzito uleule.

Zaidi soma;
Watu wanasahau magu alisema hivi serikali ni miimili 3 lakini muimili 1 imejichimbia chini kuliko hiyo 2 nini maana yake,mbona majaji na sipika hawakutoka hadharani kumwambia aombe radhi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Alichosema ni ukweli mchungu ambao unagusa karibu nchi zote za Afrika isipokuwa nchi chache sana, e.g. South Africa.
Mahakama zetu wenzetu wa Magharibi wanaziita "Kangaroo Courts", kiasi kwamba haziaminiki kabisa.
Bora uamini wazee wa kimila huwa wanatenda haki na siyo hizi mahakama za mchongo, upatikanaji wa mahakimu/majaji ni wa mchongo hauko huru
 
Rostam ulimi haukuteleza sema hana tu huo muda wa hide and seek na majaji ila ndiyo ukweli wenyewe.
 
Ndio ukweli wenyewe huo.Bila shaka wahusika watakurupuka huko kuja kukanusha na kupayuka badala ya kujibu hoja
 
"Kwanini wanaenda court ya kimataifa na sio hapa nchini? hiyo ni sheria ambayo hauwezi kupata muwekezaji. Hamna muwekezaji atakuja hapa kuwekeza pesa zake halafu kesho unamwambia aende kisutu, Kisutu ambapo mtu yeyote wa Serikali anaweza kumpigia simu jaji akamwambia huyo usimpe hukumu hiyo, usimpe haki yake"

"Nani atakubali kiuwekeza kama halindwi na Sheria za kimataifa, hawezi kuja mtu hapa. Watakuja watu wachina kuleta vitu vidogo vidogo lakini biashara kubwa zinaangalia pia ulinzi wa mali yao. Na ulinzi wa mali zao lazima uendane na sheria za kimataifa, na sheria za kimataifa zinasema hiyo ndio misingi ya kuwekeza"

"Mimi ningekuwa mwekezaji wa nje, halafu nikija unaniambia niwekeze kwa dola bilioni 1, halafu nikipata matatizo niende kisutu siwezi kuleta hela yangu hapa"

Rostam Aziz
Juni 26, 2023

Kauli iliyotolewa jana na mfanyabiashara Rostam Aziz juuu ya Mahakama za Tanzania ni tusi kubwa sana kwa Viongozi wote wa serikali.

=====

UPDATES;

=====

Rostam Aziz atakiwa kutoa ushahidi au kukanusha habari hii kwa uzito uleule.

Zaidi soma;
Nakazia Mahakama zetu takataka.
 
Huu ndiyo ukweli mtakatifu mahakama haziko huru nchi hii bali ni kitengo cha sheria cha serikali. Rais anaweza kufanya lo lote hata kuinyima fedha za kuendeshea shughuli za mahakama na hakuna atakachofanywa!
Inasikitisha sana
 
"Kwanini wanaenda court ya kimataifa na sio hapa nchini? hiyo ni sheria ambayo hauwezi kupata muwekezaji. Hamna muwekezaji atakuja hapa kuwekeza pesa zake halafu kesho unamwambia aende kisutu, Kisutu ambapo mtu yeyote wa Serikali anaweza kumpigia simu jaji akamwambia huyo usimpe hukumu hiyo, usimpe haki yake"

"Nani atakubali kiuwekeza kama halindwi na Sheria za kimataifa, hawezi kuja mtu hapa. Watakuja watu wachina kuleta vitu vidogo vidogo lakini biashara kubwa zinaangalia pia ulinzi wa mali yao. Na ulinzi wa mali zao lazima uendane na sheria za kimataifa, na sheria za kimataifa zinasema hiyo ndio misingi ya kuwekeza"

"Mimi ningekuwa mwekezaji wa nje, halafu nikija unaniambia niwekeze kwa dola bilioni 1, halafu nikipata matatizo niende kisutu siwezi kuleta hela yangu hapa"

Rostam Aziz
Juni 26, 2023

Kauli iliyotolewa jana na mfanyabiashara Rostam Aziz juuu ya Mahakama za Tanzania ni tusi kubwa sana kwa Viongozi wote wa serikali.

=====

UPDATES;

=====

Rostam Aziz atakiwa kutoa ushahidi au kukanusha habari hii kwa uzito uleule.

Zaidi soma;
Yuko Sahihi. Na Tusitegemee uwekezaji mkubwa hapa nchini Ikiwa Mahakama si chombo huru. Angalia Mahakama za Kenya Rais Hafurukuti
 
Simu moja tu hakimu anapindisha hukumu.
 
Back
Top Bottom