RRRR ya Rais Samia Watanzania wengi wanaoishi kimazoea hawatoielewa haraka

Mkuu; naomba nikiri kwamba sijasoma hayo mambo. Naomba msaada.
 
Umeandika maneno mengi lakini unazunguka hapo hapo. Rudi darasani tena
 
A
Umeuliza maswali .matatu kwa mkupuo. Kwenye nyanja za elimu huo unaitwa ujinga. Ndivyo mwalimu wako alivyokufundisha? Au Sunday school?

Yachambuwe uulize moja moja, nikujibu, ndiyo kuelimika.
Ahahahahaha! Acha kutumia fallacical argument. Ningekuheshimu sana kama ungeweza kujibu nilichouliza. Kwa majibu yako, nimekudharau na sitahangaika na wewe maana sisumbukagi na wajinga! Kumbuka msemo wangu kwako; "...Usiwe kama mshumaa ambao unawaka huku ukiteketea..."! (Rais Mwinyi 1985 - 2005) Ahahahahaha!!!
 
Boss andika kiswahili tu, naona unakipenda kiingereza, lakini kiingereza hakikutaki kabisa.
Andika wewe hicho Kingereza chako. Andika hivi, Mimi Tindo Lissu na Chama changu sitokuja kushika nyadhifa yeyote ile ya Kuchaguliwa Tanzania hii, Kamwe.

Na usishahau, vilevile, Uzi huu sio uzi wa kupimana Kiingereza. Punguza hasira na Visasi wewe.
 

[emoji706][emoji706]
 
TRA.
 
Andika wewe hicho Kingereza chako. Andika hivi, Mimi Tindo Lissu na Chama changu sitokuja kushika nyadhifa yeyote ile ya Kuchaguliwa Tanzania hii, Kamwe.

Na usishahau, vilevile, Uzi huu sio uzi wa kupimana Kiingereza. Punguza hasira na Visasi wewe.
Your English is not good, and your Swahili is not even better.
 
Khahhh
 
Sijasomea chochote ila ni mjasiriamali ninayejitambua.
Hakuna asiyekuwa na akili za kuzaliwa.

Mbona umeweka maneno yako kwenye post yangu? Itumie akili yako vizuri, karekebishe ulipoharibu (Reform).
 
Hakuna mwenye misuli wala ubavu wa kuiuza nchi hii. = Mama Samia.
 
Kiongozi kudhaniwa tu ni mla Rushwa kunashusha heshima yake mbele ya jamii katika maisha yake yote.

Inabaki kujikaza tu na kukaa kimya.

"Watu wakikuangalia machoni waone kabisa hakuna dalili ya Rushwa"
Mwalimu J.K.Nyerere.
 
Kiongozi kudhaniwa tu ni mla Rushwa kunashusha heshima yake mbele ya jamii katika maisha yake yote.

Inabaki kujikaza tu na kukaa kimya.

"Watu wakikuangalia machoni waone kabisa hakuna dalili ya Rushwa"
Mwalimu J.K.Nyerere.
Hilo linatokana na tatizo la Watanzania la miaka mingi. Ujinga.

Dhanna ni haramu.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu mkikutana lazima akugonge na baiskeli yake!
 
R- Rushwa
R- Retailing
R- Recycling
R- Roaming
Hilo lako ni tatizo kubwa sana la Watanzania na Waafrika kwa ujumla, nilishawahi kuandika kuhusu hayo, jisome:


 
Mbona hujamalizia!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…