warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Yani bora umeamua kuweka hyo roho yako ya paka nyuma , maana kitu ambacho kingekutokea usingeamini macho yako, hizo show zake za Mia mbili ungepiga na kujisikiliza mwenyewe. Naona michambo ya juzi umeipata na imekuingia haswa, maana hii Tanzania ungeiona chungu, yani Leo nimekupenda upya huyu Ndo lady jaydee tunayemtaka, utawekaje bifu na marehemu? Tena ambaye alikusaidia mpaka ukawa lady jaydee, yani bora umejisalimisha, maana watu wangekuogopa kabisa , maana hata wachawi wakiua wanaenda kujinafikisha msibani Sasa wewe sijui tungeikuita nani .
Safi sana kusikia umeenda kumzika boss wako, yani hapa roho kwatu, na nyie mbwa mliokua mnapiga kelele kushadadia naona yamewashuka leo mxiew mbwa zenu nyie kazi ku support ujinga tu , hata mwenzenu kaenda semeni Tena mxieew . Ila juzi nilikuchamba shost . Sikukubakisha hata mxiew mie Ndo warumi [emoji16], haya nisamehe bure nimerudi kuwa Shabiki yako kama zamani
Mimi sio team mavi mavi, boss akikosea unasifia kila kitu , hapa unapata michambo vizuri yani tena kama sijawahi kukujua. Sitakagi ushabiki wa kishamba Mimi .
Haya useme tena you don't care mxieww , Leo commando kawa kama piliton🤣
Sent from my iPhone using JamiiForums
Safi sana kusikia umeenda kumzika boss wako, yani hapa roho kwatu, na nyie mbwa mliokua mnapiga kelele kushadadia naona yamewashuka leo mxiew mbwa zenu nyie kazi ku support ujinga tu , hata mwenzenu kaenda semeni Tena mxieew . Ila juzi nilikuchamba shost . Sikukubakisha hata mxiew mie Ndo warumi [emoji16], haya nisamehe bure nimerudi kuwa Shabiki yako kama zamani
Mimi sio team mavi mavi, boss akikosea unasifia kila kitu , hapa unapata michambo vizuri yani tena kama sijawahi kukujua. Sitakagi ushabiki wa kishamba Mimi .
Haya useme tena you don't care mxieww , Leo commando kawa kama piliton🤣
Sent from my iPhone using JamiiForums