britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
- Thread starter
-
- #81
Sawa Mkuu hukuHakika huu ni uchambuzi yakinifu na hizi ni facts& statistics za kujenga hoja ki greater thinker. Asante sana@britanica usikose kunitag mara uendeleapo na uchambuzi wako.
Urus kaboronga mnoooWARUSI WEUSI WA MABWEPANDA HAWAWEZI KUKUELEWA. URUSI BADO TAIFA CHANGA SANA HAWANA UWEZO WA KUSIMAMA VITANI HATA MWAKA MMOJA.
KUNA TAARIFA YA WAJESHI WAO KULA MBWA UKRAINE KWA KUKOSA CHAKULA, WARUSI WEUSI WANAKWAMBIA NI PROPAGANDA.
KUNA TAARIFA YA WAJESHI WAO KULA VYAKULA VILIVYOPITA MUDA WAKE, WATASEMA NI UZUSHI.
WARUSI WA BUZA MNAKWAMA WAPI?? HIVI MNAJUA KUWA URUSI INATEGEMEA KIASI GANI CHA PESA TOKA ULAYA KWA MAUZO YA GESI YAKE??? MNADHANI NA WAO WAKISUSA KUNUNUA GESI UNADHANI URUSI ITAJIENDESHA VIPI??? KIPARA KAPUYANGA SANA
hawa ndio wananchi walio bakia? au wapo msibani?
HakikaNi Mjinga pekee ndio anaweza kuamini Russia anaweza kutunushiana Misuli ya Kiuchumi na USA na EU.
Kwa sababu tunajadiliana humu basi huwa kila mtu yuko tayari kusema kila aina ya hadithi ya kijiweni anayosikia kuhusu Russia badala ya uhalisia.Hakika
ajui sera waliyo itumia wachina kuwafanya US kufungua biashara china na kwa masharti gani... muulize huyo china na EU wana fanya biashara kwa kiwango gani? achilia mbali china na afrika au china na nchi zingine za asia.?Duh mwanangu umeandika kishabiki Sana! China Ni rafiki wa Us? US amemtengeneza China! Miujiza!
Russia Ni adui wa kuchorwa yani mdoli! Miujiza!
Eti Russia anaondoka Kiev kwa push kutoka Kiev! Miujiza mingine!
Nitarudi
That’s itKwa sababu tunajadiliana humu basi huwa kila mtu yuko tayari kusema kila aina ya hadithi ya kijiweni anayosikia kuhusu Russia badala ya uhalisia.
Watu hawajui kuwa Shirika la ndege la Russia lina ndege 10 tu zinazotengenezwa Urusi zingine zote wamekodi au Kununua Marekani na Ulaya.
Mambo haya huyaelewi Kaa kwenye Kahawa tu msimulianeDuh mwanangu umeandika kishabiki Sana! China Ni rafiki wa Us? US amemtengeneza China! Miujiza!
Russia Ni adui wa kuchorwa yani mdoli! Miujiza!
Eti Russia anaondoka Kiev kwa push kutoka Kiev! Miujiza mingine!
Ukraine inaangamia. Mini inazidi kuwa magofu! Raia wenye AK 74 na javelin wanaangamia!
Huruma nawaonea coz wanaopoteza zaidi waukraine!
Wajefya nanguuAcha roho mbaya, ruhusu masikio yako yasikie usichokipenda.
Ndio shida kubwa ya Watanzania..mnapenda kusikia myapendayo.
Kijana una roho mbaya sana mkuuWajefya nanguu
Nani kashindwa mkuu? Je russia ameweza kumueka kibara wake ili aabudu matakwa ya russia??
Russia wamekubali Ulinzi wa Ukraine utakuwa chini ya Nchi kadhaa ikiwemo Turkey ambayo ni member wa NATO... Sasa what's the point ya kuivamia Ukraine in first place?Mpka sasa ukrein imekubali kufwata mapendekezo yote ya russia ikiwa ni kutojiunga na nato na hicho hasa ndicho russia walikuwa wanakitaka,[emoji635]
Inchi ni non living object, hakuna inchi iliyowaingia vitani ila tuna nchi zinapigana.. hiki kibonzo kinatoa picha halisi ya wapiga mapambio wa putin mlivyo.
View attachment 2171699
Sins roho mbaya mkuu mbona, wapi nimekosea mkuu niambie hapahapaKijana una roho mbaya sana mkuu