Ruto, Raila kuelekea Jumatatu, Tanzania tuna mengi ya kujifunza

Ndezipanya kind
 
Wakenya wapo mbali sana ukilinganisha na waTz, kwanza raia wa Kenya walio wengi wanafaham haki zao tofaut na waTz, Tz life inakwenda ilimradi tu, Watawala ndio Miungu na wanaweza hata uza Nchi na Raia wasihoji.

Tunayo safari ndefu sana. Angalia post #20.

Kazi kweli kweli.
 
Sasa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi waliyo nayo wakenya inawasaidia nn?.malalamiko ya uchaguzi hayaishi,

Katiba ya Kenya inahakikisha kuwa mwenye nchi ni mwana nchi. Inawasaidia kuhakikisha hakuna Mungu mtu.

Unafata matakwa ya watu sivyo unakwenda na maji. Hufuati kuna consequences na ikibidi utafurushwa.

Angalia Kwa miungu watu: nchi ni ya walamba asali Kwa raha zao. Kama haturidhiki mlango wazi kuelekea Burundi.

Disgusting!
 
Rutto asijifanye jeuri itamtokea puani...odinga is powerful...wiki ijayo maandamano yakiwa huru bila polisi kuzuia itakuwa ni maandamano makubwa kutokea Africa mashariki

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ajabu bado kuna wajinga wanaopinga uwepo wa Katiba Mpya Tanzania.

Ukitazama mlolongo wa yale yaliyojitokeza siku za karibuni, kuanzia vyombo vya habari kupewa onyo kali kwa kuripoti taarifa za maandamano, navyo kwenda mahakamani kudai haki yao na wakaipata, hii hatua Tanzania bado tuko nayo mbali sana.

Wakenya wametuacha, tuko nyuma yao, hili halina ubishi na yeyote asiyeliona ni kipofu wa macho na akili, bado yupo gizani.
 
HUYU BABU HANA HEKIMA KABISA, HAPO KITAMBO WAZEE NDIYO WALIKUWA NGUZO ZA AMANI, LAKINI NAONA AJABU KABISA KWA MZEE RAO.
 

Andiko zuri la kisomi, great summery... Limegusa maeneo yote Muhimu............
 
Tuipiganie Katiba mpya ndugu zangu. Wenye nchi wananchi tunastahili vilivyo bora.
 

Kwetu wapi pana nafuu? Tunahitaji katiba mpya itakayo hakikisha mwenye nchi ni mwananchi.

Ngoja Baba anyooshe watu hapa tupate somo.
 
Cha moto anakiona je kama:

1. Maandamano ni halali?
2. Live coverage ya media ni guaranteed?
3. Mahakama ni huru hakuna kucheza faulo?
4. Wenye nchi ni wananchi?

Ruto anapumulia machine.

Kama mahakama ni huru, Kwanini Raila aandamane na kudai haki ya kudhurumiwa kwenye uchaguzi na pia na Mahakama hiyo huru na ya haki. Au mmesahau. Tanzania kwa Mtanzania ni the best.
 

Hao wanapndamana Ni wakenya au waluo?
 

We ndo mjinga sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…