Ruto, Raila kuelekea Jumatatu, Tanzania tuna mengi ya kujifunza

Unaishi sehemu Gani tz? Watu hapa wakitaka kuandamana mara nyingi Huwa hawapewi vibali makusudi Ili magari ya maji ya kuwasha na virungu na mabuti vikawahusu wakikaidi!
Hapo ndio mahali askari wanafanyia practice kupiga wajinga
Kuna maandamano karibu nchi tano sita sasa hivi....nionyeshe moja tu ambayo haina polisi na virungu....
!

WaTz wanapenda sana kuandamana ila Katika majaribio yao kulipatikana mabuti na virungu na maji ya washawasha wakanywea na kina
Watanzania hawawezi kuandamana bila ya kuwa na Viongozi. Watanzania hawana hasira na Serikali yao kufika sehemu waseme...tunafanya uasi. Kenya wanafanya uasi kwa sababu ya mambo ya Uchaguzi....na mengineyo waliyoyabandika.
Akwilina walikufa hapo ndo wanachoogopa.
R.I.P Akwilina Na alikuwa mmoja na sio "Walikufa". Jamani mnamtumia sana huyu dada na kampeni zenu mmeshutumu sana Hayati na hili hayupo kujitetea na mmekuwa mstari wa mbele kutoa pongezi, kulikoni?
Haki ya kuandamana tz Iko kwenye makaratasi tu, au kama ni kuunga juhudi ruksa kuandamana mwaka mzima sio kupinga serikali!
Ulitaka haki hiyo iwe wapi? A civil disobedience sio njia ya kutaka katiba. Uandamane ile iwe vipi?
 

Hayasimami kwenye mahakama ya walamba asali lakini si katika mahakama ya wananchi.

Kama hata buyu lilipo hujui Kuna jingine hapa:

Waziri Uweso akisherehea birthday yake nyumbani kwa JK hapa New York, Marekani

Mengine yako Uturuki, UAE, Oman, nk huko.
 
Ndio katiba tunayoitaka.
 

Baada ya katiba mpya nchi itakuwa ya wananchi. Nchi zitaongozwa kwa mujibu wa mahitaji wa wananchi si Kwa mujibu wa matakwa ya walamba asali na wahuni kama Hawa hapa:



Penye nia pana njia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…