wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Hawachelewi kusema hio Ni mikusanyiko isiyo na kibali na yenye malengo ya kuchochea uvunjifu wa amani Hahah.Rwanda wamepiga marufuku vyote hivyo. Ukute hata masuala ya mashindano ya dini au matamasha ya kwaya uwanjani kama kwa mkapa isingewezekana huko
Rwanda si Tanzania....Kwa hili Rwanda nawapongeza sana, zile kelele za alfajiri zinakera sana.
Hii ni Taharifa ya BBC...
Waislamu wanaoadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani nchini Rwanda hawasikii adhana wakati wa swala ya asubuhi, na huenda wasisikie tena, kutokana na marufuku iliyowekwa na mamlaka nchi humo.
-
Mwezi uliopita mamlaka ilipiga marufuku matumizi ya vipaza sauti kwenye misikiti asubuhi na mapema, ikisema kuwa ilikiuka sheria za uchafuzi wa kelele ambazo zinakataza kelele zaidi ya decibel 55 wakati wa mchana na decibel 45 usiku katika maeneo ya makazi.
-
Mamlaka ya Rwanda inasema kuwa wakaazi walilalamika kuhusu mwito wa mapema wa maombi - ambao hufanyika majira ya alfajiri na huchukua kama dakika mbili au tatu. View attachment 2188599
Sent from my Redmi Note 9S using JamiiForums mobile app
hio ebony umeitoa wapi wewe? mada imekuja na habari ya BBC acha uhuni!Mawazo yako ndio yako upande mmoja. Mleta mada ameleta habari aliyoipata BBC. Usimsingizie. Hata Kagame naye hajalalia upande mmoja.
View attachment 2188631
Yani tanzania tunavumiliana sana watu hawajali kama usku watu wanataka kulala yani hawajali. We unaachaje maspka yamapga kelele usku kuchaMengine yana-record maombezi Yao ya mchana kutwa na kwaya zao halafu wakisepa Ile usiku wanaachia Yale maombezi Yao kwa hewa kwny Yale maspika yao, zinapigwa usiku kucha huku wamefunga kanisa Lao na kufuli.Asubuhi wanakuja kufungua kanisa na Maisha yanaendelea 😄😄😄.
Hahah Hilo halitawezekanika chief,kumbuka kwny kampeni zetu Hawa viongozi wa dini hua wanakua na 'kazi maalumu'.Huu msimamo ungekuja na hapa bongo
Sema CCM hawatalikubali maana wao na hao wenye dini lao ni moja
Zanzibar wanaelekea pazuri?Rwanda wanaelekea pabaya
Una uhakika huyo Kagame amezuia kelele zote au unaunga tu mkono Uhuru wa kuabudu kuminywa? Hao wanasiasa, wakati wa kampeni hawatafunga speaker mitaani? Ambulance zitatembea bila sauti? Misafara Yao itaendeshwa kimya kimya? Ndege zao hazina kelele? Hazishuki alfajiri?Tuache mambo ya Wakristo ama Waislamu. Point ni kwamba, unapofanya kazi zako, fikiria watu wanaokuzinguka pia. Usijifikirie wewe mwenyewe. Kazi zako zisisumbue watu wengine. Uwe na baa ama club, uwe Mbudha, uwe Mkristo ama uwe Muislam ama mpagani. Umeelewa?
Na ukienda kulalamika inaonekana wewe Ni atheist.Yani tanzania tunavumiliana sana watu hawajali kama usku watu wanataka kulala yani hawajali. We unaachaje maspka yamapga kelele usku kucha
mkono huwa na kadiri ya kilo 2Kilo ngapi?
Mungu hawezi kujilipua
Maana hayupo
Ndiyo hujawahi "kumuona" Mungu akijipigania
Ni binadamu,wafuasi wa dini ndiyo hupumbana kumpigania wakati yupo "mbinguni"
Paul Kagame lanatullahPaul kagame noma. Ingekuwa tz tungepga kelele knoma
Kisizidi DB 40 mkuu.Huku kwetu mwisho decibles ngapi?
😄😄😄 alichezea na kipigo kabisa.Serikali ikiamua hakuna wa kupinga
Mbona Zumaridi katulia
Misikiti mingine huku uswazi utasikia Amka amka ndugu waislam amkeni. Kitanda hicho ni kaburi lakoAdhana yenyewe haichukui hata dk 5..
Wamekataza “uchafuzi wa kelele” ambayo ni zaidi ya decibel 55 wakati wa mchana na decibel 45 usiku katika maeneo ya makaziRwanda wanaelekea pabaya