Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

Ni kwa nini mnaenda kubusu jiwe?
Ukiwa unaniquote hakikisha upo karibu na google translater, ili twende sawa ostaz Mokiti, maana elimu yako juu ya uislamu ni kubwa sana.

Naheshimu kazi kubwa ambayo huwa unaifanya ya kutranslate maudhui za kiarabu kwenda kingereza.

Unaturahusishia sana.
 
أصلا أنت تستفيد شنو؟ سواء تقبل الحجر أو نبلعه؟

Nadhani tunaelewana vizuri.
Embu acha utoto , humu watu lugha asilimia kubwa ni kingereza na kiswahili, naona mada zinakuzidi unaanza utoto
 
Nitakujibu , mapaka kwanza useme umeelewa tofauti ya nature ya Allah na Jehovah,
Allah - physical being
Jehovah - spirit

Ukisha sema umeelewa Kuna utofauti ndio nakujibu
Jibu maswali hayo

halafu nafikiri hujui tafauti ya physical being na Spirit..

acha nikufahamishe,kwa uwelewa wangu Yesu ni Physical being ni kitu unachokiona,kukigusa,kukipiga,kukiweka msalabani,nakadhalika..

Allah ni Spiritual,haonekani,yajafanana na yoyote wala kitu chochote,hakuzaa,hakuzaliwa,nakadhalika nakadhalika

Ramadhan Karim

Mungu Yesu ni Physical being,alikuwa anakunya,unamuona,kazaliwa,kakatwa govi,etc,etc

Je umeshawahi kusoma picha ya Allah,nafikiri hujawahi kuona kwasababu Allah ni SPIRITUAL
 
Jibu maswali hayo

halafu nafikiri hujui tafauti ya physical being na Spirit..

acha nikufahamishe,kwa uwelewa wangu Yesu ni Physical being ni kitu unachokiona,kukigusa,kukipiga,kukiweka msalabani,nakadhalika..

Allah ni Spiritual,haonekani,yajafanana na yoyote wala kitu chochote,hakuzaa,hakuzaliwa,nakadhalika nakadhalika

Ramadhan Karim

Mungu Yesu ni Physical being,alikuwa anakunya,unamuona,kazaliwa,kakatwa govi,etc,etc

Je umeshawahi kusoma picha ya Allah,nafikiri hujawahi kuona kwasababu Allah ni SPIRITUAL
Nakutaadharisha kijana waislamu watapita na shingo , Allah sio spirit usirudie tena na kuwa makini

Nenda YouTube ka search Allah body parts

Allah - physical being
Jehovah - spirit
Elewa kwanza hapa ndio nikujibu
 
Anae wafundisha dini yenu anawadanganya Sana , nani ka kwambia muhammad alikuwa hajui kusoma na kuandika?
Baada ya Muhammad kulishwa sumu tunamuona hapa anaomba apewa sehemu ya kuandikia aandike , jamaa wakamkatalia maana walishamuona anakaribia kukata moto

Ibn `Abbas said, "When Muhammad (ﷺ) was on his deathbed and there were some men in the house, he said, 'Come near, I will write for you something after which you will not go astray.' Some of them ( i.e. his companions) isaid, 'Allah's Messenger (ﷺ) is seriously ill and you have the (Holy) Qur'an. Allah's Book is sufficient for us.' So the people in the house differed and started disputing. Some of them said, 'Give him writing material so that he may write for you something after which you will not go astray.' while the others said the other way round. So when their talk and differences increased, Muhammad said, "Get up." Ibn `Abbas used to say, "No doubt, it was very unfortunate that Muhammad was prevented from writing for them that writing because of their differences and noise." Sahih al-Bukhari 4432
Wakati Muhammad anaishi,Quran ilikuwa bado haijakusanywa..

katika hii habari kuna sehemu inasema kuwa mmoja wa watu waliomzuka alisema "usiandkie kitu tuna kitabu cha quran kinatosha kwetu"

Abubakar ndie alikusanya Quran akamalizia Omar,hiyo baada ya miaka 20 toka Mtume Kufa

Mchungaji,usiamini kila unachokisoma kwenye Internet

kama elimu yako na ushahidi wako kuhusu Uislam unaupata hivyo basi unapotoka,tafuta njia nyengine
 
Nakutaadharisha kijana waislamu watapita na shingo , Allah sio spirit usirudie tena na kuwa makini

Nenda YouTube ka search Allah body parts

Allah - physical being
Jehovah - spirit
Elewa kwanza hapa ndio nikujibu
Spirit haionekani,Allah haonekani

Physical ni kitu kinachoonekana Mungu Yesu alikuwa anaonekana,siku hivi picha zake ziko kila kona

jifundishe maneno ya Kingereza ufahamu lugha zaidi
 
Wakati Muhammad anaishi Quran ilikuwa bado haijakusanywa..

katika hii habari kuna sehemu inasema kuwa mmoja wa watu waliomzuka alisema "usiandkie kitu tuna kitabu cha quran kinatosha kwetu"

Abubakar ndie alikusanya Quran akamalizia Omar,hiyo baada ya miaka 20 toka Mtume Kufa

Mchungaji,usiamini kila unachokisoma kwenye Internet

kama elimu yako na ushahidi wako kuhusu Uislam unaupata hivyo basi unapotoka,tafuta njia nyengine
Nilitaka kukutoa tongotongo ya uongo ulio lishwa Muhammad kwamba hajui kusoma na kuandika ,

Kwa hiyo kitabu nachosoma Cha sahih Al bukhari nacho nitapotoka? Aisee
 
Spirit haionekani,Allah haonekani

Physical ni kitu kinachoonekana Mungu Yesu alikuwa anaonekana,siku hivi picha zake ziko kila kona

jifundishe maneno ya Kingereza ufahamu lugha zaidi
Nakuonya tu usiseme mbele ya waislamu wenzako Allah ni spirit , hilo tu usijaribu kabisa

Mpaka uelewe huu utofauti ndio nikujibu

Allah - physical being
Jehovah - spirit
 
Nilitaka kukutoa tongotongo ya uongo ulio lishwa Muhammad kwamba hajui kusoma na kuandika ,

Kwa hiyo kitabu nachosoma Cha sahih Al bukhari nacho nitapotoka? Aisee
Huwezi kinitoa tongotong mimi,mimi sio mwenzako,dini yangu naijua vizuri na Dini yako naijua vizuri

kuna fake Hadith nyingi kwenye Internet, kuna mpaka Quran fake kwenye Internet,hiyo ni stori ya uongo au umekuwa edited
stori ya kweli hiyo hapo chini
Screenshot_20220423-121340.jpg
 
Huwezi kinitoa tongotong mimi,mimi sio mwenzako,dini yangu naijua vizuri na Dini yako naijua vizuri

kuna fake Hadith nyingi kwenye Internet, kuna mpaka Quran fake kwenye Internet,hiyo ni stori ya uongo au umekuwa edited
stori ya kweli hiyo hapo chini
View attachment 2197490
Embu thibitisha hii Hadith ni uongo

Ibn `Abbas said, "When Muhammad (ﷺ) was on his deathbed and there were some men in the house, he said, 'Come near, I will write for you something after which you will not go astray.' Some of them ( i.e. his companions) said, 'Allah's Messenger (ﷺ) is seriously ill and you have the (Holy) Qur'an. Allah's Book is sufficient for us.' So the people in the house differed and started disputing. Some of them said, 'Give him writing material so that he may write for you something after which you will not go astray.' while the others said the other way round. So when their talk and differences increased, Muhammad said, "Get up." Ibn `Abbas used to say, "No doubt, it was very unfortunate that Muhammad was prevented from writing for them that writing because of their differences and noise." Sahih al-Bukhari 4432


Alafu kwa nini waislamu mnadanganya Sana kuhusu mtume wenu?
 
Spirit haionekani,Allah haonekani

Physical ni kitu kinachoonekana Mungu Yesu alikuwa anaonekana,siku hivi picha zake ziko kila kona

jifundishe maneno ya Kingereza ufahamu lugha zaidi
Kama kingereza kinaoanda ingia hapa sikiliza alafu njoo toa mrejesho , ni kwamba haujui nature ya mungu wako Allah

 
Embu thibitisha hii Hadith ni uongo

Ibn `Abbas said, "When Muhammad (ﷺ) was on his deathbed and there were some men in the house, he said, 'Come near, I will write for you something after which you will not go astray.' Some of them ( i.e. his companions) said, 'Allah's Messenger (ﷺ) is seriously ill and you have the (Holy) Qur'an. Allah's Book is sufficient for us.' So the people in the house differed and started disputing. Some of them said, 'Give him writing material so that he may write for you something after which you will not go astray.' while the others said the other way round. So when their talk and differences increased, Muhammad said, "Get up." Ibn `Abbas used to say, "No doubt, it was very unfortunate that Muhammad was prevented from writing for them that writing because of their differences and noise." Sahih al-Bukhari 4432


Alafu kwa nini waislamu mnadanganya Sana kuhusu mtume wenu?
nimesha kuthibitishia katika post iliyopita kuwa Quran ilikuwa bado haijaandikwa


vipi kuhusu yake mswali ya Mungu Yesu mbona hukuyajibu
 
nimesha kuthibitishia katika post iliyopita kuwa Quran ilikuwa bado haijaandikwa


vipi kuhusu yake mswali ya Mungu Yesu mbona hukuyajibu
Nimeshakwambia sijibu mpaka uone utofauti wa nature ya Allah na Jehovah kwanza
Sikiliza kwa makini video nimekuwekea na Kuna waislamu wenzako wanaelezea kwa undani humo
 
Kama kingereza kinaoanda ingia hapa sikiliza alafu njoo toa mrejesho , ni kwamba haujui nature ya mungu wako Allah


Mungu wetu Allah haonekani he is a spiritual being,Waislam tunaabudu kitu tusichokiona

Mungu wenu Yesu anaonekana kila kona kwenye picha,kwenye misalaba,kafa kafufufuka,kapigwa mawe, He is physical there..
 
Nimeshakwambia sijibu mpaka uone utofauti wa nature ya Allah na Jehovah kwanza
Sikiliza kwa makini video nimekuwekea na Kuna waislamu wenzako wanaelezea kwa undani humo
huna la kujibu,Hivi Mungu Yesu alikuwa anakunya ?
 
Mungu wetu Allah haonekani he is a spiritual being,Waislam tunaabudu kitu tusichokiona

Mungu wenu Yesu anaonekana kila kona kwenye picha,kwenye misalaba,kafa kafufufuka,kapigwa mawe, He is physical there..
Nimekwambia usisema mbele za waislamu Allah ni spirit, usijaribu kabisa , ni kwamba unaabudu kitu usichokijua , wewe unauelewa wako ambao ni WA uongo
 
Embu acha utoto , humu watu lugha asilimia kubwa ni kingereza na kiswahili, naona mada zinakuzidi unaanza utoto
Kwani ni mimi ndiye niliyekusemea kuwa unajua kiarabu, si ni wewe mwenyewe umesema huwa unatafsiri kiarabu kwenda kingereza.

Sasa kuna shida ukiniuliza swali nikakujibu kwa lugha ya kiarabu ambayo unaifahamu vizuri kama lugha zingine.

Acha kufanya watu kama watoto, sema tu hujui kiarabu.
 
Kwani ni mimi ndiye niliyekusemea kuwa unajua kiarabu, si ni wewe mwenyewe umesema huwa unatafsiri kiarabu kwenda kingereza.

Sasa kuna shida ukiniuliza swali nikakujibu kwa lugha ya kiarabu ambayo unaifahamu vizuri kama lugha zingine.

Acha kufanya watu kama watoto, sema tu hujui kiarabu.
Kiarabu ni lugha yangu ya tatu ,
Sasa Rudi kwenye mada na msaidie mwenzako kapotoka anakataa mpaka kitabu Cha bukhari kitabu Cha pili kutoka Koran
Anasema Allah ni spirit , namashaka na mafunzo mnayopewa kuhusu dini yenu
 
huna la kujibu,Hivi Mungu Yesu alikuwa anakunya ?
Mpaka uelewe tofauti ndio nikujibu?

Jibril alikuwa anaitumia mwili wa dihyah al-kalbi alikuwa akimaliza kuutumia anaurudisha kwa kalbi au? Je jibril mda wote yupo na mwili wa kalbi alikuwa anakunya?

.................I did not know him more than any man among you. That was Jibril, peace be upon you, who came down in the form of Dihyah Al-Kalbi.'" Sunan an-Nasa'i 4991
 
Back
Top Bottom