Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,251
- 6,299
CCM ya sasa hutumia katiba na Sheria za marehemu mabutu wa zaire Yaani Rais kuwa na mamlaka ya kuchukua pesa Hazina BOT mda wowote pasipo idhini ya bunge haina tofauti na ule utawala wa Idd Amin dadaWalifeli,kulikuwa hakuna option na walifukia point ya no return.
Tumeoneshwa wazi kabisa ni kwa jinsi gani katiba,sheria, kanuni namiongozo tuliyojiwekea aidha haina maana au
inafanya kazi kwa wanyonge
shida haipo kwa nusrati yeye ni vyeme sana kukubali post nono, tatizo lipo kwayule aliyempa post,ana kila uwezo wa kuzipitia shria na kanuni!!!!Ila kwa kweli ki ubinadamu, mtu yoyote angakuwa amevaa viatu vya nusrat hanje asingekubali kukaataa ubunge na kuendelea kusota jela.
Tuwe tu wakweli saa nyingine
wajameni tatizo sio nusrati kukataa au kukubali, tatizo lipo kwa aliyemtoa jela na kumpa postNdugu mwandishi, tumia sekunde moja tu ku-imagine ww ndo Nusrat alafu uko unasota jela mtu ajitokeze tu akwambie.."chagua moja..ukubali kuwa mbunge wa viti maalumu au uozee jela kwa miaka mitano hii". Unachagua nn ndugu mwandishi?
Wakata mdee kaenda jela na akina polepole kumtoa hawakumwambia kinachoendelea palepale, walimchukua wakampeleka Dodoma akadanganywa kuwa kila kitu kina baraka ya mbowe mwenyekiti wa chadema hivyo asaini kila kitu maisha yaendelee ndiyo maana chadema hawamuongelei sana kwani wanajua Dili lote lilisukwa kwa njia za kishetani na Halima mdeeNdugu mwandishi, tumia sekunde moja tu ku-imagine ww ndo Nusrat alafu uko unasota jela mtu ajitokeze tu akwambie.."chagua moja..ukubali kuwa mbunge wa viti maalumu au uozee jela kwa miaka mitano hii". Unachagua nn ndugu mwandishi?
Mfumo mzimq umeozashida haipo kwa nusrati yeye ni vyeme sana kukubali post nono, tatizo lipo kwayule aliyempa post,ana kila uwezo wa kuzipitia shria na kanuni!!!!
Halima mdee alipiga pesa ndefu kwenye huo mchongo ndiyo maana alichezesha hilo Dili pasipo huyo dada kuzinduka mapemawajameni tatizo sio nusrati kukataa au kukubali, tatizo lipo kwa aliyemtoa jela na kumpa post
Hawa ccm hivi hawakufikiria hiki kipengele kitawavua nguo?
Mkuu hapa hoja sio Nusrat. Hoja ni jinsi movie ya kumtoa Nusrat ilivyochezwa kiboya.Ndugu mwandishi, tumia sekunde moja tu ku-imagine ww ndo Nusrat alafu uko unasota jela mtu ajitokeze tu akwambie.."chagua moja..ukubali kuwa mbunge wa viti maalumu au uozee jela kwa miaka mitano hii". Unachagua nn ndugu mwandishi?
Wafungue kesi Mahakama ipi!!!!?????CCM bhana sijui akili walishazipeleka wapi? Mahera anadai majina ya covid 19 yaliletwa na chadema ndio hayo aliyoyapeleka kwa Ndugai.
1. Mahera anadai CHADEMA iliwasilisha hayo majina tarehe 19 November 2020. Tarehe 20 Nov 2020 huyohuyo Mahera akiwa Azam tv alidai tume haijapokea majina ya viti maalumu kutokea CHADEMA. (Angalieni hizi tarehe mtaona nani muongo). Wanasema ukiwa muongo jitahidi uwe na kumbukumbu maana hii ni aibu.
2. Nusrat Hanje: tufanye basi ni kweli Mahera anasema ukweli kuwa Chadema iliwasilisha majina ya viti maalumu. Swali la kujiuliza: Nusrat Hanje alikuwa mahabusu, Chadema wana mamlaka gani nchi hii ya kuweka jina la Nusrat kwenye orodha ya viti maalumu na kuhakikisha wanamtoa mahabusu ili akaapishwe? Hapa ndio ninapowaona ccm either walishatuona watanzania hatuna akili au wao ndio hawana akili. Chadema ina mamlaka gani ya kumtoa mwanachama wake mahabusu ili awahi kuapishwa?
Ushauri wangu kwa chadema. Fungueni kesi mahakamani. Hii kesi ni rahisi sana kushinda. CCM imepanga huu mchezo kiboya sana.
Tunashukuru Nusrat Hanje ametoka mahabusu. Sasa dada wa watu yupo huru.
Kwa sababu wamefukuzwa uanachama kwa mambo yao ya kizandiki kujiunga na ccm, nini hatma yao hawa kovid19?Halima mdee alipiga pesa ndefu kwenye huo mchongo ndiyo maana alichezesha hilo Dili pasipo huyo dada kuzinduka mapema
exactlyMahakamaccm ni mali binafsi ya CCM hakuna haki kwa wapinzani tena
Sasa hakuna katiba wala Sheria kinachofanyika ni kutumia katiba za Mabutu wa zaire na Iddy Amin dada wa Uganda kuendesha kwa zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCMAibu ya mwaka kama ni kweli kwa Mhimili wa Mahakama, Serikali. Hii ndiyo Tanzania.
Umeelewa anachoongelea mtoa mada au.Ila kwa kweli ki ubinadamu, mtu yoyote angakuwa amevaa viatu vya nusrat hanje asingekubali kukaataa ubunge na kuendelea kusota jela.
Tuwe tu wakweli saa nyingine
Toka lini jiwe likawa na akili achana na utashi?Kwani jiwe ana akili?
Umeelewa pointi ya jamaa au kwa vile keyboard ni yako?Ila kwa kweli ki ubinadamu, mtu yoyote angakuwa amevaa viatu vya nusrat hanje asingekubali kukaataa ubunge na kuendelea kusota jela.
Tuwe tu wakweli saa nyingine