Shule nyingi zinaendeshwa kwa Mihemiko na ushindani wa ajabu ajabu. Hawana ratiba za masomo kwa siku zinazojulikana kwa watoto.Shule zinawabebesha watoto mavitabu mengi hata ambayo siku hiyo hawatayatumia.sijui kwa nini hawatoagi ratiba ya vipindi ili mtoto aende na madaftari na vitabu vitakavyotumika siku hiyo.Saa kumi asubuhi nimepishana na katoto kadogo kana begi kubwa mgongoni, hivi shule za namna gani hizi?
Nimeumia sana moyoni!
Mtoto wa miaka 3 anaenda shulee? Seriously??Jana wangu wa miaka mi 3 naambiwa gari lake la sa moja lime change route kwahiyo natakiwa nimuandae sa kumi na moja na nusu awe tayari...halafu kurudi sa kumi na mbili na nusu jioni........ Dereva nimemwambia haiwezekani,mwenye shule nimemwambia kama itashindikana aende shule nyingine.
Wazazi wengine ni empty set ,kwanini wasipeleke watoto shule za karibu? Siku hizi shule zipo kibao maeneo tunayoishi.Saa kumi asubuhi nimepishana na katoto kadogo kana begi kubwa mgongoni, hivi shule za namna gani hizi?
Nimeumia sana moyoni!
Sasa nikuambie wazazi wasomi Ndo mabingwa wa huo upupu,na hv wako busy na kazi Ndo kabisaaNi ujinga na ulimbukeni wa elimu na asilimia kubwa ya wazazi wanaofanya hivyo ni wale ambao hawajaenda shule ila Mungu kawabariki kipato aisee hili kundi linatesa watoto mtoto darasa la pili apumziki kama hivyo kamamka sasa tisa anaenda shule kurudi nyumbani sasa tatu usiku maana.. akitoka shule anaenda tution yaani elimu inakuwa kama utumwa.
School bus ya Shule Fulani inapita kwetu sana Tisa kasoro Kila SIKU inafata mtoto kule sio kuhadithiwa mmeona mwenyewe.Uongooooo
Uongoooo
Wapumbavu hao wazaziHujaona wazazi wakilalamika kuwa serikali imekosea ondoa Ranking? Yaani wazazi ndo sababu ya shule kuibia mitihani
Mbaya zaidi wanayosomea Wala hayasaidii kwenye maisha ya kawaidaUkitaka kuelewa ni jinsi gani hii SYNDROME ya kufaulisha kwa MAUMIVU YOYOTE YAWAYO kwa mtoto ilivyobebwa na wazazi vs walimu.
1: Jaribu kulieleza hilo siku ya kikao cha wazazi na walimu.
2: Eleza kwenye grupu la usafiri la watoto wa shule
Utaonekana wewe ni mpinga elimu na ufaulu wa watoto.
Ni ulemavu tumeshatwishwa wazazi na wizara iko kimya.
Pia, watoto wanatembea na mabegi utafikiri wanajifunza kuwa makuli. Mwishowe ni kesi za kutibu migongo ya vijana wadogo kuongezeka.
Vijana wanafikia kuona shule kama adhabu na hatujui ni kwa kiadi gani tunawaumiza ubongo na kutengeneza magonjwa ya afya ya akili vs mengine physical.
Unapohitaji ustawi wa jamii hapo si njiai mwafaka, ila unapotafufa utatuzi binafsi hapo utafanikiwa.Ratiba yatakiwa izingatiwe.
Hapo ni mzazi kuandika kwenye diary kuwa ratiba ifuatwe, muwekee mtoto madaftari husika tu. Akichapwa nenda kapambane nao huko shuleni, wakimfukuza wakurudishie ADA
Wakati mwingine ni muhimu kujichunguza binafsi kabla ya kusema ni nini unakiona kwenye kioo unachokitizama.Watu wa Dar mnalalamika mno. Watoto wenyewe hao wanabeba begi kutoka mlango wa nyumba mpaka getini anakutana na school bus akifika shule analibebea mpaka darasani kwake. Mnawalea watoto ki mayai mno
Hata kama haingii darasani huo ni muda ambao akili by default inatakiwa iwe imepumzika, sio kuhangaika barabarani.Kwani huyo mtoto hiyo saa 10 ndo anaingia darasani?
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Begi kubwa kiatu hakuna!?
Hata mtoto wa chekechea naye eti wanampeleka tuition.Wapumbavu hao wazazi
Mzazi ndo mwenye kosa.Sio makubaliano mkuu. Naongelea kwa experience. Walipojulisha wazazi haikuwa na mjadala, ilikuwa ni taarifa.
Unaambiwa si moja kwa moja ila kwa kuashiria kuwa ukitaka mlete mwanao hutaki acha.
Sifa zao zinaathiri watoto kwa kiasi kikubwa.
Inafikia wakati mzazi na mtoto hamuonani kabisa. Ukiuliza elimu ya darasa la 7.
Ila sababu ni serikali kutoingilia kati.Shule za serikali zinafuata mfumo huo darasa la kwanza na la pili muda wao wa kutoka ndio huo, kimbembe ni kwa hizi ingilishi midiamu
Tatizo ni wazazi wengi hawataki fanya majukumu yao. Wengine wanaachia boda boda wapeleke watoto shule.Mimi wa kwangu ndo natoka kuwapeleka saa hivi.
Vipindi wanaanza saa mbili.
Gari ya shule inapita saa 12, mda huo wanakuwa wamelala maana wanaamka saa 12 na robo.
Safi kabisa.
Kusoma si adhabu.
Pia, watoto wanatembea na mabegi utafikiri wanajifunza kuwa makuli. Mwishowe ni kesi za kutibu migongo ya vijana wadogo kuongezeka.
Tatizo kodi ikiondolewa gari litakuja ila matumizi yake yanakuwa tofautiDaah umeongea madini sana nilisoma tuu bila kuangalia Id yako ikabidi nishushe aisee watoto wanasoma kwa tabu sana kuanzia hizo gari wanazopanda na Serikali hata haifikirii kuwatolea kodi waagize bus nzuri watoto wetu wasione Elimu ni adhabu..
Ila mtoto ni wako,wewe ndo watakiwa mwambia afuate ratiba kama inavyoelekezaSiku ya kikao cha wazazi nikamuuliza MD akasema eti watoto wenyewe ndio wanapenda. Wazazi tuliikataa tukamtaka wafuate ratiba mtoto abebe kulingana na ratiba
Haya mambo si Dsm pekee yapo sehemu zote TanzaniaHuko tegeta hakuna shule hadi umuandikishe upanga? Ujinga wa dsm ni wa sayari nyingine
Leo nimshuka kutoka basi la mkoani mida ya around saa 9 usiku hapa stand ya magu.
Kupanda daladala ya gomz mida hiyo nashangaa kuna katoto kashule moyoni nikajiuliza shule mida hii nani atamfungulia.
Hilo ni moja ya gap watu wenye nia mbaya wanaweza kutumia.
#EeBabaMunguTulindieWatotoWetu