Kuna jamaa mmoja anadai kuwa hii itaZiua shule binafsi. Mana tayari imeanza kwa std4,f2 and f4. Yaani labda shule 200 zinapata ufaulu wa A,shule 600 zinawekwa group B and so on.
Kiukweli watu ambao hawajasoma na wakapata hela huwa wanawanyanyasa watt wao mno na wanatembea kifua mbele kuwa mie mwanangu nalipa 3M naseri anadhani kuwa more money more education quality. Na ulimbukeni fulani wa ego inawasumbua. Pia wakiwa wanasumbuka ama kusumbuliwa na wasomi so wanaumia mno wanaapa kuwa lazima wasomeshe watt wao kufa na kupona ili wwsinyanyasike Tena.unakumbuka ramadhani ntuzwe alivyosumbuliwa na watu wa TRA na sijui Kama wamemfilisi na hawajamlipa nadhani Mungu wangu.
Yaani Hawa jamaa wa private schools shule zimefungwa wanataka watt wabakie shuleni eti wasisome twisheni za mitaani wanaziita.
Madarasa yenye mitihani ndio usiseme kabisa wanalipa zaidi kuwa wanafundisha jioni. Yaani tabu tupu kwa wtt Hakuna kupumua ama hata kucheza. No extra curricular