Saa ya Rais Samia yadaiwa kuwa na thamani ya Tsh. Milioni 111,601,22/=

Acha kupotosha maana halisi ya kinachozungumzwa..acha Rais, wewe unaweza kuvaa magunia hata km huna hela kununua nguo za kawaida..! hakuna anayemvika kiongozi hata km pesa inayotumika kununua ni ya anaowaongoza, yeye mwenyewe anajivika lakini tunamshangaa kutumia pesa tunayomchangia kufanya anasa! akiwa kwenye nafasi hiyo hatutarajii awaze anasa!
 
Rais ni zaidi ya wananchi wote na vyeo vyote katika nchi.Rais ni mtu mwingine na wa pekee katika nchi zetu.Mshahara wake na marupuru yake, hiyo saa ni kitu kidogo sana. Jitahidi urekebishe paa la kibanda chako ikibidi utoke mabondeni, masika inakuja.
Mjinga wewe, Rais ni kiongozi sio boss, anawaongoza watu masikini wa Tanzania, nchi masikini alafu anavaa saa ya milioni 100?? Kiongozi lazima aonyeshe unyenyekevu na aishi maisha ya wale anaowaongoza
 
Mimi ni kiongozi? Unapokuwa kiongozi lazima uonyeahe uchungu na nia ya dhati na maumivu ya wale unaowaongoza, unadhani Nyerere angeamua kuwa tajiri Angeshindwa? Lakini kwakuwa alikuwa kiongozi na sio boss ndiyo maana leo una uhuru ulionao sasa! Acha kutetea upumbavu
 
Ko asinunue saa kwa mshahara ambao ni halali yake, kisa uchungu kwenu masikini?
Wew hapo hauli nyama roast kisa umasikin wa wajomba zako kule kijijini ?
Mimi ni kiongozi? Unapokuwa kiongozi lazima uonyeahe uchungu na nia ya dhati na maumivu ya wale unaowaongoza, unadhani Nyerere angeamua kuwa tajiri Angeshindwa? Lakini kwakuwa alikuwa kiongozi na sio boss ndiyo maana leo una uhuru ulionao sasa! Acha kutetea upumbavu
 
Kuna uhakika gani kama ndio yenyewe jamani? Labda mama is faking till she makes it je?

Ila mimi sijui hizo saa watu huwa wanazipendea nini? Niache kuvaa apple smart nivae mshale dunia hii ya sasa? Na uwezo upo?
Kwa hiyo unadhani hakuna saa za Mshale nzuri wapo wenye hizo Apple na pia wana mshale ni uwezo tu..
 
Kati ya watu wapumbavu na wewe ni mmojawapo. Hao wanaomiliki hivyo vitu ni viongozi? Unaelewa maana ya kuwa kiongozi? Watu unaowaongoza hawana uhakika wa milo mitatu alafu wewe unavaa saa ya milioni 100? Una akili timamu? Baba wa familia masikini watoto hawana chakula wewe unaenda kununua gari? Unatumia makalio kufikiria au?
 
Kuna tofauti ya kuwa kiongozi na kuwa boss. Hususan kiongozi wa nchi masikini kama Tanzania! Kiongozi unatakiwa uyaishi maisha ya wale waliokuchagua! Hauwezi kuwa baba wa familia inayolala njaa alafu ukaenda kununua gari la thamani huku watoto wako wanateseka! Ni AIBU! vinginevyo haustahili au haukupaswa kupewa hiyo nafasi. Leader must be humble! Unadhani Nyerere angeamua kuwa boss na si kiongozi leo tungekuwa na uhuru? Pili unasema amezawadiwa, unazielewa sheria za utumishi wa umma? Haruhusiwi kupokea zawadi! Akipokea ni mali ya Tanzania si mali yake.
 
Litapita lakini watanzania watabaki bila umeme, bila huduma bora za afya, bila elimu bora n.k
 
Kachota Hazina si ndiyo?
Tupe usuli tubebe bango
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…