Saa ya Rais Samia yadaiwa kuwa na thamani ya Tsh. Milioni 111,601,22/=

hebu m
Sasa huoni kama unajichanganya? Rais ni mtumishi wa umma, atueleze je aliandika saa kwenye fomu za mali za watumishi wa umma?
Hebu mwacheni bibi wa watu apumzike sukari, umeme na dola vinamtosha mkienda sana mtauliza anavaa ushingi wa shngapi. wanasiasa wasituchanganye.
kuna watu wana saa za mil7 ambazo hazilingani na maisha yao lakini siku zinakwenda.
 
hebu m

Hebu mwacheni bibi wa watu apumzike sukari, umeme na dola vinamtosha mkienda sana mtauliza anavaa ushingi wa shngapi. wanasiasa wasituchanganye.
kuna watu wana saa za mil7 ambazo hazilingani na maisha yao lakini siku zinakwenda.
Bibi yako huyu

USSR
 
hebu m

Hebu mwacheni bibi wa watu apumzike sukari, umeme na dola vinamtosha mkienda sana mtauliza anavaa ushingi wa shngapi. wanasiasa wasituchanganye.
kuna watu wana saa za mil7 ambazo hazilingani na maisha yao lakini siku zinakwenda.
Yule sio mtu, ni kiongozi na mtumishi wa umma mkuu. Tambua hilo.
 
Kuna siku za nyuma niliwai kusema humu kuwa mama ana anika hadi pichu kwenye midege mikubwa ya abiria kazigeuza kama mali yake binafsi tena pichu zenyewe kanunua dubai moja sh 1,000,000 nikaambulia kura ban [emoji849][emoji849][emoji849]
 
Ni wivu na tabia mbaya yenye CHOYO kikali mno.

Yaani Rais wa nchi kuvaa saa ya thamani kubwa ni kosa? Hapana juzi tu nilimsikia Mchungaji Pendwa Mzee wa UPAKO Anthony " buludoza" Lusekelo akimuonesha mwandishi wa habari aliyekuwa akimuhoji saa yake yenye thamani ya tsh 100m+ .

Hata mm nikiwiwa kumpatia zawadi Rais wangu Mpendwa wangu Mama Samia Suluhu Hassani ntamtafutia KILICHONONA kwa uwezo wangu.

Hata hiyo saa naamini kapewa zawadi iliyonona na wale wenye UWEZO zaidi. Tuache wivu hata sisi tunavyovitu vya THAMANI lkn macho yetu YAMEJAA MABORITI.

NA watu wanamna hii hata kwenye maisha ya BWANA YESU walijitokeza na kuanza kumshutumu yule binti aliyemfuta Bwana Yesu kwa mafuta mazuri ya MARHAM. kwa kujifanya eti yangeweza kuuzwa !!
 
So tuko na filimansonii...****
 
Oa Mke wa kukuzika KAKA..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…