Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Ina AC...ina nini cha ziada Tofauti na saa nyinginezo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina AC...ina nini cha ziada Tofauti na saa nyinginezo?
Bora umesema, hao wana chuki binafsi tu .Hatununuliki kirahisi hivyo
Tumnange kwenye ishu za kimsingi, sasa huo mshahara wake anautumiaje kama tunaanza kumkagua mpaka mavao yake?
Acha ujingaEndelea kukumbatia ujinga.
Hebu mwacheni bibi wa watu apumzike sukari, umeme na dola vinamtosha mkienda sana mtauliza anavaa ushingi wa shngapi. wanasiasa wasituchanganye.Sasa huoni kama unajichanganya? Rais ni mtumishi wa umma, atueleze je aliandika saa kwenye fomu za mali za watumishi wa umma?
walioanzisha wimbo wanajua beti zake tabu waitikiaji hawajui kinachofuata wao kuitikia tu na wala hawako makini cha mwimbishaji beti zake kapanga nini.Je kama kapewa zawadi?
Bibi yako huyuhebu m
Hebu mwacheni bibi wa watu apumzike sukari, umeme na dola vinamtosha mkienda sana mtauliza anavaa ushingi wa shngapi. wanasiasa wasituchanganye.
kuna watu wana saa za mil7 ambazo hazilingani na maisha yao lakini siku zinakwenda.
Yule sio mtu, ni kiongozi na mtumishi wa umma mkuu. Tambua hilo.hebu m
Hebu mwacheni bibi wa watu apumzike sukari, umeme na dola vinamtosha mkienda sana mtauliza anavaa ushingi wa shngapi. wanasiasa wasituchanganye.
kuna watu wana saa za mil7 ambazo hazilingani na maisha yao lakini siku zinakwenda.
Ni kwasababu mama ameruhusu freedom of speech and media, so watu wanapractice haki yao mkuu.😄mkuu hawa watu wanao 'kosoa' serikali namna hii ni kwamba wanaishi nje au serikali ipo lenient haijali?
mfano hii tweet
So tuko na filimansonii...****Ni symbol ya nyoka, ilianzia kwa Mama yetu Eva/Hawa alidanganywa na serpenti, japo kwenye Bible wameandika nyoka lakini ukweli ni kuwa serpent baada ya kuingia bustanini alijigeuza mtu kijana HB shababi, sio tuu alimrubuni Eva kwa kuonyesha tunda linavyomegwa, bali alimfanyia practical ya kumegwa tunda kwa kummega.
Malkia Cleopatra baada ya kulazimishwa kuolewa na mfalme, na huku ana mpenzi wake, akaamua kuliko kuolewa na mtu asiempenda, akamchukua nyoka cobra, huku amemficha kwenye bra, mpenzi wake ile anampiga busu, cobra akamgonga, na kumngata kwenye titi, wakafa wote wawili huku wamekumbatiana kwenye game!.
Wanawake wengi wasio na waume, wanaosemekana kuwa na jini mahaba, linalowaingilia usiku kwenye ndoto, jini hili ni serpent, ukivaa pete, chain, shanga, bangi;i , saa ya serpent, unakuwa possessed, na serpent bila wewe kujijua, unajikuta huna hamu ya mwenza, kila usiku unaota unakula raha, ukiamka umechafuka, kumbe ni serpent anajilia!, kwa boss ladies wengi ili asishtukiwe, anakuwa na mume zuga tuu ambaye hapati kitu mambo yoteni serpenti!
P
Oa Mke wa kukuzika KAKA..Ni symbol ya nyoka, ilianzia kwa Mama yetu Eva/Hawa alidanganywa na serpenti, japo kwenye Bible wameandika nyoka lakini ukweli ni kuwa serpent baada ya kuingia bustanini alijigeuza mtu kijana HB shababi, sio tuu alimrubuni Eva kwa kuonyesha tunda linavyomegwa, bali alimfanyia practical ya kumegwa tunda kwa kummega.
Malkia Cleopatra baada ya kulazimishwa kuolewa na mfalme, na huku ana mpenzi wake, akaamua kuliko kuolewa na mtu asiempenda, akamchukua nyoka cobra, huku amemficha kwenye bra, mpenzi wake ile anampiga busu, cobra akamgonga, na kumngata kwenye titi, wakafa wote wawili huku wamekumbatiana kwenye game!.
Wanawake wengi wasio na waume, wanaosemekana kuwa na jini mahaba, linalowaingilia usiku kwenye ndoto, jini hili ni serpent, ukivaa pete, chain, shanga, bangi;i , saa ya serpent, unakuwa possessed, na serpent bila wewe kujijua, unajikuta huna hamu ya mwenza, kila usiku unaota unakula raha, ukiamka umechafuka, kumbe ni serpent anajilia!, kwa boss ladies wengi ili asishtukiwe, anakuwa na mume zuga tuu ambaye hapati kitu mambo yoteni serpenti!
P
Oyaaa, aisee unazijuaInaonekana bado hauzijui saa [emoji849]
Patek Philippe, rolex,Audemars Piguet, na Omega.
Vp siku hizi havai madhahabu yakeJana nimekutana na mama Anna Mkapa crdb makao makuu Hana makuu Tena hajasumbua watu wampishe kasimama na mpambe wake ukichukulia na kichwani yupo vizuri very simple.
That means Darasa moja full na fanicha zake ni 9m!! Hahaha jamaa amemmind mama bila kujua ukweliUkicopy kitu jaribu kushirikisha na akili yako kidogo.
Hiyo pesa ijenge madarasa 12 na samani zake? Ulishawahi kujenga hata banda la kuku?
We ukipewa hiyo hela unaweza kujenga madarasa 10?111M ishindwe kujenga maboma kumi ambayo yatatumika kama madarasa?
Maniner kitendo cha kunijibu vibaya kitakugharimu na utagundua ni kwa nini ulimwengu uliniita "CAPTAIN FIRE"Huyo sio mke wa mtu huyo ni kiongozi wa nchi masikini, una akili timamu kweli wewe?
Sili K chafu wewe sio mwanamke wa kuliwa na mimi, katafute mabwana barHaya mambo wanawake mnayafahamu vizuri sana. Na mnateteana sana nimependa ulivyomtetea mwenzio. Nimemaliza.