Sababu 3 muhimu kwanini mwanaume mwenye hela humvutia mwanamke kirahisi

Nilivyokuwa binti nilikuwa nikitongozwa na mwanaume mwenye pesa natoka mbio, yaani hata kumsikiliza nilikuwa staki...
Now natamani nitongozwe na mwenye pesa ndo hawanitongozi kama sio gundu hili ni nini
😂😂Ila demi
 
Nilivyokuwa binti nilikuwa nikitongozwa na mwanaume mwenye pesa natoka mbio, yaani hata kumsikiliza nilikuwa staki...
Now natamani nitongozwe na mwenye pesa ndo hawanitongozi kama sio gundu hili ni nini
😂😂 sio gundu hiyo inaitwa karma. Kwahiyo unatongozwa na akina sie
 
Nilivyokuwa binti nilikuwa nikitongozwa na mwanaume mwenye pesa natoka mbio, yaani hata kumsikiliza nilikuwa staki...
Now natamani nitongozwe na mwenye pesa ndo hawanitongozi kama sio gundu hili ni nini
Mwanaume tukiwa na pesa hupenda mwanamke mzur wa sura na umbo
 
Men searching for leadership and authority while women looking for security and support lets stand as it is

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Kweli mvuto ni asilia, mwanamke anapenda kufanyiwa vitu.
Je, masilahi/ material yoyote sio muhimu katika mapenzi?
Unaposema kinachoangaliwa ni pesa, je mwanamke akiwa na pesa atahitaji mwanaume?
 
Kweli mvuto ni asilia, mwanamke anapenda kufanyiwa vitu.
Je, masilahi/ material yoyote sio muhimu katika mapenzi?
Pesa ni muhimu. Hata kama mapenzi sio pesa ila jitahidi iyo pesa isikosekane kabisa. Mwanamke kuvutiwa au kumpenda mwanaume mwenye pesa sio kosa ila kama pesa ikiwa ndio determining factor pekee hapo hakuna mvuto tena
Unaposema kinachoangaliwa ni pesa, je mwanamke akiwa na pesa atahitaji mwanaume?
Kiuhalisia mwanamke na mwanaume kila mmoja anamhitaji mwenzake. Kiuhalisia mwanamke anakuzwa kwa mtazamo kwamba akishavunja ungo ataolewa na kuhudumiwa na mwanaume na yeye mwanamke atapaswa kuwa mtiifu na mnyenyekevu kwa mwanaume wake kama malipo ya matunzo anayoyapata sasa mwanamke akifanikiwa anakua anaona hakuna nafasi ya mwanaume kwenye maisha yake(mafanikio yake yanamdanganya). Kwann ajishushe mbele ya mwanaume wakati na yeye mwenyewe anaweza kujitunza. Fatilia kesi za talaka utakuta zaidi ya 90% ni ndoa za wanawake wasomi au wenye pesa
 
Money is power
 
mwanamke akifanikiwa anakua anaona hakuna nafasi ya mwanaume kwenye maisha yake(mafanikio yake yanamdanganya)
Umesema vizuri. Lakini,
Kwa nje inaonekana hivyo, lakini kiukweli ni kwamba wanaume wanaogopa wanawake wenye mafanikio, au wanakua na chuki nao bila sababu kwa kulinda imani kuwa mwanamke hawezi kumzidi kipato.
.
Wengi hawataki/ wanaogopa changamoto ya kuwa viongozi wa wanawake waliowazidi kipato na kuishia kulalamika wanawake wenye pesa wanajiona. Kwa mwanaume kuwa kiongozi wa mahusiano hakuji tu, lazima ufanyie kazi na ujifunze. Watu wanadhani mtu unakuwa kiongozi tu bila kuhangaikia lakini ki ukweli uongozi una mitihani mingi na kadri unavyozidi kupanda ndivyo mitihani inakua migumu na kuongezeka. Wanawake wenye pesa ni changamoto tu ya wewe kama mwanaume kujifunza na kuishi naye.
.
Mwanaume anayejifunza hana muda wa kulalamika, na mwanaume anayelalamika hana muda wa kujifunza.
 
Nakuombea mkeo/mpenzi wako awe tajiri ili ujionee uhalisia. Haya mambo ni rahisi sana kuwaona wenzako mabwege kama wewe hayajakukuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…