Pre GE2025 Sababu 5 zitakazopelekea rais Samia kuukosa urais 2025 hizi hapa…

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
1. Mkataba wa DP World.
2. Kuhamisha wamasai wa Ngorongoro.
3. Utekaji na mauaji.
4. Kukandamiza demokrasia ndani na nje ya chama.
5. Migawanyiko ndani ya ccm. Hivi sasa ccm siyo moja moja tena.
6. Tarura na Tanroads imekufa
7. Miradi ya kimkakati imesinzia
8. Uchaguzi wa serikali za mitaa mbovu
9. Udini
 
1. Mkataba wa DP World.
2. Kuhamisha wamasai wa Ngorongoro.
3. Utekaji na mauaji.
4. Kukandamiza demokrasia ndani na nje ya chama.
5. Migawanyiko ndani ya ccm. Hivi sasa ccm siyo moja moja tena.
Ingekuwa mshindi anatangazwa kwa kufuata kura halali zilizopigwa na wananchi
 
Nani atakaye tangaza kwamba Rais ameukosa URais 2025 😅😂 !
Ni wa kutoka Chamani au kutoka kwingineko ???!!

Fomu ni moja tu kama ilivyo desturi na mila za Chama cha Mapinduzi 😳🙌👍
Kamuulize Kikwete, nusura aukose uenyekiti wa chama kwa kupigiwa kura za maruhsni.

Na 2015 alitaka kumuachia nchi mtu wake ikashindikana.

Habari ya fomu 1 bado ni fupa gumu ndani ya chama. Kuna mchezo mchafu .umeandaliwa. kuhusu hilo Yanukuu maneno haya.
 
Namba 5 imekuwa ya moto hasa ile ajali ya wabunge nasikia ni 🔥...
6. Kifuwa kipana yaaniiii mm sipo
wabunge ambao wamo bungeni kwa hisani ya mwenda zake nao ni wa kuhofiwa mpk watengenezewe ajali! ???
 
Kwanza alishasema hata msipoichagua ccm bado ndio itakayounda serikali 😃

Nae Bashiru akatamka wazi wazi itakua ni ujinga kuwa na dola halafu ukashindwa kutumia iyo dola kubaki madarakani
 
Mkuu chukuwa hii. Unazijua sababu za Samia kufanya haya??:-
1. Kuondoa wasaidizi wote pale ikulu na kuwapangia kazi nyingine? Akina Matnyi, Zuhura Yunus, Tito Magoti, n.k.
2. Kumuondoa Kinana na kushindwa kupata mbadala.
3. Kuwabadilisha wakuu wa usalama wa taifa 3 kwa muda mfupi?

Kuna mambo magumu yanaendelea ndani ya nchi yanamuelemea huyo mama.
 
1. Mkataba wa DP World.
2. Kuhamisha wamasai wa Ngorongoro.
3. Utekaji na mauaji.
4. Kukandamiza demokrasia ndani na nje ya chama.
5. Migawanyiko ndani ya ccm. Hivi sasa ccm siyo moja tena.
6 Kuongoza bora liende nchi inajiendea kama haina mwenyewe. Kila mtu anajifanyia anayoona ni vema machoni pake.

7 rushwa na ufisadi vimezagaa kila mahali na hawakemewi wameachwa wale kwa urefu wa kamba zao watu wanajipgia wanadhan wananch hatuon
 
Kwanza alishasema hata msipoichagua ccm bado ndio itakayounda serikali 😃
Kiburi chake kinategemea ulinzi unaofanywa na watu ambao nao wamechoshwa na utawala wake. Ngoja akaze fuvu. Mtakuja kunambia.

Dakika za jiooooni kabisa baraza la ushauri la usalama wa taifa litamwita na kumuambia asigombee, maana hali ni mbaya

Chukua hiyo
 
Wananchii wa tz bwana sijuhi kwa nini huwa mnajitoa akili??Hakuna wananchii wa kumtoa samia madarakani labda wenye fedha waliomtoa jiwe madarakani.samia anaweza kutawala ata miaka 300 isipokuwa asiguse masirahi ya matajiri wenye nchii Yao nyie ni wapangaji tu utakachopata shukuru.
 
Dakika za jiooooni kabisa baraza la ushauri la usalama wa taifa litamwita na kumuambia asigombee, maana hali ni mbaya

Chukua hiyo
Hakuna kitu kama icho Tanzania ukishakua Rais na Mwenye kiti wa ccm Taifa unakua Mungu mtu

hakuna mtu yoyote atapinga kufanya lile aliloamua yeye
sana sana mkimzingua ndo pale huamua bora tukose sote na kuwapa nchi upinzani kirahisi kbs
 
13. Wizi wa kura kupitia chama chao, ChamaDola.? 🤔
 
1. Mkataba wa DP World.
2. Kuhamisha wamasai wa Ngorongoro.
3. Utekaji na mauaji.
4. Kukandamiza demokrasia ndani na nje ya chama.
5. Migawanyiko ndani ya ccm. Hivi sasa ccm siyo moja tena.
nakazia
Matumizi mabaya ya fedha za umma
 
Inawezekana ! Lakini sio rahisi kwa mila zao the sitting President kushindanishwa na mwingine ndani ya Chama !
Ya Kikwete na mtu wake ni kwa sababu alikuwa anamalizia kipindi chake cha pili hivyo ni lazima apatikane mwingine !

Kwa Mhe Samia yeye atataka kugombea kipindi chake cha pili cha URais hivyo ni lazima ule utamaduni wetu tuliojiwekea miaka yote ya kutompambanisha na mwingine yeyote Chamani uendelee 😳 🙌👍
 
1. Mkataba wa DP World.
2. Kuhamisha wamasai wa Ngorongoro.
3. Utekaji na mauaji.
4. Kukandamiza demokrasia ndani na nje ya chama.
5. Migawanyiko ndani ya ccm. Hivi sasa ccm siyo moja tena.
Natamani viongozi wote wa kitaifa kutunza kauli zao, (public figures have to keep their Words)

Tungo tata pia huweza kumbomoa kiongozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…