Sababu kubwa kwanini watu wengi hawafuti namba za ma-EX wao

Sababu kubwa kwanini watu wengi hawafuti namba za ma-EX wao

Watu wanaachana lkn namba hawafuti. Unajua ni kwann?

Kwasabb ni suala la muda tu ipo siku watatafutana.

Nami nakushauri kamwe usifute namba ya ex wako. Ipo siku atakufaa kwa matumizi ya dharura .
Kwakwel uvumiliv wa kukaa na namba ya mtu niliegombana naye sinaaaa,huwa nafuta hapo hapo na habar inaishia hapo..
 
Hapo kwenye kurudi kwa upole atakuletea drama kwa kujiliza au kukupea sex

Wanawake wana silaha zao kuu 3 wanazotumia kuwatawala wanaume mabwege

1. Kulia/machozi
2. Sex
3. Drama

Hapo ndipo wanaume mabwege hushindwa kuvunja mahusiano na wanawake wasaliti au wasumbufu (toxic relationship)
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Kwa wanaume mabwege lakini
 
Kama usemacho ni sahihi basi utakuwa una roho ya mauti.

Kuna jamaa naye kila Mwanamke atakaye funga naye ndoa baada ya mwaka mmoja lazima afe huyo Mwanamke.

Ameshafiwa na Wake wanne [emoji119]

Juzi nimeona akitafuta Mwanamke mwingine sina hakika kama atapata labda kwa wasiomjua
Mimi Mtu tukivunjiana heshima tu anafariki nimezika wa 5
 
Back
Top Bottom