National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Uzuri ma ex wangu huwa wanakufa baada ya miezi sita ya kuachana lazima iwe R.I.P ๐ ๐Nakazia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri ma ex wangu huwa wanakufa baada ya miezi sita ya kuachana lazima iwe R.I.P ๐ ๐Nakazia
Kweli Mjukuu, kama huamini muulize hata Bibi yenu [emoji85][emoji125][emoji125][emoji125]
Kama usemacho ni sahihi basi utakuwa una roho ya mauti.Uzuri ma ex wangu huwa wanakufa baada ya miezi sita ya kuachana lazima iwe R.I.P ๐ ๐
Usije kunipa mtihani nikuruhusu uje uhakikishe mwenyewe.Bibi kakataa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii inatesa sana, na hata kuna wanawake pia.. ukigusa ni matanga.. Wahenga wanasema ni wapenzi wa kiroho ndio husababisha hili, pamoja na vita vya uzao katika roho ikiwa na hatma ya mtu katika nyota yake.. Binafsi kabisa ambao walishakuwa wapenzi , acha na wachapa ilale.. hakuna alie hai ๐๐Kama usemacho ni sahihi basi utakuwa una roho ya mauti.
Kuna jamaa naye kila Mwanamke atakaye funga naye ndoa baada ya mwaka mmoja lazima afe huyo Mwanamke.
Ameshafiwa na Wake wanne ๐
Juzi nimeona akitafuta Mwanamke mwingine sina hakika kama atapata labda kwa wasiomjua
DuhWatu hatufuti hadi namba za marehem, sembuse ex๐
Kwanini lakini, unawaloga au ๐Uzuri ma ex wangu huwa wanakufa baada ya miezi sita ya kuachana lazima iwe R.I.P ๐ ๐
Sema kweli mzee mpaka sasa wamekufa wangapi?Hii inatesa sana, na hata kuna wanawake pia.. ukigusa ni matanga.. Wahenga wanasema ni wapenzi wa kiroho ndio husababisha hili, pamoja na vita vya uzao katika roho ikiwa na hatma ya mtu katika nyota yake.. Binafsi kabisa ambao walishakuwa wapenzi , acha na wachapa ilale.. hakuna alie hai ๐๐
๐ nipo hivyoo.. tujaribu kuwa wapenzi.. alafu tuachane uone inakuwaje kuwaje hadi wana tangulia mbele za hakiKwanini lakini, unawaloga au ๐
Pole MkuuHii inatesa sana, na hata kuna wanawake pia.. ukigusa ni matanga.. Wahenga wanasema ni wapenzi wa kiroho ndio husababisha hili, pamoja na vita vya uzao katika roho ikiwa na hatma ya mtu katika nyota yake.. Binafsi kabisa ambao walishakuwa wapenzi , acha na wachapa ilale.. hakuna alie hai ๐๐
๐ ๐ ๐ ๐ wa chapa ilale huwa hawafi.. ila wapenzi hufa.. kwaiyo kwa ufupi sina ex yani.. ivi yule wa jana ndio ma namna gani niniSema kweli mzee mpaka sasa wamekufa wangapi?
Weee ndio niende kweli nikose hizi raha za duniani, akuu๐คฃ๐ nipo hivyoo.. tujaribu kuwa wapenzi.. alafu tuachane uone inakuwaje kuwaje hadi wana tangulia mbele za haki
Mkeo vip?๐ ๐ ๐ ๐ wa chapa ilale huwa hawafi.. ila wapenzi hufa.. kwaiyo kwa ufupi sina ex yani.. ivi yule wa jana ndio ma namna gani nini
Yaani wewe unamchukulia serious huyo National AnthemPole Mkuu
Niliwahi kusikia somo kutoka kwa Mchungaji Mwakasege lihusuyo mambo ya maagano na mnyororo wa dhambi kwenye familia
Kwa kweli inahitajika nguvu za kiroho kuweza ku-break the Chain
=======
Kama case yako ni hivyo, please kaa mbali na Wajukuu zangu aisee ๐
Sababu huwa ni curse, evil altar za kifamilia ambazo unakuta tayari hiyo kitu imepitishwa kimaagano, lakini wake wa kiroho.. kuna dada mmoja mzuri sana ujue mzuri hasaa.. na ana kila kabaki kuwa rafiki.. nae ukimgusa tu umeenda na maji.. ๐ ๐ ๐ .. huwa ananiambia huwa kila mchana anachukuliwa na mumewe wa baharini wanaenda baharini.. wanazama hadi chini.. sasa ukigusa hapo lazima uandae matanga..Pole Mkuu
Niliwahi kusikia somo kutoka kwa Mchungaji Mwakasege lihusuyo mambo ya maagano na mnyororo wa dhambi kwenye familia
Kwa kweli inahitajika nguvu za kiroho kuweza ku-break the Chain
=======
Kama case yako ni hivyo, please kaa mbali na Wajukuu zangu aisee ๐
Mke sio Ex.. ila akiniacha kayakanyagaaa ๐ ๐ ๐Mkeo vip?
๐ ๐ ๐ tujaribu hata miezi sita.. ile penzi limekamata moto wa hatari ndio tumwagane.. tuone matokeo yake hapoWeee ndio niende kweli nikose hizi raha za duniani, akuu๐คฃ
Usije kunipa mtihani nikuruhusu uje uhakikishe mwenyewe.
Utafanya kazi ya kuimba na maiki lakini hutaona Babu akishtuka ndiyo uone tulivyozeeka sasa [emoji2957][emoji125][emoji125][emoji125]
Na me mtu akiniacha hasimamishi tena huko aendako, so jipange vizuri.๐ ๐ ๐ tujaribu hata miezi sita.. ile penzi limekamata moto wa hatari ndio tumwagane.. tuone matokeo yake hapo
Amefanya nizame deep kwenye mahubiri ya Mwakasege hadi kupata kichwa cha somo kumbe ana niinjoi tuYaani wewe unamchukulia serious huyo National Anthem
Kweli umekosa kazi๐