Sababu kubwa kwanini watu wengi hawafuti namba za ma-EX wao

Sababu kubwa kwanini watu wengi hawafuti namba za ma-EX wao

Sababu huwa ni curse, evil altar za kifamilia ambazo unakuta tayari hiyo kitu imepitishwa kimaagano, lakini wake wa kiroho.. kuna dada mmoja mzuri sana ujue mzuri hasaa.. na ana kila kabaki kuwa rafiki.. nae ukimgusa tu umeenda na maji.. ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜….. huwa ananiambia huwa kila mchana anachukuliwa na mumewe wa baharini wanaenda baharini.. wanazama hadi chini.. sasa ukigusa hapo lazima uandae matanga..

Hii kitu mbaya sana na inatesa..๐Ÿฅฒ๐Ÿฅฒ
Kumbe tunahitaji umakini

Ila kuna njia Sisi Wazee tunaitumia kujua hao Mabinti wenye hizo shida hata kama hajakuleza kwa mara ya kwanza.

Ukitia ujuaji unaondoka kweli au unaweza pata aibu ukikutana na wale Wanawake waliotegwa na Wapenzi wao bila wao wenyewe kujijua
 
Amefanya nizame deep kwenye mahubiri ya Mwakasege hadi kupata kichwa cha somo kumbe ana niinjoi tu

Kwa kweli Sijapenda
===============

Ila hapo kwenye ukaribu na Wajukuu zangu naendelea kutoa msisitizo akae nao mbali

Asije kupita nao alafu akaniletea taharuki Babu yenu ๐Ÿ˜…
Hana shida huyo mbona, yuko poa anajua kujali na hua anatuma na ya kutolea๐Ÿค—
 
Na me mtu akiniacha hasimamishi tena huko aendako, so jipange vizuri.

Kama vipi tuanze hata saivi, baada ya miezi 3 tu penzi litakua lishastawi vya kutosha kila mtu anashika njia yake
Hii kuna baadhi ya Wanawake wana hii michezo

Yaani ule mtarimbo umelala Doro uliimbwa na Bibi Kidude unakutana nao live live

Hata ufanye kazi ya kuimbishwa na wajuzi wa kutumia mic ๐ŸŽค kutoka Afrika yote na Asia hakuna atakayeweza kukuamsha ukilala Doro ๐Ÿคช๐Ÿ™Œ
 
Kumbe tunahitaji umakini

Ila kuna njia Sisi Wazee tunaitumia kujua hao Mabinti wenye hizo shida hata kama hajakuleza kwa mara ya kwanza.

Ukitia ujuaji unaondoka kweli au unaweza pata aibu ukikutana na wale Wanawake waliotegwa na Wapenzi wao bila wao wenyewe kujijua
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… umakini kuna makundi mawili.. kuna aina kama tatu au zaidi.. wanawake classic sana mala nyingi hutumika kuharibu hatma hata maisha ya watu ( hawa tunakutana nao kwenye clubs za usiku au makasino) kuna mtaalamu wangu mmoja aliokotaga.. ndani ya mwezi akawa maskini wa kutupwaa.. ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… ila kwakua nae hakuwa haba akaenda kwa mtaalamu wake.. akacholewa ramani hadi huyo mtu hatari sana. kuna wale wa kawaida kuna kujitwalia mikosi na laana na kuchafua hatama.. na kuna wale wanatembea na vifo.. ukigusa tu imo..

Ndio maana nahisi vizuri kufanya vetting kuna hatari sana
 
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… umakini kuna makundi mawili.. kuna aina kama tatu au zaidi.. wanawake classic sana mala nyingi hutumika kuharibu hatma hata maisha ya watu ( hawa tunakutana nao kwenye clubs za usiku au makasino) kuna mtaalamu wangu mmoja aliokotaga.. ndani ya mwezi akawa maskini wa kutupwaa.. ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… ila kwakua nae hakuwa haba akaenda kwa mtaalamu wake.. akacholewa ramani hadi huyo mtu hatari sana. kuna wale wa kawaida kuna kujitwalia mikosi na laana na kuchafua hatama.. na kuna wale wanatembea na vifo.. ukigusa tu imo..

Ndio maana nahisi vizuri kufanya vetting kuna hatari sana
Cc
Vijana wa hovyo - chukueni hii itawafaa

Vinginevyo mtaishia kuishi mijini miaka na miaka lakini maendeleo hupati zaidi ya kuishia kuvaa vizuri na kunukia tu

Kumbe funguo ya maisha yako aliichukua kahaba mmoja bila wewe kujua ๐Ÿ™Œ
 
๐Ÿ˜….. bila maokoto, huduma sensitive hawatoi.. maokoto ndio yanawaweka safi safi.. mkono wa birika = kupata ma mong'oo
Kwa kweli ni muhimu kuzingatia,

Maokoto humfanya hata yeye ajitume kunako, unashangaa unaulizwa nikupee kwa mtindo wa popo kanyea mbingu ama style ya kusaini mkataba na DP World ๐Ÿคช๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Thubutuuuuu!!! Babu wewe emu niwacheeeee!! Kuna mtu ulimnyonyoa humu
Hizo stori za kunyonyoa hata mimi nazisikia sikia tu, hizo nguvu na umri huu Mjukuu nazitolea wapi jameni

Kuweni na huruma na Wazee ๐Ÿคช
 
Back
Top Bottom