Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Kumbe ndio desturi yenu kurithishwa mashamba๐[emoji23][emoji23][emoji23] Watu wa JF kila mtu wana data zake!![emoji119][emoji119]
Hapo kwenye waonjaji hawataki ndoa anza na unayetaka kumrithisha mashamba yako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe ndio desturi yenu kurithishwa mashamba[emoji23]
๐๐๐๐Lana sumaka mmeo uyoSi Babu yangu kwann asinirithishe?? Wivu huo kitikou
Unaweza kuta saivi anapiga mishe za Ubalozini labda Brazil ama Scandinavian huko.[emoji23][emoji23][emoji23] Watu wa JF kila mtu wana data zake!![emoji119][emoji119]
Hapo kwenye waonjaji hawataki ndoa anza na unayetaka kumrithisha mashamba yako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaha.............noa kisu Mkuu, Mjukuu wangu amejaa tele kusubiri waoaji ๐คKasema nani muendelee kukaa na misemo yenu vijana sasa hutamsemo kama chinja
Tusisahau kujifukiza, Corona inaua [emoji4]Tuendelee kunawa mikono na kuvaa barakoa [emoji1787] Corona bado ipo
Unaweza kuta saivi anapiga mishe za Ubalozini labda Brazil ama Scandinavian huko.
Nilikuwa sijui kwamba hata Mkwe wetu naye anaonja?
Leo nitamwandikia barua kumwita kwenye kikao cha familia haraka aje aseme ni lini atakutolea Posa [emoji847]
Hahaha.............noa kisu Mkuu, Mjukuu wangu amejaa tele kusubiri waoaji [emoji847]
๐๐๐๐Shughuli imeshakua kisiririUnaweza kuta saivi anapiga mishe za Ubalozini labda Brazil ama Scandinavian huko.
Nilikuwa sijui kwamba hata Mkwe wetu naye anaonja?
Leo nitamwandikia barua kumwita kwenye kikao cha familia haraka aje aseme ni lini atakutolea Posa ๐ค
Hapna hapa subiri tuone mwisho wa ๐ฏ gameHahaha.............noa kisu Mkuu, Mjukuu wangu amejaa tele kusubiri waoaji ๐ค
Ni kweli kabisa, namba ya baba bado ninayo na bibi pia ipo kwenye list yangu.Watu hatufuti hadi namba za marehem, sembuse ex๐
Kila la kheri Mkuu ๐คHapna hapa subiri tuone mwisho wa ๐ฏ game
Hawa Wajukuu wamejaa Siri, kumbe wanaonjana bila Babu yao kupewa kishika Uchumba ๐๐๐๐๐Shughuli imeshakua kisiriri
Kumbe bado yupo kwenye adolescence, kama ni hivyo hawezi kuwa na hela ya kukutunza Mjukuu, hapo kimbia ๐Huyo bado ananyonya asikuchoshe babu [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha............anza kumpiga Calendar huyo muonjaji kila akitaka rematch, hadi siku ikitokea umezidiwa na genye ndiyo ufanye kumpa ๐คช๐๐๐Huyo anaonja babu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kikao kiwahi, nimechoka kutumika [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Atamaliza buyu la asali atuachie vuvumbi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shughuli imeshakua kisiriri
Hawa Wajukuu wamejaa Siri, kumbe wanaonjana bila Babu yao kupewa kishika Uchumba [emoji28]
Hahahaha............anza kumpiga Calendar huyo muonjaji kila akitaka rematch, hadi siku ikitokea umezidiwa na genye ndiyo ufanye kumpa [emoji2957][emoji125][emoji125][emoji125]