Yaani umeachana na mpenzi wako miezi 12, miaka 2 au 5 then ukikutana naye unataka muendelee mlipoishia serious?
Kwa Dunia hii yenye watu wanakula samaki kwa geuza?
Labda kama mna hamu ya kuingizwa kwenye grid ya Taifa.
Kama ulisha move-on kwanini usitulie na huyo uliyenaye?
Ongezea point Mjukuu, huenda Babu yenu nawaza vibaya na Uzee huu 🤪🤗Nakazia [emoji23][emoji23][emoji23]
Mnaachana kwa hasira mithiri ya Simba na Swala.Watu wanaachana lkn namba hawafuti. Unajua ni kwann?
Kwasabb ni suala la muda tu ipo siku watatafutana.
Nami nakushauri kamwe usifute namba ya ex wako. Ipo siku atakufaa kwa matumizi ya dharura .
Hawajui maisha yalivyobadirika, enzi zetu tunaenda vitani Uganda mwaka 1978 unarudi Vitani baada ya miaka 2 unamkuta mkeo yupo kama ulivyomuacha.
Siku hizi unaenda kazini asubuhi kurudi jioni unakuta Vijana wa hovyo wameshapiga chatta.
Ndiyo sembuse mmeachana miaka 3, si utajikuta amekuunga kwenye Grid ya Taifa uanze kumeza dawa [emoji2957]
Hiki ndicho kimesababisha mambukizi ya Ukimwi yasiishe.Yaani umeachana na mpenzi wako miezi 12, miaka 2 au 5 then ukikutana naye unataka muendelee mlipoishia serious?
Kwa Dunia hii yenye watu wanakula samaki kwa geuza?
Labda kama mna hamu ya kuingizwa kwenye grid ya Taifa.
Kama ulisha move-on kwanini usitulie na huyo uliyenaye?
Duh! Hatari....sii mchezoWatu wanaachana lkn namba hawafuti. Unajua ni kwann?
Kwasabb ni suala la muda tu ipo siku watatafutana.
Nami nakushauri kamwe usifute namba ya ex wako. Ipo siku atakufaa kwa matumizi ya dharura .
Sifuti kwani nazibeba kichwani hata anitukane vipi sufutiiii
Hizi mbususu za siku hizi zina nyege sana sijui ni hivi vyakula tunakulaHawajui maisha yalivyobadirika, enzi zetu tunaenda vitani Uganda mwaka 1978 unarudi Vitani baada ya miaka 2 unamkuta mkeo yupo kama ulivyomuacha.
Siku hizi unaenda kazini asubuhi kurudi jioni unakuta Vijana wa hovyo wameshapiga chatta.
Ndiyo sembuse mmeachana miaka 3, si utajikuta amekuunga kwenye Grid ya Taifa uanze kumeza dawa 🤪
Ongezea point Mjukuu, huenda Babu yenu nawaza vibaya na Uzee huu [emoji2957][emoji847]
Hizi mbususu za siku hizi zina nyege sana sijui ni hivi vyakula tunakula
HeheheeHizi mbususu za siku hizi zina nyege sana sijui ni hivi vyakula tunakula
Starehe au Uchumi piaKujiendekeza na kugeuza sehemu ya uzazi km starehe
ni kweli umenena, wanandoa wakiishaachana na kwenda kuanzisha mahusiano ya kimapenzi na wengine ni nadra sana kuwa salama wote au mmoja anakuwa tayari ana maambukizi ya ukimwi. Kufanya mapenzi na ex aliyeambukizwa ukimwi ni hatari sana. Kama wanataka kukumbushiana minyanduano ni bora wakapima kwanza afya zao. Kukumbushiana kupo sana tu. Mtu hawezi kutoa matumizi ya mtoto halafu asimpitie mama yake hata kama ameolewa na mtu mwingine.Yaani umeachana na mpenzi wako miezi 12, miaka 2 au 5 then ukikutana naye unataka muendelee mlipoishia serious?
Kwa Dunia hii yenye watu wanakula samaki kwa geuza?
Labda kama mna hamu ya kuingizwa kwenye grid ya Taifa.
Kama ulisha move-on kwanini usitulie na huyo uliyenaye?
Itakuwa hamuwakazi sawasawaHizi mbususu za siku hizi zina nyege sana sijui ni hivi vyakula tunakula
Starehe au Uchumi pia
Basi wenzetu wanafaidi sanaVyote kwa pamoja dr
Ni sahihi Mkuuni kweli umenena, wanandoa wakiishaachana na kwenda kuanzisha mahusiano ya kimapenzi na wengine ni nadra sana kuwa salama wote au mmoja anakuwa tayari ana maambukizi ya ukimwi. Kufanya mapenzi na ex aliyeambukizwa ukimwi ni hatari sana. Kama wanataka kukumbushiana minyanduano ni bora wakapima kwanza afya zao. Kukumbushiana kupo sana tu. Mtu hawezi kutoa matumizi ya mtoto halafu asimpitie mama yake hata kama ameolewa na mtu mwingine.
Basi wenzetu wanafaidi sana
Nayataka maisha. Ukiona Rais Alihasani Mwinyi anagonga miaka 90+ usidhani ni Neema tu ya Mungu bali alifanya jitihada kulinda afya yake.Na Wewe fanya dr
Nawe ikitokea mkaachana na Mkwe wangu utarudi nyumbani Babu yako akulinde hadi upate Mume mwingine, hakuna mambo ya kupasha kiporo tena na huyo mwenzio mkishaachana 🤪Kweli kabisa babu [emoji736]
Wenye masikio na wasikie