Sababu ya Harmonize na Kajala kuachana (Hii ni fundisho kwa wadada na wamama wengine pia wenye tabia kama hizi)

Sababu ya Harmonize na Kajala kuachana (Hii ni fundisho kwa wadada na wamama wengine pia wenye tabia kama hizi)

Vipi alimla na mtoto wake au. Aliliheshimu hilo shimo !??
 
Harmonize hajasoma Ila anakula mali Safi! Tofaut na sisi na digrii zetu uchwara za uhasibu na CPA za michongo tunaishia Malonya yasiyojielewa huku halmashauri
Kama huli mali safi ni wewe kaka usituwekekwa shida zako
Halafu hivi kajala/paula nao ni mali safi,?

Muulizeni Mwana FA,inspector harouni, prof Jay zile pisi za getikali na masaki wameziimba muda wote ndo utajua malisafi ni ipi na taka taka ni zipi
 
Hivi unafamu Kuna nchi zinaendeshwa sababu ya utalii nyingine bandari nchi kama Botswana uchumi wake unategemea mifugo na madini sisi kitu Gani hatuna

hayo maneno ni marahisi sana kuongea kwa sababu ni siasa, mahitaji ya nchi ni mengi sana both local and international lazima kila mtu afanye kazi nchi isogee, na sjaamnishi kwamba hazisaidii ila hata kama bandari ingekua na uwezo wa kumpa kila mtanzania mil 10 kila mwezi, hakuna serikali iko tayar kufanya ivo kwa sababu nyingi ila sababu kuu ni uharibifu wa uchumi, pesa haitakiwi kutosha ikiwa nyingi sana uchumi unaharibika na ikiwa kidogo sana uchumi unakufa, mpaka apo nadhan unanielewa
 
Back
Top Bottom