Sababu ya Harmonize na Kajala kuachana (Hii ni fundisho kwa wadada na wamama wengine pia wenye tabia kama hizi)

Sababu ya Harmonize na Kajala kuachana (Hii ni fundisho kwa wadada na wamama wengine pia wenye tabia kama hizi)

Kiukweli ukimpenda mwanamke na akawa anakuendesha , sku ukimchoka yaan huwa hakuna chembe ya huruma sjui huwa ni Kwa nn tuu , unaweza kumuachia kila kitu yaan hata kumuona hutaki tuu...!! Ghafla Tu unamuona hafai na unajihisi umetua mzigo fulan mzito haswa
Hili lina ukweli mtupu na huwa inaambatana na hasira, na huwezi taka ushauri kutoka kwa yeyote
 
Wacha nasi tuige kutapika kwa tembo
uchumi wa dunia nzima unaendeshwa kwa credit, haiwezekani usiwe na deni kwa sababu sio watu wote ni wazalishaji, mfano kwa nchi nyingi asilimia kubwa ni waajiriwa unategemea output gan kubwa?
 
La marekani halituhusu
😂 , usiwe na shaka deni la taifa hua linakua mara nyiingi na colletral. mfano unaweza kuitoa bandari kma collateral just anything na maisha yanaendelea kama kawaida, nchi yetu wengi ni waajiriwa output ni ndogo sana haswa katika kuingiza pesa za kigeni kwahio serikali haina budi, lakini pia tsh inazunguka tu tanzania kufanya biashara za kimataifa mfano ujenzi hauna budi kutumia credit
 
😂 , usiwe na shaka deni la taifa hua linakua mara nyiingi na colletral. mfano unaweza kuitoa bandari kma collateral just anything na maisha yanaendelea kama kawaida, nchi yetu wengi ni waajiriwa output ni ndogo sana haswa katika kuingiza pesa za kigeni kwahio serikali haina budi, lakini pia tsh inazunguka tu tanzania kufanya biashara za kimataifa mfano ujenzi hauna budi kutumia credit
Hivi unafamu Kuna nchi zinaendeshwa sababu ya utalii nyingine bandari nchi kama Botswana uchumi wake unategemea mifugo na madini sisi kitu Gani hatuna
 
Kwa mwanamke timamu ukimpenda alafu una pesa za mgogoro wewe ni Fala tena atakuona km Pimbi tu tena level za kina Kajala (slay Queen) umeula wa chuya wenye michanga mingi unaweza ukabakia na 500 tu mfukoni

Kuna manzi alikua ananichana kavu kavu leo

First of all, I'm a 3rd degree Bahiri means nna masters PhD ya ubahiri yaan kiwango changu cha ubahiri ni cha kustaajabisha itoshe kusema mimi ni bahiri wa mabahiri,

Iko hivi kuna manzi nimekua nae in & out almost 1 ½ year now but haieleweki tupo au hatupo it's complicated

Leo kanichana maana since tunaanza mazoea kila weekend lazima apige mzinga wa 50k au 100k namkazia simpi hata buku namtania siku inapita kiroho mbaya imefika wakati kanizoea tu Ila aachi kunitania no like seriously she need some, anafanya kazi nzuri

Sasa leo kanitolea uvivu akanipa makavu wewe una kazi nzuri kwani kunitoa mimi 50k au 100k kila weekend unapata hasara gani?

Akaniambia mwanamke hua anamuona mjanja mwanaume anaemjali kwa mahitaji ya hapa na pale au huku na kule ndio hujenga mapendo vitu vidogo vidogo kwa mwanamke vinajenga mahusiano mazuri,

Kwa hio mwanaume ukimpenda mwanamke alafu hauna cha kumuhudumia wewe huna tofaouti yoyote na Fala tu, nani aliekwambia mwanamke anahitaji mapenzi ya maua ya kwenye bustani?, pesa maua ndio wanachokizingatia hawa viumbe shtuka

Jamaa wa kutoka kwenye misitu na mapori ya Chitohori huko Naliendele, Tandahimba kwa mbele kaona mbali anapoelekea alikua anaenda kufirisika vibaya n it seems like a written script given to the woman who pretend to love him behind the mask km asingeshtuka kabla alikua anaenda kuangukia pabaya, kajilengesha mwenyewe kisa kitobori not chitobori watu wakamcheeeeeeck wakachora script wakampa Kajala akaisoma akatembea na script akajiweka mchezo unaanza kakwapua range mbili (jamaa SIJUI hata mama yake km amewahi kumnunulia hata BMW New Model ya shukurani ya kumzaa), wamepiga walichopiga wamepita hivi wamemwacha bwana mjeshi amevimbisha mashavu tu, sasa ajitafakari next time ajichunguze kabla ya kufanya maamuzi ya kijinga never fall in with you Aunt find one among the under age oa ishi nae finish the business n best of all escape the show off, acha matangazo ya mapenzi ukitaka kuonekana wewe ni kitombile omba uwekwe kwenye box za condoms tukuelewe mofaka

Km unapita humu bwana mjeshi chukua huo ushauri wa kutoka kambini huku ndani ndani Chitohori,

Men ubahiri unalipa, kwanza unakupa heshima kwa kua unamiliki chako unachokihitaji unakipata kwa wakati na unakitunza na unakienzi sio unakifujafuja ovyo ili kichakae na kuharibika haraka, simple secrecy of Bahiri from Bahiri Island

Bwana mjeshi km unaingiaga JF soma hio advise kutoka huku ndani ndani kwa walioyapitia yaliyoyapitia, alafu punguza kuisifu sana bange mamako, umekuja umeikuta na utaiacha haikuanza Jana wala juzi Fala na wala haukuanza wewe kuitumia respect wakulungwa

Tunanyoa vipara ili tusimalize sabuni ni sehemu ya ubahiri, ushawahi kumuona bakhresa kafuga afro?

Jeshi tukutane Kambini
Shikamoo kwa huu ujumbe
 
Back
Top Bottom