Sababu ya Harmonize na Kajala kuachana (Hii ni fundisho kwa wadada na wamama wengine pia wenye tabia kama hizi)

Sababu ya Harmonize na Kajala kuachana (Hii ni fundisho kwa wadada na wamama wengine pia wenye tabia kama hizi)

Kwanza kabisa picha linaanza Harmonize alimpa Kajala password za simu zake na account zake za social media. Yani Kajala alikuwa na access ya every communication ya Harmo na Kajala alifanya same thing, alimpa Harmo password zake zote yani kulikuwa hakuna siri kati yako. Hapo mwishoni ndiyo Harmo alipobadilisha password zake za kila kitu na ndo mtafaruku ulipoanzia. Na sio kwamba alibadilisha password eti sababu ana cheat and so forth, nope, alikuwa anamtafutia sababu waachane.

Kwa kifupi baada ya kuishi na Kajala hii second time design kama Harmo kuna vitu aliviona akaamua hataki tena so akawa anatafuta sababu waachane. Yani ndiyo ile Dai alisema mimi kama sikutaki nitakupiga matukio mpaka uondoke mwenyewe, ndiyo alichofanya Harmo aliamua tu kumpiga matukio Kajala hadi akaweka mikono juu.

Moja ya vitu ambavyo Harmo alivichoka ni ile ya kitu kidogo tu Kajala anatishia kuachana na kuondoka, yani Harmo alijikuta kama mtumwa kila siku kumbembeleza Kajala. Mnaambiwa Kajala alikuwa anampelekesha Harmo kama gari bovu. Harmo simply got tired and wanted out ndiyo akaanza matukio kuchat na wanawake, kubadili password zake zote etc. Hata huo ugomvi wa mwisho yani ni kama Harmo alitafuta sababu ya kuachana na Kajala maana ilikuwa ni show ya Morogoro, kesho yake ndiyo siku waliyoachana rasmi.

Harmo alikuwa anaongea na simu makusudi mbele ya Kajala huku anajibebisha kwenye simu hataki kumwambia anaongea na nani ndiyo balaa likaanzia hapo. Kajala akapanick akasema naondokaaa, weeee mmakonde ikawa ndiyo kama kapewa nafasi sasa akamwambia sawa kabisa naomba uondoke sasa hivi, yani dakika hii usisubiri hadi kesho.

Kajala hakuamini Harmo anamfukuza ndiyo akaanza kulia hataki kuondoka. Na kaondoka kaenda kwake Harmo hajamtafuta wiki nzima ndo Kajala kupiga simu kwa Majey na Jembe anaomba wapatanishwe na Harmo akawagomea wote Jembe na Majey hataki kupatanishwa.

Issue nyingine iliyomboa Harmo ni Paula, yaani Harmo alichoka jinsi Paula anawapelekesha kuhusu hela. Unaambiwa Harmo kila siku ni kuambiwa na Kajala ampe Paula pesa sijui amfanyie hiki, amfanyie kile. Yani ni kama Harmo alikuwa anahudumia wanawake wawili. Kwa kifupi mmakonde alijiona anavyofilisika mchana kweupeee.

Unaambiwa kuna siku Paula aliwakalisha chini wazazi wampe pesa anunue kiwanja ajenge, Harmo akaona hii kitu haiwezekani Paula kaiwaza mwenyewe lazima mamake anamfundisha. Na unaambiwa Harmo asipotoa pesa kwa Paula Kajala akawa anamnunia inabidi abembeleze upyaaa.

So Harmo alishtuka kama vile Kajala ndiyo anataka vile vitu kupitia mgongo wa Paula. Yani ni vitu kama hivi ndiyo vilimboa ndiyo akaanza kumpiga Kajala matukio ili aondoke mwenyewe.

Nimeona sehemu wanasema sijui Harmo alimfumania Kajala. Harmo this time hajamfumania Kajala. Harmo alimfumania Kajala ile first time kabisaaaa na hakumfumania live alimfumania kwa message za simu kati ya Kajala na Paula, Kajala anamwambia Paula kampa Danga fulani namba yake yeye Paula so aongee naye amtulize, baada ya pale ndiyo Harmo alipomvulia nguo Paula.

Watu wengi walidhani ile issue ya Harmo kumtaka Paula ilikuwa ni sababu ya ugomvi wake na RayVanny hapana sababu kuu ilikuwa ni Kajala kuendelea na madanga yake.

So sababu kuu ya Harmo na Kajala kuachana this time ni Harmo ku realize kuwa Kajala sio wife material na kukubaliana na matokeo. By the way Kajala kaapa Miungu yooote kuwa harudishi range. lla ni hivi range moja lazima airudishe atake asitake maana haina jina lake. Ila hata ingekuwa mimi Kajala sirudishiii ng'oooo, tungeuwana ila gari sirudishiii.

Ushauri kwa wanawake wengine, mwanaume akikupenda sana don't push it. Usijisahau ukadhani umemuweka mkononi ukaanza kumpelekesha. Wakichokaga huwa hawaangalii nyuma. Hakuna mwanaume anaweza kukuacha vibaya kama mwanaume ambaye mwanzo alikuwa kama mtumwa kwako. Huwa wanajua kukusuprise mpaka huamini ni yeye aliyekuwa anakuona kama malaika.

Mwanaume akikupenda na wewe mpende usimchukulie kama fala.

Last but not least soon Harmo anaibuka na mtoto wa Kisomali.

Credit: Kwa Hisani ya Dada wa Taifa.
Loh
Mnajadili mapenzi ya mama na mwanae
 
Mkuu hivi unajua deni la taifa saivi shng ngapi!? Endeleeni kujadili ujinga nchi ishauzwa..
Hata ukijua itakusaidia nini wakati viongozi wenyewe kama Nape? Wauze tu hii nchi kwasababu hakuna faida yoyote ya kuwa Tanzania. Deni linakua kila siku lakini hakuna serikali iliyofanikisha 100%. Miaka hii Internet ni anasa, umeme wa mgao, maji ya mgao, bado serikali inahangaika na madawati, matundu ya choo, ujenzi wa madarasa, treni za mtumba. Hii ni kweli shithole country
 
Dau la Paula ni bei gani. Kama haizidi laki 5 na mimi nataka
Paula ni kama bei za bando la internet tu. Unaweza leo ukakuta 1GB unainunua kwa 2000 ila kesho ukiamka unakuta ni 3000. Unaweza kujiunga bando la 5,000 ila baada ya dakika 45 unaambiwa umetumia 75% ya bando lako wakati hapo umeperuzi tu tena umeingia JF.
Bado mama mtu anakuomba laki 2 za mafuta
 
Kwanza kabisa picha linaanza Harmonize alimpa Kajala password za simu zake na account zake za social media. Yani Kajala alikuwa na access ya every communication ya Harmo na Kajala alifanya same thing, alimpa Harmo password zake zote yani kulikuwa hakuna siri kati yako. Hapo mwishoni ndiyo Harmo alipobadilisha password zake za kila kitu na ndo mtafaruku ulipoanzia. Na sio kwamba alibadilisha password eti sababu ana cheat and so forth, nope, alikuwa anamtafutia sababu waachane.

Kwa kifupi baada ya kuishi na Kajala hii second time design kama Harmo kuna vitu aliviona akaamua hataki tena so akawa anatafuta sababu waachane. Yani ndiyo ile Dai alisema mimi kama sikutaki nitakupiga matukio mpaka uondoke mwenyewe, ndiyo alichofanya Harmo aliamua tu kumpiga matukio Kajala hadi akaweka mikono juu.

Moja ya vitu ambavyo Harmo alivichoka ni ile ya kitu kidogo tu Kajala anatishia kuachana na kuondoka, yani Harmo alijikuta kama mtumwa kila siku kumbembeleza Kajala. Mnaambiwa Kajala alikuwa anampelekesha Harmo kama gari bovu. Harmo simply got tired and wanted out ndiyo akaanza matukio kuchat na wanawake, kubadili password zake zote etc. Hata huo ugomvi wa mwisho yani ni kama Harmo alitafuta sababu ya kuachana na Kajala maana ilikuwa ni show ya Morogoro, kesho yake ndiyo siku waliyoachana rasmi.

Harmo alikuwa anaongea na simu makusudi mbele ya Kajala huku anajibebisha kwenye simu hataki kumwambia anaongea na nani ndiyo balaa likaanzia hapo. Kajala akapanick akasema naondokaaa, weeee mmakonde ikawa ndiyo kama kapewa nafasi sasa akamwambia sawa kabisa naomba uondoke sasa hivi, yani dakika hii usisubiri hadi kesho.

Kajala hakuamini Harmo anamfukuza ndiyo akaanza kulia hataki kuondoka. Na kaondoka kaenda kwake Harmo hajamtafuta wiki nzima ndo Kajala kupiga simu kwa Majey na Jembe anaomba wapatanishwe na Harmo akawagomea wote Jembe na Majey hataki kupatanishwa.

Issue nyingine iliyomboa Harmo ni Paula, yaani Harmo alichoka jinsi Paula anawapelekesha kuhusu hela. Unaambiwa Harmo kila siku ni kuambiwa na Kajala ampe Paula pesa sijui amfanyie hiki, amfanyie kile. Yani ni kama Harmo alikuwa anahudumia wanawake wawili. Kwa kifupi mmakonde alijiona anavyofilisika mchana kweupeee.

Unaambiwa kuna siku Paula aliwakalisha chini wazazi wampe pesa anunue kiwanja ajenge, Harmo akaona hii kitu haiwezekani Paula kaiwaza mwenyewe lazima mamake anamfundisha. Na unaambiwa Harmo asipotoa pesa kwa Paula Kajala akawa anamnunia inabidi abembeleze upyaaa.

So Harmo alishtuka kama vile Kajala ndiyo anataka vile vitu kupitia mgongo wa Paula. Yani ni vitu kama hivi ndiyo vilimboa ndiyo akaanza kumpiga Kajala matukio ili aondoke mwenyewe.

Nimeona sehemu wanasema sijui Harmo alimfumania Kajala. Harmo this time hajamfumania Kajala. Harmo alimfumania Kajala ile first time kabisaaaa na hakumfumania live alimfumania kwa message za simu kati ya Kajala na Paula, Kajala anamwambia Paula kampa Danga fulani namba yake yeye Paula so aongee naye amtulize, baada ya pale ndiyo Harmo alipomvulia nguo Paula.

Watu wengi walidhani ile issue ya Harmo kumtaka Paula ilikuwa ni sababu ya ugomvi wake na RayVanny hapana sababu kuu ilikuwa ni Kajala kuendelea na madanga yake.

So sababu kuu ya Harmo na Kajala kuachana this time ni Harmo ku realize kuwa Kajala sio wife material na kukubaliana na matokeo. By the way Kajala kaapa Miungu yooote kuwa harudishi range. lla ni hivi range moja lazima airudishe atake asitake maana haina jina lake. Ila hata ingekuwa mimi Kajala sirudishiii ng'oooo, tungeuwana ila gari sirudishiii.

Ushauri kwa wanawake wengine, mwanaume akikupenda sana don't push it. Usijisahau ukadhani umemuweka mkononi ukaanza kumpelekesha. Wakichokaga huwa hawaangalii nyuma. Hakuna mwanaume anaweza kukuacha vibaya kama mwanaume ambaye mwanzo alikuwa kama mtumwa kwako. Huwa wanajua kukusuprise mpaka huamini ni yeye aliyekuwa anakuona kama malaika.

Mwanaume akikupenda na wewe mpende usimchukulie kama fala.

Last but not least soon Harmo anaibuka na mtoto wa Kisomali.

Credit: Kwa Hisani ya Dada wa Taifa.
Jamaa alihakikisha zile nyimbo alizomuimba zinarudisha hela zote za range. Dogo anaangalia fursa, anakutumia ukiisha ladha anakutema kama bublish.
 
Hata ukijua itakusaidia nini wakati viongozi wenyewe kama Nape? Wauze tu hii nchi kwasababu hakuna faida yoyote ya kuwa Tanzania. Deni linakua kila siku lakini hakuna serikali iliyofanikisha 100%. Miaka hii Internet ni anasa, umeme wa mgao, maji ya mgao, bado serikali inahangaika na madawati, matundu ya choo, ujenzi wa madarasa, treni za mtumba. Hii ni kweli shithole country
Na ushangae Sasa deni anakuja kulipa nani. Mkapa alikopa je yupo, magufuli alikopa je yupo, Johnny Impact anakopa atalipa yeye??

Haya maisha yasikieni tu wao maposho Wana sign kila siku. Siku hizi watu wanakula pesa na maujenzi majumba ya kifahari umezidi
 
Wewe unayejua limekusaidia nini zaidi ya kuishi kwa stress zaidi ya bibi yako asiyejua kusoma?

Sometimes mambo mengine yapotezee tuu mkuu, hivi unajua Marekani wenyewe wanadaiwa deni kubwa kiasi gani?

Ukiona kwako kunafuka moshi jua kwa mwenzio kunateketea.
Mkuu mbona Marekani wanatupatia pesa nyingi wakati na wao wana madeni makubwa kuliko sisi ?
 
Harmonize hajasoma Ila anakula mali Safi! Tofaut na sisi na digrii zetu uchwara za uhasibu na CPA za michongo tunaishia Malonya yasiyojielewa huku halmashauri

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwanza kabisa picha linaanza Harmonize alimpa Kajala password za simu zake na account zake za social media. Yani Kajala alikuwa na access ya every communication ya Harmo na Kajala alifanya same thing, alimpa Harmo password zake zote yani kulikuwa hakuna siri kati yako. Hapo mwishoni ndiyo Harmo alipobadilisha password zake za kila kitu na ndo mtafaruku ulipoanzia. Na sio kwamba alibadilisha password eti sababu ana cheat and so forth, nope, alikuwa anamtafutia sababu waachane.

Kwa kifupi baada ya kuishi na Kajala hii second time design kama Harmo kuna vitu aliviona akaamua hataki tena so akawa anatafuta sababu waachane. Yani ndiyo ile Dai alisema mimi kama sikutaki nitakupiga matukio mpaka uondoke mwenyewe, ndiyo alichofanya Harmo aliamua tu kumpiga matukio Kajala hadi akaweka mikono juu.

Moja ya vitu ambavyo Harmo alivichoka ni ile ya kitu kidogo tu Kajala anatishia kuachana na kuondoka, yani Harmo alijikuta kama mtumwa kila siku kumbembeleza Kajala. Mnaambiwa Kajala alikuwa anampelekesha Harmo kama gari bovu. Harmo simply got tired and wanted out ndiyo akaanza matukio kuchat na wanawake, kubadili password zake zote etc. Hata huo ugomvi wa mwisho yani ni kama Harmo alitafuta sababu ya kuachana na Kajala maana ilikuwa ni show ya Morogoro, kesho yake ndiyo siku waliyoachana rasmi.

Harmo alikuwa anaongea na simu makusudi mbele ya Kajala huku anajibebisha kwenye simu hataki kumwambia anaongea na nani ndiyo balaa likaanzia hapo. Kajala akapanick akasema naondokaaa, weeee mmakonde ikawa ndiyo kama kapewa nafasi sasa akamwambia sawa kabisa naomba uondoke sasa hivi, yani dakika hii usisubiri hadi kesho.

Kajala hakuamini Harmo anamfukuza ndiyo akaanza kulia hataki kuondoka. Na kaondoka kaenda kwake Harmo hajamtafuta wiki nzima ndo Kajala kupiga simu kwa Majey na Jembe anaomba wapatanishwe na Harmo akawagomea wote Jembe na Majey hataki kupatanishwa.

Issue nyingine iliyomboa Harmo ni Paula, yaani Harmo alichoka jinsi Paula anawapelekesha kuhusu hela. Unaambiwa Harmo kila siku ni kuambiwa na Kajala ampe Paula pesa sijui amfanyie hiki, amfanyie kile. Yani ni kama Harmo alikuwa anahudumia wanawake wawili. Kwa kifupi mmakonde alijiona anavyofilisika mchana kweupeee.

Unaambiwa kuna siku Paula aliwakalisha chini wazazi wampe pesa anunue kiwanja ajenge, Harmo akaona hii kitu haiwezekani Paula kaiwaza mwenyewe lazima mamake anamfundisha. Na unaambiwa Harmo asipotoa pesa kwa Paula Kajala akawa anamnunia inabidi abembeleze upyaaa.

So Harmo alishtuka kama vile Kajala ndiyo anataka vile vitu kupitia mgongo wa Paula. Yani ni vitu kama hivi ndiyo vilimboa ndiyo akaanza kumpiga Kajala matukio ili aondoke mwenyewe.

Nimeona sehemu wanasema sijui Harmo alimfumania Kajala. Harmo this time hajamfumania Kajala. Harmo alimfumania Kajala ile first time kabisaaaa na hakumfumania live alimfumania kwa message za simu kati ya Kajala na Paula, Kajala anamwambia Paula kampa Danga fulani namba yake yeye Paula so aongee naye amtulize, baada ya pale ndiyo Harmo alipomvulia nguo Paula.

Watu wengi walidhani ile issue ya Harmo kumtaka Paula ilikuwa ni sababu ya ugomvi wake na RayVanny hapana sababu kuu ilikuwa ni Kajala kuendelea na madanga yake.

So sababu kuu ya Harmo na Kajala kuachana this time ni Harmo ku realize kuwa Kajala sio wife material na kukubaliana na matokeo. By the way Kajala kaapa Miungu yooote kuwa harudishi range. lla ni hivi range moja lazima airudishe atake asitake maana haina jina lake. Ila hata ingekuwa mimi Kajala sirudishiii ng'oooo, tungeuwana ila gari sirudishiii.

Ushauri kwa wanawake wengine, mwanaume akikupenda sana don't push it. Usijisahau ukadhani umemuweka mkononi ukaanza kumpelekesha. Wakichokaga huwa hawaangalii nyuma. Hakuna mwanaume anaweza kukuacha vibaya kama mwanaume ambaye mwanzo alikuwa kama mtumwa kwako. Huwa wanajua kukusuprise mpaka huamini ni yeye aliyekuwa anakuona kama malaika.

Mwanaume akikupenda na wewe mpende usimchukulie kama fala.

Last but not least soon Harmo anaibuka na mtoto wa Kisomali.

Credit: Kwa Hisani ya Dada wa Taifa.
Harmonize ndio akome kutembea na wazazi waliomzidi kama kajala
 
Harmonize hajasoma Ila anakula mali Safi! Tofaut na sisi na digrii zetu uchwara za uhasibu na CPA za michongo tunaishia Malonya yasiyojielewa huku halmashauri
Hakuna Mali chafu wewe tema huo ugoro wako mkataa pema, nenda Qatar na CPA yako km haujaishi km upo peponi ya nyokwe

Unaishi bara la giza alafu unalialia fyoko iba, si unaona harmo kashalizwa range mbili gizani bila ganzi na hapo angezubaa alikua anamjengea Paula nyumba kuja kushtuka a/c inasoma 5 million aende tena akamlambe mondi magoti ili aanze upya, mwana mpotevu

Haya maisha kila mtu yameandikwa ndani ya script especially life za masta drama's all of them are written script, utaona as if km kuna mapenzi n this n that but behind there is a big deal they do business no love in business if you mix them up you gotta be messed up if you want business do business if you want love leave business behind n stick with what or who you love ndio maana mke wa bakhresa aonyeshwi onyeshi ovyo ovyo km tangazo la Pepsi au DStv kwenye Billboard za mikocheni na k/koo

Pinned
 
Back
Top Bottom