Ntakuzibua
JF-Expert Member
- Oct 3, 2018
- 714
- 1,253
Dah watu mko vizur kufwatilia ya watu😂😂mtu anaongea as if na yeye alikuepo dah hatari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema tena na tena. Nchi ina wapumbavu hii sijawahi kuona.Mkuu hivi unajua deni la taifa saivi shng ngapi!? Endeleeni kujadili ujinga nchi ishauzwa..
Harmonize hajasoma Ila anakula mali Safi! Tofaut na sisi na digrii zetu uchwara za uhasibu
Si na wewe uanze kuimba? Akili za ajabu hizi.Harmonize hajasoma Ila anakula mali Safi! Tofaut na sisi na digrii zetu uchwara za uhasibu
Unadhani Konde angejichanganya?Ile takataka ndy Mali safi?
Mtu kaanza kutumika tokea yuko darasa la sita [emoji1]Kajala ana usafi gani mkuu?
Kama mbususu zingekuwa zinatanuka kila zinapokutana na bwana mpya, watu kama Kajala wangekuwa nusu shimo nusu mtu...
Mtu kaanza kutumika tokea yuko darasa la sita [emoji1]
Ova
Umeona sasa balaa hiloTokea la tano mkuu...
Noma sana!Harmonize hajasoma Ila anakula mali Safi! Tofaut na sisi na digrii zetu uchwara za uhasibu na CPA za michongo
La marekani halituhusula marekani unajua ni kiasi gan?
Hahahaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu hivi unajua deni la taifa saivi shng ngapi!? Endeleeni kujadili ujinga nchi ishauzwa..
Kibibi hakiteleziMuache kupeana utelezi na vibibi
Kinapita kichwa cha mtoto na machine inarudi kwenye ubora wake..ni lastic ile inaenda kutokana na sauti ya mziki...ingawaje ambayo Inasoma Kilometer chache ina radha tofauti kuliko iliyotembe mileage za kutosha..Kajala ana usafi gani mkuu?
Kama mbususu zingekuwa zinatanuka kila zinapokutana na bwana mpya, watu kama Kajala wangekuwa nusu shimo nusu mtu...
Mkuu,kwa uandishi huu ni dhahir umeanza kulewa...kodi toyo ikuwahishe home!Kuko pisi za kwemdaa kali samaa plate # E sasa selew hawa mastaa wanakwama wap
Noma sana!Kiukweli ukimpenda mwanamke na akawa anakuendesha , sku ukimchoka yaan huwa hakuna chembe ya huruma sjui huwa ni Kwa nn tuu , unaweza kumuachia kila kitu yaan hata kumuona hutaki tuu...!! Ghafla Tu unamuona hafai na unajihisi umetua mzigo fulan mzito haswa
Oyaa ndio kwanza naanza kula mayiMkuu,kwa uandishi huu ni dhahir umeanza kulewa...kodi toyo ikuwahishe home!
Lipa Kodi mkuu tumalizie bara bara kipande cha Kigoma..Oyaa ndio kwanza naanza kula mayi