Sababu ya Harmonize na Kajala kuachana (Hii ni fundisho kwa wadada na wamama wengine pia wenye tabia kama hizi)

Sababu ya Harmonize na Kajala kuachana (Hii ni fundisho kwa wadada na wamama wengine pia wenye tabia kama hizi)

Kiukweli ukimpenda mwanamke na akawa anakuendesha , sku ukimchoka yaan huwa hakuna chembe ya huruma sjui huwa ni Kwa nn tuu , unaweza kumuachia kila kitu yaan hata kumuona hutaki tuu...!! Ghafla Tu unamuona hafai na unajihisi umetua mzigo fulan mzito haswa
 
Mhh!
jiminzita.png
 
Vimbwanga vya masuperstar wa Bongo!

Harmo aache ushamba wa kimakonde, mashankupe kama kajala na wopa sio wa kuzoa wale ni takataka! Mbona pisikali nyingi tu kitaa na viwanja?
Tatizo wadogo madomo zege na pia hao mastaa wanatembea sana mpaka kutumia wapambe ili wawapate hawa wadogo walio kwenye njia hapo atajitokeza darali mwingine kupatanisha ndoa atalipwa na Kajala ndio maisha ya mjini hayo mkuu...mtoto wa mjini ni ngumu kucheza na hayo majambazi..
 
Mapenzi ya mastaa ni fasheni tu, wakati mwingine mastaa wawe wanaibuka na wapenzi wasio mastaa.
Usije kuta wanatafuta kiki tu, maana naona Harmo na Kajala wanataka kuwageza JZ na Beyonce ma drama yao ili kukuza nyimbo zao kupitia matukio ya kutengeneza! Soon utasikia Harmo katoa Wimbo mpya!!
 
Back
Top Bottom