Wabena wako poa ndio kuliko wahehe,wahehe Wana exposure kuliko wabena so Kuna namna wanaathiriwa na utandawazi kuliko wabenaWabena jamani tuendelee Tu kuwasifia general they are good in marriage ,labda sio wote lakini haohao baadhi Yao [emoji122]
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Nyanda za juu kusini nahisi wangoni ni wazuri zaidi kwa mwonekano,ni mafundi sita kwa sita,yani ukienda mechi nunua na bandeji maana mauno yake anaweza kukuvunja mashine,tatizo wengi wao ni wahuniAcha mi niendelee na Mngoni wangu Leejay49 baby hao wahehe na wabena wasubiri kwanza
Kaka ni kweli maadili ya mtu yanaathiriwa na malezi,mapito yake maishani,msimamo kidini n.k,lakini niamini mm kaka,wangoni ni wahuniWee tulia basi Mzee wangu, Leejay49 baby sio muhuni
We ushawahi kufanyiwa? Emu niambie ambako hakuna wahuni?Kaka ni kweli maadili ya mtu yanaathiriwa na malezi,mapito yake maishani,msimamo kidini n.k,lakini niamini mm kaka,wangoni ni wahuni
Kuna mmoja niliwahi kukutana naye pale TAG Mwenge, na bado yupo pale mpaka sasa hivi. Huyu mama nilisham-nick name SUPER-WOMAN. Wapo wanawake ambao Mungu aliamua kuwabarikiTabia za wanawake ( wahehe& wabena)
1.Kuvaa kama wanawake yaani yale mavazi ya heshima .
2.kujua nafasi yao kama wanawake.
3. Wana roho nzuri kwa asili .
4.Wavumilivu na wanaweza kuishi maisha ya aina yeyote.
5.Heshima ,utii na adabu.
6.Uchapakazi .
Tatizo lao haswa wabena .
1.Wanapenda sana kunywa pombe za kienyeji na hapo ndo wanatoa utu wao kwa mda ,Yaani mtu akilewa anaweza kuleta mambo ya hovyo ila tabia yake ni nzuri sema pombe inamuendesha vibaya.
😂😂😂Burudani kwa wote
Brother hakuna kabila linalokosa wahuni,ila kinachofanya sifa iwe kwa kabila fulani ni uwiano,mfano tukisema wakinga ndio matajiri wa kusini haimaanishi wote au makabila mengine hayana matajiri ila uwiano ndio unaoleta hiyo sifa.We ushawahi kufanyiwa? Emu niambie ambako hakuna wahuni?
Sawa mkuu nimekubari upo sahihi kabisa wala haujakosea na haujakosea tena,Brother hakuna kabila linalokosa wahuni,ila kinachofanya sifa iwe kwa kabila fulani ni uwiano,mfano tukisema wakinga ndio matajiri wa kusini haimaanishi wote au makabila mengine hayana matajiri ila uwiano ndio unaoleta hiyo sifa.
Atafanyaje??Tupo kawaida tu,dhaifu letu kubwa ni hasira,yani mkikosana afu akapotezea hehehehe! Kuwa makini sana
AtaniuaTupo kawaida tu,dhaifu letu kubwa ni hasira,yani mkikosana afu akapotezea hehehehe! Kuwa makini sana
Hapana,hatuna hulka ya kulipa visasi,ila ndio tunakuwa tumevunja jumla mahusiano cjuw ukaribu,yani Ile point of no return.Atafanyaje??
Ataniua
Ongeza wamachame na wakibosho. Ni wasomi wazuri, pia wazuri kwa sura na kutafuta pesa.Kanda 2 pekee ndipo nilipokuta Ke wanaofanania na haiba ya kike TZ yote.
* Kanda ya ziwa (Wasukuma, Waha, Wajita, Wakurya, Wahaya, Wazanaki, Wajaluo).
* Kanda ya kusini (Wahehe, Wabena).
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hata mie nipo hivyooHapana,hatuna hulka ya kulipa visasi,ila ndio tunakuwa tumevunja jumla mahusiano cjuw ukaribu,yani Ile point of no return.
Haha hahahaha eti wamachame na wakibosho hahahaha.Ongeza wamachame na wakibosho. Ni wasomi wazuri, pia wazuri kwa sura na kutafuta pesa.
Hao Wapangwa sio Wahehe[emoji1787]Ndiyo kina Haule?, Basi kama ni hao, kuna mmoja hapa kaolewa na harusi Kanisani kwetu ni hata mwaka haujaìsha wameachana.
Dah Sasa si itakuwa moto juu ya moto,ila uzuri ndio huo watu hawaigizi yani mkizinguana Kila mtu anaendelea na mambo yakoHata mie nipo hivyoo
ni kutokana na tamaduni zao, zimewaweka kuwa hivyo.Muhimu: Sifa ya kabila flani huwa haimaanishi ni watu wote bali ni umaarufu wa kuwa na wawakilishi wengi kiasi cha kusifika, hivyo haimaanishi kwamba wanawake wote wahehe / wabena ni wife material,
Naomba tuelewane sifa hizi ni za kwenye maisha ya ndoa, huwezi fananisha uchumba wa sekondari / chuoni na maisha ya ndoa rasmi.
Hata mimi nimekutana na wanawake wengi mashuleni, mtaani, majirani, n.k. katika wale wabena na wahehe ambao nawajua wameolewa ni nadra sana kusikia ndoa zao zina drama na scandal.
Wapo Loyal kwa waume zao Kudumu kwenye ndoa wavumilivu kwenye ndoa, Akina Segito -hawana tamaa ya mali, -Kujua kulea watoto -Kuishi vizuri na ndugu wa mwanaume (labda tatizo liwe upande wa ndugu wa mwanaume) Wapo loyal ila hakuna kitu wanachukia kama kuwatenda, hakimbilii mahakamani kuomba ndoa ivunjwe bali kwa heshima ya ndoa na kuwajali watoto atakuvumilia muishi wote lakini hapo mapenzi unakuwa ushayaua.
Hata Rais Mwinyi wa Zanzibar nae kavuta huko Iringa japo ni mkristo, kwa wale tunaoangalia habari ni jambo la Kawaida Mwinyi kumsifia hadharani mke wake mara kwa mara katika hotuba.
JE ni utamaduni, familia, malezi au ni sababu zipi zimewafanya wapate title hii ?
Muhimu: Sifa ya kabila flani huwa haimaanishi ni watu wote bali ni umaarufu wa kuwa na wawakilishi wengi kiasi cha kusifika, hivyo haimaanishi kwamba wanawake wote wahehe / wabena ni wife material,
Naomba tuelewane sifa hizi ni za kwenye maisha ya ndoa, huwezi fananisha uchumba wa sekondari / chuoni na maisha ya ndoa rasmi.
Hata mimi nimekutana na wanawake wengi mashuleni, mtaani, majirani, n.k. katika wale wabena na wahehe ambao nawajua wameolewa ni nadra sana kusikia ndoa zao zina drama na scandal.
Wapo Loyal kwa waume zao Kudumu kwenye ndoa wavumilivu kwenye ndoa, Akina Segito -hawana tamaa ya mali, -Kujua kulea watoto -Kuishi vizuri na ndugu wa mwanaume (labda tatizo liwe upande wa ndugu wa mwanaume) Wapo loyal ila hakuna kitu wanachukia kama kuwatenda, hakimbilii mahakamani kuomba ndoa ivunjwe bali kwa heshima ya ndoa na kuwajali watoto atakuvumilia muishi wote lakini hapo mapenzi unakuwa ushayaua.
Hata Rais Mwinyi wa Zanzibar nae kavuta huko Iringa japo ni mkristo, kwa wale tunaoangalia habari ni jambo la Kawaida Mwinyi kumsifia hadharani mke wake mara kwa mara katika hotuba.
JE ni utamaduni, familia, malezi au ni sababu zipi zimewafanya wapate title hii ?
Ūlīndanganu gete!
Huyo Msukuma wako kama ana mdogo wake niunganishe