Siku zote wajinga ndiyo waliwao. Mjanja kama mimi siwezi kujimaliza kwa huyo Mwamposa, hata kwa shilingi ya Mkoloni!Juzi Bi. mkubwa wangu kanitembelea nyumbani, sasa yeye ni mmoja wa waumini wa kwa Mwamposa.
Baada ya salamu za hapa na pale akaomba awekewe channel ya Mwamposa aangalie ibada.
Wakati tukiangalia kulikuwa ni kipindi cha sadaka, kilichonishanga ni hii sadaka ya kujimaliza yaani toa chote ulichonacho ili ubarikiwe zaidi.
Nikamuuliza Bi mkubwa na wewe huwa unajimaliza? Akanijibu ndio kuna siku nilijimaliza nikakosa mpaka nauli nikachoka.
😝😁😁😁😁😁Ndio nimeacha
Kila kitu imaniKama anatoa uponyaji semeni msiwe wabinafsi
Inaongeza umasikiniMkuu ile sadaka haitii umaskini kwakuwa wanaotoa sadaka hiyo ni watu maskini
Demi Hii sadaka ya kujimaliza najileta kwako kujimaliza mzima mzima.Juzi Bi. mkubwa wangu kanitembelea nyumbani, sasa yeye ni mmoja wa waumini wa kwa Mwamposa.
Baada ya salamu za hapa na pale akaomba awekewe channel ya Mwamposa aangalie ibada.
Wakati tukiangalia kulikuwa ni kipindi cha sadaka, kilichonishanga ni hii sadaka ya kujimaliza yaani toa chote ulichonacho ili ubarikiwe zaidi.
Nikamuuliza Bi mkubwa na wewe huwa unajimaliza? Akanijibu ndio kuna siku nilijimaliza nikakosa mpaka nauli nikachoka.
Akili za waumini wa Mwamposa wanazijua wenyewe mkuu. Hata mimi nilishangaa sana jinsi huyu jamaa anavyowadanganya akina mama watoe pesa zote halafu wanabaki kuwa ombaomba mitaani. Inasikitisha sana,Juzi Bi. mkubwa wangu kanitembelea nyumbani, sasa yeye ni mmoja wa waumini wa kwa Mwamposa.
Baada ya salamu za hapa na pale akaomba awekewe channel ya Mwamposa aangalie ibada.
Wakati tukiangalia kulikuwa ni kipindi cha sadaka, kilichonishanga ni hii sadaka ya kujimaliza yaani toa chote ulichonacho ili ubarikiwe zaidi.
Nikamuuliza Bi mkubwa na wewe huwa unajimaliza? Akanijibu ndio kuna siku nilijimaliza nikakosa mpaka nauli nikachoka.
Na pia wanahubiri mafanikio ya hapa duniani kuliko wokovu na uzima wa milele. Inasikitisha sana ujue aisee!Wanahubiri sadaka kuliko kumpendeza mungu
Wanajimaliza haswaaa.Come this way pls...😅😅
Halafu waumini wa haya makanisa ni wabishiiii, jaribu kuwaelimisha uone
Wanakuaga kama wamepumbazwa akili. Huwaambii kitu hadi aje kushtuka it's too lateWanajimaliza haswaaa.
Kuna jamaa ananiambia baba yake aliuza shamba akajimaliza huko. Mzee karudi hukoo alikozaliwa anamalizia maisha yake.
Nakujhaaa
Shida ni kukosa maarifa ya Neno la Mungu... Pia mambo ya kutaka miujiza....Yani unaambiwa, ukijaribu kuwaelimisha...ni kama umeanzisha vita kuu ya tatu ya dunia. Bi Mkubwa mwenyewe alikuwa anatuma ma dola kwa T.B....saa hivi hilo liteni linavyompiga chenga, anakaaga kuuliza "hivi ni nini kimenipata?" (Yani na hapo, akipata tu, utaskia kachomoa sadaka ya shukrani)
Kila mtu ana jimaliza kwenye maeneo yake mfano wengi wana jimaliza Bar, Kanisa, Kwa malaya, wengine kwenye familia, wengine kwa nyumba ndogo.Tatizo akili hapo... Hao watu wanaojimaliza wana kiwango kikubwa sana cha ujinga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo ujimalize mpka ukose nauli? Hiyo ni akili?Kila mtu ana jimaliza kwenye maeneo yake mfano wengi wana jimaliza Bar, Kanisa, Kwa malaya, wengine kwenye familia, wengine kwa nyumba ndogo.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Mkuu siyo wajinga ila huwezi jua wanapitia magumu gani kwenye maisha yao wengine wamekata tamaa kutafuta tiba mahospitali ni.Yaani bhana, juzi alikuwa hapa Tabora, kwenye sadaka, aliyekuwa anatoa Chini ya elfu kumi,haombewi, yaani kakusanya hela kwa wajinga balaa
Ila wewe jamaa bhana[emoji3] Mbn unakuwa kama Konda unawadanganya wenzako kama upo nao pamoja wakishapanda gari wewe unaenda grocery kuvuta sigara kusubiria gari ijae[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Uzuri ni mwafrika mwezetu..ana ndugu kibao mbeya..mali zitabaki hapa hapa bongo...kuliko kuzipeleka kwa wazungu au waarabu.
#MaendeleoHayanaChama
Hivi kukanyaga mafuta nayo ni mafundisho ya Yesu au ni maendeleo ya Ukristo.Uislamu ni dini ya waarabu ndio mana mafundisho yao yamejaa chuki..husuda..unafiki na mauaji.
Njoo ukanyage mafuta na kula keki ya upako upate ukombozi kamili huku ukitoa sadaka ya kujimaliza.
#MaendeleoHayanaChama
Hata ccm inajulikana wazi ni chama cha hovyo lakini kina wafuasi mamilioni hapa nchini, sembuse huyo anaegusa imani za watu.Natoa Rai kuw msingatieni Sana mwamposa msimpuuze Kuna kitu ndani yake ambayo wengi hawana
Mm Sina neno nao Kama Ni wa mungu bas sawa Kam si nabii wake ni tapeli ila nijuacho mm anakitu ndani yake
Shuhuda zake azielezeki maelfu humfata je Ni Nani huyu