Sio waginjwa ndugu,wanataka pesa ziongezekeMkuu siyo wajinga ila huwezi jua wanapitia magumu gani kwenye maisha yao wengine wamekata tamaa kutafuta tiba mahospitali ni.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
๐๐ kwq mwamposa kuna pisi kali hadi sasa nimetafuta pisi tatuKaribu madhabahu ya Dokta mtume na nabii Mwamposa ule keki ya upako na ukanyage mafuta...tupo kwenye opareshen komboa familia.
Acha kulia anza kuamini.
#MaendeleoHayanaChama
Vipi mlienda Bukoba kusaidiana na akina Majaliwa kuwaokoa wahanga?Karibu madhabahu ya Dokta mtume na nabii Mwamposa ule keki ya upako na ukanyage mafuta...tupo kwenye opareshen komboa familia.
Acha kulia anza kuamini.
#MaendeleoHayanaChama
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Aiseeee akarudishiwa???kuna mke wa mtu huko kigamboni dar es salaam alipewa ahifadhi milioni kumi 10 ya maendeleo, mwanamke akaenda kujimaliza na milioni 10 kwa mwamposa, mumewe alipoitaka pesa akaambiwa nimejimaliza baada ya siku tatu ntarudishiwa, jamaa akafura kama Mamba, akazama kwa mwamposa akapiga bonge la mkwara akarudishiwa pesa yake, ni habari very recent
Shindwa pepo.[emoji16][emoji16] kwq mwamposa kuna pisi kali hadi sasa nimetafuta pisi tatu
My people are destroyed by the lack of knowledge Hosea 4 :6.Juzi Bi. mkubwa wangu kanitembelea nyumbani, sasa yeye ni mmoja wa waumini wa kwa Mwamposa.
Baada ya salamu za hapa na pale akaomba awekewe channel ya Mwamposa aangalie ibada.
Wakati tukiangalia kulikuwa ni kipindi cha sadaka, kilichonishanga ni hii sadaka ya kujimaliza yaani toa chote ulichonacho ili ubarikiwe zaidi.
Nikamuuliza Bi mkubwa na wewe huwa unajimaliza? Akanijibu ndio kuna siku nilijimaliza nikakosa mpaka nauli nikachoka.
๐๐ nitawagonga sana nyie si mnajifanya watumishi wa utapeliShindwa pepo.
#MaendeleoHayanaChama
Mnapenda kujipa vyeo nyie mkuhani feki dk,nabii,mtume๐๐Karibu madhabahu ya Dokta mtume na nabii Mwamposa ule keki ya upako na ukanyage mafuta...tupo kwenye opareshen komboa familia.
Acha kulia anza kuamini.
#MaendeleoHayanaChama
Mwisho wasiku utagongwa na wewe..shindwa pepo.[emoji16][emoji16] nitawagonga sana nyie si mnajifanya watumishi wa utapeli
Karibu sana.Mnapenda kujipa vyeo nyie mkuhani feki dk,nabii,mtume[emoji38][emoji119]
Huyo mume aishi Maisha marefukuna mke wa mtu huko kigamboni dar es salaam alipewa ahifadhi milioni kumi 10 ya maendeleo, mwanamke akaenda kujimaliza na milioni 10 kwa mwamposa, mumewe alipoitaka pesa akaambiwa nimejimaliza baada ya siku tatu ntarudishiwa, jamaa akafura kama Mamba, akazama kwa mwamposa akapiga bonge la mkwara akarudishiwa pesa yake, ni habari very recent
Mkuu meno logic ni dogo ila watu wanashndwa kabisa kulitumiaNi kweli
Nishapigiwa simu mara kadha watu wananiomba niwatumie nauli baada ya ibada ya Mwamposa
AfricaJuzi Bi. mkubwa wangu kanitembelea nyumbani, sasa yeye ni mmoja wa waumini wa kwa Mwamposa.
Baada ya salamu za hapa na pale akaomba awekewe channel ya Mwamposa aangalie ibada.
Wakati tukiangalia kulikuwa ni kipindi cha sadaka, kilichonishanga ni hii sadaka ya kujimaliza yaani toa chote ulichonacho ili ubarikiwe zaidi.
Nikamuuliza Bi mkubwa na wewe huwa unajimaliza? Akanijibu ndio kuna siku nilijimaliza nikakosa mpaka nauli nikachoka.
Niliwahi forciwa wakati fulani na B mkubwa kwenda kwenye mahubiri ya Jamaa, saaa mimi ikabidi nibebe bible ndogo, na lengo ni kwamba anapo tanka kitabu fulani basi nisome, Day ya kwanza hakuna sehemu alitamka Fungu zaidi ya yeye kufika na kuanza kuita watu watoe ushuhuda, nikajisemea labda ratiba ndo iko hivgo, Day 2 pia hivyo hivyo, nikajikaza nikaenda day 3 navyo hivyo, tangu siku hio sikwahi kanyaga kwa jamaaa tena. Siku tatu hakuna kusoma fungu,Wanahubiri sadaka kuliko kumpendeza mungu