Sadaka ya kujimaliza ya kwa Mwamposa inatia watu umasikini

Focus kubwa IPO kwenye miujiza baada ya kuhubiri ufalme wa mbinguni.
Mara keki, chumvi sijui ushumbwada Gani huko hiyo yote ni kutaka big results now.
Watajimaliza sana TU kwa upuuzi wao.
 
Karibu madhabahu ya Dokta mtume na nabii Mwamposa ule keki ya upako na ukanyage mafuta...tupo kwenye opareshen komboa familia.

Acha kulia anza kuamini.

#MaendeleoHayanaChama
๐Ÿ˜๐Ÿ˜ kwq mwamposa kuna pisi kali hadi sasa nimetafuta pisi tatu
 
Karibu madhabahu ya Dokta mtume na nabii Mwamposa ule keki ya upako na ukanyage mafuta...tupo kwenye opareshen komboa familia.

Acha kulia anza kuamini.

#MaendeleoHayanaChama
Vipi mlienda Bukoba kusaidiana na akina Majaliwa kuwaokoa wahanga?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Aiseeee akarudishiwa???
 
My people are destroyed by the lack of knowledge Hosea 4 :6.
Waroma 16:18
Maana watu wa namna hiyo hawamtumikii Kristo Bwana wetu, bali wanayatumikia matumbo yao wenyewe. Kwa maneno yao matamu na hotuba za kubembeleza hupotosha mioyo ya watu wanyofu.
 
Karibu madhabahu ya Dokta mtume na nabii Mwamposa ule keki ya upako na ukanyage mafuta...tupo kwenye opareshen komboa familia.

Acha kulia anza kuamini.

#MaendeleoHayanaChama
Mnapenda kujipa vyeo nyie mkuhani feki dk,nabii,mtume๐Ÿ˜†๐Ÿ™Œ
 
Huyo mume aishi Maisha marefu
 
Naamini iko siku serikali yetu itamchukulia,hatua huyu mchungaji sijui Nabii! Kwani sasa kaingia kwenye utapeli kwa kujificha kwenye Neno la Mungu, au afanye ziara Rwanda akakutane na mkono wa Chuma wa Kagame
 
Africa
 
Wanahubiri sadaka kuliko kumpendeza mungu
Niliwahi forciwa wakati fulani na B mkubwa kwenda kwenye mahubiri ya Jamaa, saaa mimi ikabidi nibebe bible ndogo, na lengo ni kwamba anapo tanka kitabu fulani basi nisome, Day ya kwanza hakuna sehemu alitamka Fungu zaidi ya yeye kufika na kuanza kuita watu watoe ushuhuda, nikajisemea labda ratiba ndo iko hivgo, Day 2 pia hivyo hivyo, nikajikaza nikaenda day 3 navyo hivyo, tangu siku hio sikwahi kanyaga kwa jamaaa tena. Siku tatu hakuna kusoma fungu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ