Uislamu ni raha sana, watu wapo real sana katika ile deen!Huku msikitini kwetu sadaka yetu tunalipia maji na umeme ambavyo hivyo vitu tunavitumia sisi wenyewe,, imamu/kiongozi wetu yeye mitikasi yake fundi ujenzi sio kwamba anategemea sadaka ka mzee wa upako,, na mara nyingine imamu wetu akipiga mishindo yake kwenye mitikasi yake ya ujenzi shoo ya umeme na maji anamaliza yeye mwenyewe so atuchangishwi,, huu ndo uislam
Ni bora mpungue masikin nyinyi mnapenda vya bure ndio maana waislam wengi ni masikini kinoma fanya utafiti coz ukristo unataka watu wafanye kazi yaani wajitume
Sawa ni masikini Sasa tuwekee nchi tajiri za kikristo ambazo nazo zipo Africa tuzione tuweze kuzilinganisha na hizo ulizotajaWale morocco ni maskini misri ni maskini sudan kwa sababu ya vita vyao libya nao kwa sababu ya vita vyao Algeria hao ni maskini hv we kweli umemaliza hata darasa la saba kweli
Hizo hela unadhani wanatoa wapi kama sio kristiani kuwaunga mkono..bila kampuni za mafuta za marekani na ulaya unadhani mwarabu hela ataitoa wapi?...Samahani baba mchungaji kama sio mwenyekiti wa jumuiya/parokia Kwaiyo qatar na nchi za kiarabu zinazidiwa na ninyi?
Ukiristo ni kichaka cha kutaftia heshima ya kuzikwa hamna ziada kwa hao matajiri.
kwa maskini ni sehem ya kutoa sadaka iwezekanavyo ili ubarikiwe urudishiwe maradufu
na ukishindwa kurudishiwa duniani tunakuambia utarudishiwa mbinguni.
Kuna watu wanapesa kuzid hata huyo elon musk wako huko uarabuni wametulizana tu.
Acha upotoshaji..ukristo unafundisha kufanya kazi..na asiyefanya kazi na asile.Ulichoongea ni vice versa kabisa, uislam unaamini mtu aende kuswali amuombe Mungu then akafanye kazi na Mungu aibariki hiyo kazi, lakini ukristo mwingi unataka watu waamini watafanikiwa kwa miujiza ya pastor na unakuta mtu Hana hata kazi anakuambia pokea gari, Sasa unapataje gari na hauna kazi.
Lazima mtoe povu kama mnaviela vyenu vya mawazo, kingine mnasali makanisa gani nyie, mfano luther sadaka sio lazima na fungu la kumi ukipeleka hata 5000 kutoa tena inaweza kupita hata miiezi, katika ukristo kuna fundisha watu kufanya kazi na kutafuta pesa ndio maana ukiona michango ujue unaamshwa upambane ndio maana matajiri wengi ni wakristo duniani hao wengine ni mmoja moja fanya utafiti uone waislam wengi ni masikini kinomaa coz din yao kila kitu ni simple sasa hapo inafundisha utafutaji kuwa chini mfano angalia nchi za kiislam africa ni masikin zakutupa, angalia sasa za wakristo wengi mfano south africa au nigeria pande za lagos matajiri kibao nenda kule kaskazin kwa waislam masikin kibao so kama vp hamieni huko kwenye usimple mnakotaka
Hv umenielewa kweli umeelewa mi nipo upande gn nadhan ungesoma huu mjadala toka comment zangu za mwanzo usingeniuliza hili swaliSawa ni masikini Sasa tuwekee nchi tajiri za kikristo ambazo nazo zipo Africa tuzione tuweze kuzilinganisha na hizo ulizotaja
Wazungu wameshindwa kuwaunga mkono nyie waafrika wakristo wenzao kuzid wao, kweny maliasiili wanaishia kuwaibia.Hizo hela unadhani wanatoa wapi kama sio kristiani kuwaunga mkono..bila kampuni za mafuta za marekani na ulaya unadhani mwarabu hela ataitoa wapi?...
#MaendeleoHayanaChama
Samahani mkuu nimekuelewa Sasa uko upande ganiHv umenielewa kweli umeelewa mi nipo upande gn nadhan ungesoma huu mjadala toka comment zangu za mwanzo usingeniuliza hili swali
Wananyonywa wote ogopa ubepari wewe..wanachoangali ni pesa..kama huamini washauri waarabu wauze mafuta nje ya dola..kama hawajageuka majivu..kawaulize libya kilichowatokea.Wazungu wameshindwa kuwaunga mkono nyie waafrika wakristo wenzao kweny maliasiili wanaishia kuwaibia.
wawaunge mkono waislam?
Huko watu wanamajina ya kikiristo lakin hawana dini usichanganye mambo
huwezi kuta waningia jumapili kanisani kama wewe.
Hata waislam wako kama wewe wanawapenda waislam wenzao kuliko mkristo anavyo mpenda mkristo mwenzakeWananyonywa wote ogopa ubepari wewe..wanachoangali ni pesa..kama huamini washauri waarabu wauze mafuta nje ya dola..kama hawajageuka majivu..kawaulize libya kilichowatokea.
Anyway bora nitoe mamilion kwenye ukristo dini ua upendo na amani kuliko kutoa mia kwenye usislamu...dini ya chuki na jihadi..iliojaa unafiki na upotovu.
#MaendeleoHayanaChama
Turudi kwenye Imani zetu za kaleHabari za wakati huu Wana jamvi, mama yetu yupo Egypt kwa majukumu yake ya kikazi,niende moja kwa moja kwenye mada.
Ibada ni kitu muhimu Sana hasa kwa welfare ya kiroho, kwa sababu Vita ya kiroho ni Kubwa Sana Bora hata mtu akukimbize na panga unaweza ukajitetea kwa kukimbia au kupambana nae na ukashinda ila sio huko upande wa pili (spiritually)
Na laiti tungekua na uwezo wa kuona Vita iliyopo kiroho sidhani Kama tungetazamana mara mbili unakuta huyo huyo anaekupeleka hospitali ndie aliekuroga, ndugu zako wanakupiga juju ili usitoboe yaani Mambo ni mengi na ya hovyo tu.
Lakini ibada za siku hizi kwenye haya madhehebu yetu ni mara Mia ukakaa nyumbani ukasoma biblia na ukaenda kusaidia masikini moja kwa moja na ukabarikiwa.
Sadaka zimekua nyingi Sana mtu unakutana na zaidi ya vikapu vitano,baraka zitatoka wapi hapo? Mtu unaanza kugawa sadaka SI ndo yale yale ya kaini na habili?
Nawasilisha.
Ninamiaka miwili sijaingia kanisani.Binafsi watumishi ninao wazikiliza na kutoa sadaka kwao, wapo Youtube.
mimi nimekua nikisali Lutheran, naishukuru sana kwa kunipa maziwa nikiwa mtoto mchanga, lakini kwa sasa chakula kigumu ninacho kitaka sikipati KKKT ni nje ya KKKT.
inshort Kanisani siendi, ibada yangu ni Nyumbani tu.
Amina, Mungu na abariki kazi yetu ya ku-take risk mkuu.Nkienda Church huwa natoa sadaka Moja tuu, ile General baaasi
Mie sijaamua kusubiri nimeamua kuhama kabisaUkristo hauNa shida, shida ni sisi tumekua wajinga,
Hatuwezi kabisa kuchanganua Mambo.
Ukitenga Muda wako kosoma biblia, kuna vingi utajua kuliko kusubiri mahubir ya Mchungaji.
Nazani ukilinganisha miundo mbinu na taratibu za uendeshaji wa makanisa na misikiti tayari utaona utofauti mkubwa Sana, kanisa hasa nikijikita Kwa kanisa katoliki kama mfano Anza kuangalia majengo, samani, na Mali nyingine zilizomo kanisani na uendeshaji wa misa kuanzia mahitaji kama ekaristi, divai, mafuta ya gari la parokia, service, na makorokoro mengine utaona umuhimu wa hizo sadaka huko msikitini zaidi ya mikeka, maji, na bili ya umeme hakuna samani nyingine kwahiyo ukianza kulinganisha angalia pia utamaduni wa kuendesha shughuli za kila siku, Kwa upande wa hiyo michango ipo inayoenda moja Kwa moja jimboni Kwa Askofu kumbuka hakuna tena misaada kutoka nje Kwa makanisa na kwaupande wa huduma za kijamii hasa elimu, mashule mengi ya wakatoliki ni ya mashirika ukiondoa seminari ambazo Zina milikiwa na majimbo kwaajili ya malezi, na hizo shule zinaendeshwa Kwa gharama kubwa kutokana na huduma wanazo zitoa ndiyo maana wazazi mnatozwa ada kubwa na matunda yake mnayaona matokeo ya watoto yanakuwa mazuri kwahiyo japo siwezi Pinga suala la upigaji lipo kila mahali ila matunda ya michango tunayaona Kwa madhehebu mengine ya kikiristu sijui ila Kwa upande wa katoliki ninalo lakuongeleaNavyozidi kutumia logic.. naona mapungufu mengi sana makanisani na mazuri mengi sana dini ya wenzetu waislamu..
Sadaka kwenye ukrito imekaa kipigaji pigaji sana hasa fungu la kumi na sadaka zingine kibao. Angalau waislam sadaka inasisitizwa itolewe kama zaka kwa maskini, wajane, wagonjwa, na makundi mengine yenye shida ,,katika nguzo zao za uislam.
Nimeshauguza sana mama yangu muhimbili na moi.. kila mara akilazwa nikienda asubuhi kumuona naona makundi ya waislam wanatembelea wagonjwa waliolazwa na kuwapa uji na vyakula asubuhi .. sio ndugu zao bali ni utaratibu wa dini yao wanasaidia wagonjwa ambao hawana wa kuwapa vyakula.. mimi ni mkristo sijawai kuona kundi la wakristo likifanya hivyo hata siku 1 katika siku zote nilizokuwa naenda moi na muhimbili kumuona mama.
Makanisani mahubiri yanasisitiza sadaka tu na hizo sadaka hazijulikani zinaenda wapi? Maana hata shule za kanisa zilizojengwa kwa sadaka zetu bila kulipa ada mwanao anafukuzwa
Mkuu yaani kuna mambo ambayo huwezi amini kama kweli makanisa haya yanafanya. Ukizingatia ni makanisa makubwa kabisa.Hii mbanga imekuwa serious, nilitaka nihamie huko ila kumbe nako jau u?[emoji23][emoji23][emoji23] lunch na bwana yesu nimeipenda!