Sadat & Hussein Mumbarak-Egypt na Clinton wanafichua kuwa Amani kati ya Israel na Wapalestina inakwamishwa na chuki ya Wapalestina

Sadat & Hussein Mumbarak-Egypt na Clinton wanafichua kuwa Amani kati ya Israel na Wapalestina inakwamishwa na chuki ya Wapalestina

Wapalestina walishachagua kufa na watakufa kweli kwakuwa wamechagua njia hiyo wanaamini wanaweza wakaifuta Israel kwa makombora na mitutu ya bunduki kwa kudaganywa na kuaminishwa na uwezo wa baba yao Iran.

Hawajui kuwa mwenye mamlaka ya kuifuta Israel ni Mungu mwenyewe na hata fanya hivyo, na siyo makombora makali wala silaha yoyote kali.
Mkiambiwa hamna akili mnakataa ila ndio ukweli kwahio wewe kwakua hujachagua kufa unahisi utakaa milele hapa eeenh
 
Bwana Utam uislam umeathiri sana akili yako imeoshwa badilika uwe na mtazamo mpya
Nibadilike niweje kijana nimewapa fact mnaruka ruka jibuni hoja munadai waislam hasa wapalestina wanadai kutaka kuwafuta wazayuni nimeuliza swali hujaja na jibu hitler alikua anasali msikiti gani
 
Wazayuni wapo everywhere Ulaya, same as Waislamu. Tutajie matukio 2 tu ya uvunjifu wa amani uliofanywa na Wayahudi anywhere in the world halafu na sisi tuanze kukutajia matukio hata 1000 ukitaka ambayo yamesababishwa na Waislamu including Tanzania. Twende kazi, acha DATA ziongee
Wazungu wa kizayuni walojivika lemba la uyahudi wana matukio zaidi ya million ila ntakutajia machache kwa kila bara ntakutajia moja au mawili wazayuni walipiga mabomu ya nyuklia Japan wakaua ma elfu ya watu wazayuni ndio waloungana kuua kwa njaa maelfu ya watu Korea kaskazini wazayuni ndio wanaoendelea kuua na kutesa kwa kukosa madawa Cuba na Venezuela naona shida kuandika ila haya ni machache kati ya mengi
 
Nitakufa kifo cha Mungu na siyo cha kujipangia mwenyewe,ambaye hana akili ni yule aliyejichagulia kufa wakati ameumbwa ili aishi.
Hakuna anaejuchagulia kufa kijana na hujaumbwa ili uishi umeumbwa ili umuabudu mungu wangapi wanaumbwa ila hawaishi
 
Wazungu wa kizayuni walojivika lemba la uyahudi wana matukio zaidi ya million ila ntakutajia machache kwa kila bara ntakutajia moja au mawili wazayuni walipiga mabomu ya nyuklia Japan wakaua ma elfu ya watu wazayuni ndio waloungana kuua kwa njaa maelfu ya watu Korea kaskazini wazayuni ndio wanaoendelea kuua na kutesa kwa kukosa madawa Cuba na Venezuela naona shida kuandika ila haya ni machache kati ya mengi
Ukimchukia mtu unamtungia Kila uongo , mwishowe utasema wayaudi ndio walivamia kitaya Mtwara na kuua raia
 
Clinton huwa ni muongomuongo si wa kumuamini.

Amewahi kutoa kauli ya uwongo kuwa "I never had sex with that woman", Yaani Monica Lewinsky, kumbe hiyo ndo ilikuwa michezo yake.
 
Ukimchukia mtu unamtungia Kila uongo , mwishowe utasema wayaudi ndio walivamia kitaya Mtwara na kuua raia
Ndio shida ya kubishana na watu wenye matatizo ya afya ya akili hayo nenda ka Google maana hayapo kwenye Quran kusema utakua huwezi kuyasoma halafu uje useme wapi nimedanganya
 
Hivyo vina faida gan kwenye huu mjadala ? Ebu jikite kwenye mada
Vina uhusiano kabisa na hii mada, kwa sababu sio tu kwamba wapalestina hawakutaka huu mgogoro uishe, hata hao waisrael hawakutaka na ndio maana walimuua PM wao ambaye alikuwa tayari iwepo nchi ya palestina.
 
Video ya Hayati Anwar Sadat anasema Siwezi kamwe kuhatarisha hatima ya Egypt kwa sababu ya tabia yao ya kitoto. Anawalaumu viongozi wa Palestina kwa kukutaaa makubaliano ya Camp David. Anasema makubaliano hayo yalilenga Wapalestina wawe na Serikali yao baada ya Miaka 5 ya utekelezaji wake. Anasema Makubaliano ya Camp David hayakuwa kwa ajili ya kuwashambulia wapalestina katika Mji wa Tel Al Zaatar. Na wala makubaliano hayo hayakuwa kwa ajili ya kuwatenganisha Waarabu. Kwa miaka sita tumekuwa tukiwaonya (Viongozi wa Palestine) kama tulivyofanya May 1, 1976 kule Suez kwa lengo la kuiokoa Lebanon na kutunza heshima yetu Waarabu. HAPA ALIKUWA AKIREJEREA VITA YA WENYEWE KWA WENYEWE KULE LEBANON AMBAYO CHANZO CHAKE KILIKUWA WAKIMBIZI WA KIPALESTINA AMBAO WALIFUKUZWA KULE JORDAN.
View attachment 3142031

Video ya pili Ni Rais Hussein Mbarak ambaye pia anawalaumu wapalestina: anasema mgogoro wa Palestina na Israel umekuwa complicated. Anasema lazima viongozi wa Palestina waachane na tabia yao ya kusema NO kwa kila kitu. Anasema kwa miaka 50 iliyopita wamekuwa wakisema NO na kujikosesha fursa ya kuwa na Taifa lao. Anasema mwaka wa 1948 wapalestina walikataa Mpango wa Umoja wa Mataifa wa kuunda mataifa mawili (yaani Taifa la Jewish Palestine & Arab Palestine). Na mwaka 1967 Israel ilikubali kuachia maeneo inayokalia ili mradi Wapalestina Watambue kuwepo kwa Taifa la Israel, Wapalestina wakasema NO. Kwamba kilichochulikwa kwa Nguvu lazima kirudishwe kwa nguvu. Anaendelea kusema Wapalestina walikataa pia Camp David Agreement.
View attachment 3142039
Video ya tatu anasema mnajigamba manataka kuiangamiza Israel, kweli? Mtaiangamiza kwa kutumia nini?
View attachment 3142040
Video ya tatu anasema Israel hawakuwa na shida kujadili na kufikia muafaka katika masuala yaliyokwamisha majadiliano. Wapalestina walitakiwa waige mfano wetu (Egypt) tuliofanya majadiliano ya amani na Israel na hatimaye kukarudishiwa maeneo yetu Yote.
View attachment 3142050
Video ya Bill Clinton akiwa kwenye kampeni za Kamala Harris za kugombea Urais.
Akaamua kuwatolea Uvivu Waislamu wa Michigan (Jimbo hilo Ndilo lenye waislamu wengi kule Amerika) na kusema ukweli. Anasema kama mngekuwa mliishi kule Kibutzi Israel ambako kwa kulinganisha maeneo mengi ya Israel, Watu wa Kibutzi ndiyo ambao huunga Mkono kuundwa kwa Taifa la Wapalestina linalojitawala, Halafu hiyo October 7 hao hao wapalestina mnaowapigania ndiyo wanakuja kuwachinja kinyama na kuwa choma moto na kuwabaka wanawake wenu, ni lazima ushangazwe sana na Afya ya akili ya hawa watu. Anasema Yassier Arafat alitudanganya. Alijifanya kukubali makubaliano ya Oslo ambayo yangewapa 96% ya west bank Pamoja na East Jerusalem wakiwaachia Israel only 4%. Mwenzetu akaenda kukaa na wenzie na kukataa makubaliano hayo. Sababu kubwa ni Agenda yao ya kuhakikisha Taifa la israel na Wayahudi wanafutiliwa Mbali. Clinton halafu anawambia kuwa Mjue kuwa WAYAHUDI WALIKUWEPO KATIKA HIYO ARDHI MIAKA MINGI KABLA YA NYINYI NA DINI YENU KUVAMIA HAPO.
View attachment 3142051
Hawa ndio wasemaji wa Palestina? huyu Saadat alikuwa mnafiki kabisaa huyo alimuingiza mkenge Hafidh Assed kwa ubinafsi wake, ndio maana waarabu wengi walikuwa HAWAMPENDI
 
Back
Top Bottom