Sadio Mane amruhusu mkewe kwenda kusoma chuo, siku chache tu baada ya ndoa. Tumwambie au tumwache?

Sadio Mane amruhusu mkewe kwenda kusoma chuo, siku chache tu baada ya ndoa. Tumwambie au tumwache?

Kunasiku ugumu ulimikamata kwer kwer kila nikizama kwa app husika wanazingua ilibidi nianze ku run kuikata akili ya kuwaza upuuzi ili siku iishe na nikifanikisha ilo
 
Kila mwanamke mnafananisha na hizo takataka zenu za Daslam zinazotembea bila kuvaa nguo za ndani. Zimevaa vijora ambavyo wanavipandisha kwa sababu ya uzinzi na umaskini. Hivi kuna mwanamke anayeweza msaliti mane kwa visharobaro vichonga nyusi na vilamba mdomo kwa mkwanja na umaarufu alionao? Huyo binti jamaa alikuwa anamsomesha huko huko chuo na mara baada ya kufunga ndoa akamruhusu aendelee na masomo.

Huyo sio sawa na hao wanuka midomo na wenye harufu ya visamaki wa huko daslama.
Umeongea upuuzi labda kutobobea Kwenye wanawake hakuna mke wa mtu aliyewahi kutoboa mwaka wa kwanza hadi wa tatu wahuni tusimle mwaka wangu pale ud.tulikuwa cozi yetu 100 wake za watu walikuwa 12 wawili wake za vigogo. Asee mpaka walikuwa na stress.
Mwanamke kama unampenda msaidie kumlinda asome huko akija kwaako awe mke .yaan nusu walivunja ndoa baada ya chuo na waliobaki hadi leo kuna mmoja kigamboni huwa namla mle wa mkuu kabisa .
Wasaidieni wake zenu msiwasogezee majaribu wanawake huwa wanapenda
1.kijana haandsome
2.mstaarabu na mpole
3.mwenye sixpark
4.mcheshi mwenye masihara mingi
5.mwanaume wa kushare naye hobby .mm nilikuwa huyu mke wa mtu tunanunua series moja tunaambiana akaangalie episode mbili tuje tuzijadili
6.wanapenda matukio ya sherehe na furaha yaan ndoa birthday etc chuo ndo mahali pake

Kaka hizo bidhaa 6 wale vijana chuo huwa wanazo mara 10 ya kwako maana hawana shughuli za kufanya .
 
Ukisoma huu uzi utadhani wanawake 24/7 tuko kwenye vitanda tunakatika 😅😅😅

Mbona wanawake wengi tu si wasaliti?
Asilimia 80 ya wanawake hawataki kusaliti achana na 20 ya makurumbembe.ila mwanamke mdhaifu akiwekwa aangle mbaya anajikuta tu mm ni striker mstaafu .yaan naapa enzi zangu kitu pekee nilikuwa namkosa mke wa mtu ni wale hawawaexpose sana kuna mwaraabu nilimvizia mwaka nkaja kumuotea alipooa mke wa pili nikaingia kama mfariji lakini bado mzigo sikula maana tunaweka hadi miadi jamaa linamnunulia gari napotezewa shidaaa
 
Kila mwanamke mnafananisha na hizo takataka zenu za Daslam zinazotembea bila kuvaa nguo za ndani. Zimevaa vijora ambavyo wanavipandisha kwa sababu ya uzinzi na umaskini. Hivi kuna mwanamke anayeweza msaliti mane kwa visharobaro vichonga nyusi na vilamba mdomo kwa mkwanja na umaarufu alionao? Huyo binti jamaa alikuwa anamsomesha huko huko chuo na mara baada ya kufunga ndoa akamruhusu aendelee na masomo.

Huyo sio sawa na hao wanuka midomo na wenye harufu ya visamaki wa huko daslama.
😀 😀😀😀
 
Asilimia 80 ya wanawake hawataki kusaliti achana na 20 ya makurumbembe.ila mwanamke mdhaifu akiwekwa aangle mbaya anajikuta tu mm ni striker mstaafu .yaan naapa enzi zangu kitu pekee nilikuwa namkosa mke wa mtu ni wale hawawaexpose sana kuna mwaraabu nilimvizia mwaka nkaja kumuotea alipooa mke wa pili nikaingia kama mfariji lakini bado mzigo sikula maana tunaweka hadi miadi jamaa linamnunulia gari napotezewa shidaaa
Mwanamke akishaweza kukwepa njaa, tamaa ya vitu vilivyoko nje ya uwezo wake, akajua kuset realistic goals na Asiponyanyaswa ni aghalabu kuwa malaya.

Tukiiacha hiyo 20% ambayo hao wamelogwa tokea kwako 😅
 
Watu mna mambo... Kukojoa anakojoa mane!.... Kikojoleo kinachowashwa Kiko Tanzaniaz!

Kwani huyo demu akikojozwa huko chuoni.... Huyo mkojozaji anaondoka na hicho kikojoleo!?
 
Back
Top Bottom