Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Kwakwer Sasa apa mwendo wa kishundu kwa kishundu mbn tutakoma kizazi kigumu hikiFake life
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakwer Sasa apa mwendo wa kishundu kwa kishundu mbn tutakoma kizazi kigumu hikiFake life
Kitabu linakuja kusomeka sio mdaJidanganye, siku zote Jasiri huwa haachi asili.
Pesa nilichogundua haiwezi nunua kila kitu chief labda Thamani ya vitu tuUzuri ukiwa na pesa akizingua unasaka mwingine....
SawaPesa nilichogundua haiwezi nunua kila kitu chief labda Thamani ya vitu tu
Ukisoma huu uzi utadhani wanawake 24/7 tuko kwenye vitanda tunakatika 😅😅😅Watanzania na negativity jamani. Mungu aliyetuumba atuokoe.. mtu akiona ye ni mwizi kwenye kampuni anadhani kila mtu ni mwizi.
Binti kiziwi,Binti kiziwiUkisoma huu uzi utadhani wanawake 24/7 tuko kwenye vitanda tunakatika 😅😅😅
Mbona wanawake wengi tu si wasaliti?
Umeongea upuuzi labda kutobobea Kwenye wanawake hakuna mke wa mtu aliyewahi kutoboa mwaka wa kwanza hadi wa tatu wahuni tusimle mwaka wangu pale ud.tulikuwa cozi yetu 100 wake za watu walikuwa 12 wawili wake za vigogo. Asee mpaka walikuwa na stress.Kila mwanamke mnafananisha na hizo takataka zenu za Daslam zinazotembea bila kuvaa nguo za ndani. Zimevaa vijora ambavyo wanavipandisha kwa sababu ya uzinzi na umaskini. Hivi kuna mwanamke anayeweza msaliti mane kwa visharobaro vichonga nyusi na vilamba mdomo kwa mkwanja na umaarufu alionao? Huyo binti jamaa alikuwa anamsomesha huko huko chuo na mara baada ya kufunga ndoa akamruhusu aendelee na masomo.
Huyo sio sawa na hao wanuka midomo na wenye harufu ya visamaki wa huko daslama.
Asilimia 80 ya wanawake hawataki kusaliti achana na 20 ya makurumbembe.ila mwanamke mdhaifu akiwekwa aangle mbaya anajikuta tu mm ni striker mstaafu .yaan naapa enzi zangu kitu pekee nilikuwa namkosa mke wa mtu ni wale hawawaexpose sana kuna mwaraabu nilimvizia mwaka nkaja kumuotea alipooa mke wa pili nikaingia kama mfariji lakini bado mzigo sikula maana tunaweka hadi miadi jamaa linamnunulia gari napotezewa shidaaaUkisoma huu uzi utadhani wanawake 24/7 tuko kwenye vitanda tunakatika 😅😅😅
Mbona wanawake wengi tu si wasaliti?
Nakazia. Wacommentiji negative ni wanaume, sijui wana shida gani.Ukisoma huu uzi utadhani wanawake 24/7 tuko kwenye vitanda tunakatika 😅😅😅
Mbona wanawake wengi tu si wasaliti?
😀 😀😀😀Kila mwanamke mnafananisha na hizo takataka zenu za Daslam zinazotembea bila kuvaa nguo za ndani. Zimevaa vijora ambavyo wanavipandisha kwa sababu ya uzinzi na umaskini. Hivi kuna mwanamke anayeweza msaliti mane kwa visharobaro vichonga nyusi na vilamba mdomo kwa mkwanja na umaarufu alionao? Huyo binti jamaa alikuwa anamsomesha huko huko chuo na mara baada ya kufunga ndoa akamruhusu aendelee na masomo.
Huyo sio sawa na hao wanuka midomo na wenye harufu ya visamaki wa huko daslama.
Z Anto, Z Anto. 😅Binti kiziwi,Binti kiziwi
Z Anto, Z Anto. 😅
😵 Ila watu....Nitumie namba ya maza wako nimjaribu basi.
Mwanamke akishaweza kukwepa njaa, tamaa ya vitu vilivyoko nje ya uwezo wake, akajua kuset realistic goals na Asiponyanyaswa ni aghalabu kuwa malaya.Asilimia 80 ya wanawake hawataki kusaliti achana na 20 ya makurumbembe.ila mwanamke mdhaifu akiwekwa aangle mbaya anajikuta tu mm ni striker mstaafu .yaan naapa enzi zangu kitu pekee nilikuwa namkosa mke wa mtu ni wale hawawaexpose sana kuna mwaraabu nilimvizia mwaka nkaja kumuotea alipooa mke wa pili nikaingia kama mfariji lakini bado mzigo sikula maana tunaweka hadi miadi jamaa linamnunulia gari napotezewa shidaaa
🤣🤣🤣🤣Umefanya kuupoteza point niliotaka kukwambia sawa tu😂😂😂Z Anto, Z Anto. 😅