Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
aU kumbukumbu zangu haziko sawa,ila ulienda RFA?Sijawahi mpeleka mtu telegram huwa sina biashara hizo za kipuuzi. Mimi nina pesa za kunitosha siwezi watoza watu tushilling twao. Nioneshe tu sehemu ambayo nlisema mtu anifuate telegram. Niombe ban ya mwezi mzima.
No. Huwa sina hizo mambo. Hawana pesa ya kunilipa hao watu.aU kumbukumbu zangu haziko sawa,ila ulienda RFA?
Jamaa walikuwa poa sana wale aiseeSana tu,nakumbuka 2011 nilkuwa na ngoma zao nyingi tu kwenye simu na nilikuwa nikisikiliza ile ngoma yao ya mchizi wangu hadi napagawa
Madogo zangu wa Arusha miaka hiyo Arusha kuna wagumu. Siku hizi nasikia hata machoko wapo Arusha...hasa Kilimanjaro. Walikuwepo na X Plastaz piaJamaa walikuwa poa sana wale aisee
"Kama unafeel hip hop we ndo mchizi waaangu, we ndo mchizi weeetu 🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶"
Au Hawatuweziiii itakuwa ngumu, kutusikia chini, Hawatuweziiii aaa uuu aaa ingawa gemu ni ngumu ........Hawatuweziiii 🎶🎶🎶🎶"
Kwani asipomalizia hii stori unaugua/ kufa?Hawa majamaa wakiachwa waendelee na hizi tabia zao watasababisha kudhalaulika ama kupuuzwa kwa stori za watu wengine wasio na tabia Kama zao...
Ni vyema mleta stori aweke wazi kuwa mwendelezo wa stori yake utakuwaje kwamba ni kila baada ya masaa/siku,/wiki/ miezi mingapi ili kumuondolea usumbufu msomaji...
Kisingizio cha kuwa mtu uko na majukumu mengine kinakosa mashiko kwani hakuna member aliyoko humu jf halafu akakosa majukumu mengine...
Kila sehemu hapa JF hao wapuuzi wapo. Wataanza itana na kuanza chats zao za ngono na mizaha. Wanaboa na kila nyuzi lazima waingie na kuja kujibebisha. Wapumbavu kabisaKuna watu hamna akili na mnaonyesha n jinsi GANI uelewa kwenu n mdogo yan ujinga umewatawala alafu kuna mwingine kila Uzi lazima alete kujuana na watu.
ELEKEZO - elewa mada husika changia kama mada inavyosema huna cha kuchangia Kaa kimya mambo ya kijinga ya kujuana na kukumbushana ujinga wenu angalia juu ya simu Yako kulia kuna kibahasha bonyeza hicho na umwandikie huo ujinga mwenzako.
Mjue mnaharibu Uzi za watu
Hustle zote hizo,wenzio wanakuwa chawa fasta wanatoka kimaishaUkimuona mwanaume anatumia pesa zake kaa pembeni, usimfundishe cha kufanya. Watu wanapambana sana.
Uyo ni lwanda magere alikimbiza watu teregram kwa mchango na alienda simulia rfa piaaU kumbukumbu zangu haziko sawa,ila ulienda RFA?
Hii n stori ya kiume yaan ukisikia uanaume ndo mambo yake Yako hapa sio mtu anafanya vikaz vyake vyakikekike anakukuta upo baa unapiga zako bia eti anakwambia bia zitakufilisi.
Pumbavuu yan aisee mwenye yupo tayari twende Lubumbashi aisee anyoshe kidole.
Justine Marack lete vitu vya kiume boss wangu
Kila nikisoma nilikuwa nasimama na kujiuliza. Huyu aliyeandika ndie muhusika mwenyewe. Sasa jinsi simulizi ya safari inavyotisha nabaki kujiuliza sasa huyu jamaa alifanikiwa kurudi au ndio keshakufa.
Very interesting. Nilikuwa na plan ya kutaka kwenda Congo kupitia Rwanda kutafuta soko LA chumvi.
Story inanipa nguvu, ramani na uhalisia. Lkn sijapanga kubadili mawazo yangu.
Swali sisi tunaoonekana kama wapemba usalama ukoje huko
Very interesting story..... Bila ya mwendelezo.
Nina mpango wa kuitembelea Congo hasa Yale maeneo ya Kivu kusini au Goma kwa ujumla, mpaka sasa naendelea kukusanya taharifa za kiintelejensia kuhusu ayo maeneo, ingawa naambiwa kuna watu makatili sana lkn Mimi uwa napenda sana awo watu makatili kwa maana ndiyo watu ambao ukiibahatika kuzoeana nao wakakubali basi utakuwa unaweza kutimiza lengo lako kiuraisi sana,Congo ni taiga ambalo limejaa rasilimali kibao unaambiwa kuna maeneo nyumba zimekandikiwa udongo wa dhaabu ukiweka Mashine kwenye kuta zao ngoma inasoma PPM za kutosha, na kwa wale wazee wa Carbon uko ndo balaa unaambiwa mkamuo moja tu wa tani moja ya Carbon unaweza toka na 1.5 kg ya gold...unaambiwa mzigo upo wa kutosha.
Vijana tupunguze uoga, twende tukapambane....
Nipo tayari najipanga within miez mitatu nikichafueKama uko serious tufanye mchakato twende. Huko kwenye ugumu ndio kuna hela
Hilo nilisha lifuatilia mapemaa, nikawa na Visa ya Dola100 nikapita Rwanda. Kuna mengi hapa Rwanda lakini kwakua sio mada ya Leo itoshe kusema ni Dunia tofauti sana. Tuishi bongo tu, amani inatosha.Kumbe huyu mzee ni tatizo kwetu kwa kumuangalia kama mtu flani mbadi sana!.
Although inafahamika nabii huwa hakubariki eneo analotoka!.
Kwenye avatar picha Yako tu hapo muonekano wako ni wa kmayai mayai utaweza moto wa congo?Tupatikane vijana 5 tulio serious twende huko.