Safari yangu "Kitchanga" mji uliotekwa M23

Mbn huyu jamaa yuko line sema sjui nini......., yaani story hiii imetuacha njianiiii
 
Yule mhuni kanipiga dongo la kimya kimya[emoji38]
 
Ahsante sana mkuu, ngoja nikajivinjari.
Nalog off
 
Kwanini wanahisi waTZ ni wapelelezi?
Tunapeleleza nn rwanda?
 
Hapa ndipo linapokuja swala la uongozi wa JamiiForums na Moderator Active na wengineo kumfuta mleta uzi na kumsihi aendeleze either kwa kumuomba au kumuahidi chochote kitakochomfaa sababu jamii forum inapata pesa kupitia watu ambao n memba na wanoperuz jf Sasa Kama n hvyo kwann jf inashindwa kuwapa watu kile wanatka vipi huyu jamaa akaenda kuweka hii stori pahala pengine?
 
Maxence Melo tunakuomba tu atafutwe huyu ndugu yetu tupate kufahamu muendelezo wa hii safari yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…