Safari za Dar - Dom za Rais Samia zimekuwa nyingi, ni hatari kwa usalama wake

Safari za Dar - Dom za Rais Samia zimekuwa nyingi, ni hatari kwa usalama wake

Kwa vile ninampenda sana Rais wangu. Napenda niwashauri hili watu wake wa karibu.
Rais amekuwa haeleweki ni wapi hasa makazi yake. Safari za Dar - Dom zimekuwa nyingi sana. Na anapaa angani, ina month anaweza fanya kama mara nne mpaka saba. This is riskier...ni hatari kwa usalama wake.
Vyombo vinavyopaa angani hakika si salama sana, hasa ukizingatia ni Rais.

USHAURI...
Mama chagua sehemu moja ya kukaa. Nafaham unaandamwa na 'guilty conscious' kwamba unatimiza legacy...ili tu eti kuwaridhisha CCM, eti 'legacy' so unalazimika kuwa Dom mara kwa mara.

Sisi ndio wananchi chagua kukaa panapo kupendeza na tutabariki. Kama ni Dar basi baki Dar...kama ni Dom basi baki Dom, kwa usalama wako.

Midege hii si ya kuamini sana Mama yetu. For your safety.

Nimemaliza.
Anaogopa kivuli cha Jiwe pale Chamwino

So hana mpango wa kuishi Dodoma, matukio ya kitafifa yanamlazimisha
 
Kwa vile ninampenda sana Rais wangu. Napenda niwashauri hili watu wake wa karibu.
Rais amekuwa haeleweki ni wapi hasa makazi yake. Safari za Dar - Dom zimekuwa nyingi sana. Na anapaa angani, ina month anaweza fanya kama mara nne mpaka saba. This is riskier...ni hatari kwa usalama wake.
Vyombo vinavyopaa angani hakika si salama sana, hasa ukizingatia ni Rais.

USHAURI...
Mama chagua sehemu moja ya kukaa. Nafaham unaandamwa na 'guilty conscious' kwamba unatimiza legacy...ili tu eti kuwaridhisha CCM, eti 'legacy' so unalazimika kuwa Dom mara kwa mara.

Sisi ndio wananchi chagua kukaa panapo kupendeza na tutabariki. Kama ni Dar basi baki Dar...kama ni Dom basi baki Dom, kwa usalama wako.

Midege hii si ya kuamini sana Mama yetu. For your safety.

Nimemaliza.
Ikulu ipo dodoma, ofisi za wizara zote zipo dodoma,makao makuu ya chama yapo dodoma. Kinachomzungusha hewani Kila saa amekuwa JK
 
Mimi ningemshauri Samia akae Dar, mpaka ikulu mpya ya Dodoma 'itakapokuwa tayari' then aslow down ujenzi kuhakikisha inakamilika by the time anatoka madarakani. So technically atakuwa hajairudisha ikulu Dar, ila atakuwa ana kaa Dar kwa 'muda, kusubiri ujenzi wa makazi muafaka ya Rais Dom yakamilike'.
 
Mimi ningemshauri Samia akae Dar, mpaka ikulu mpya ya Dodoma 'itakapokuwa tayari' then aslow down ujenzi kuhakikisha inakamilika by the time anatoka madarakani. So technically atakuwa hajairudisha ikulu Dar, ila atakuwa ana kaa Dar kwa 'muda, kusubiri ujenzi wa makazi muafaka ya Rais Dom yakamilike'.
Tanzania kuopetate ikulu mbili Kwa wakati mmoja ni mzigo mkubwa kwa Taifa
 
Kwa vile ninampenda sana Rais wangu. Napenda niwashauri hili watu wake wa karibu.

Rais amekuwa haeleweki ni wapi hasa makazi yake. Safari za Dar - Dom zimekuwa nyingi sana. Na anapaa angani, ina month anaweza fanya kama mara nne mpaka saba. This is riskier...ni hatari kwa usalama wake.

Vyombo vinavyopaa angani hakika si salama sana, hasa ukizingatia ni Rais.

USHAURI
Mama chagua sehemu moja ya kukaa. Nafahamu unaandamwa na 'guilty conscious' kwamba unatimiza legacy...ili tu eti kuwaridhisha CCM, eti 'legacy' so unalazimika kuwa Dom mara kwa mara.

Sisi ndio wananchi chagua kukaa panapo kupendeza na tutabariki. Kama ni Dar basi baki Dar...kama ni Dom basi baki Dom, kwa usalama wako.

Midege hii si ya kuamini sana Mama yetu. For your safety.

Nimemaliza.
sio midege tu! hata barabara pia! Mahasimu kuwaweza ni kwamba apunguze safari, fullstop.
 
Hii midege alizoea kuipanda mzee wa msoga tu...
 
Kwa vile ninampenda sana Rais wangu. Napenda niwashauri hili watu wake wa karibu.

Rais amekuwa haeleweki ni wapi hasa makazi yake. Safari za Dar - Dom zimekuwa nyingi sana. Na anapaa angani, ina month anaweza fanya kama mara nne mpaka saba. This is riskier...ni hatari kwa usalama wake.

Vyombo vinavyopaa angani hakika si salama sana, hasa ukizingatia ni Rais.

USHAURI
Mama chagua sehemu moja ya kukaa. Nafahamu unaandamwa na 'guilty conscious' kwamba unatimiza legacy...ili tu eti kuwaridhisha CCM, eti 'legacy' so unalazimika kuwa Dom mara kwa mara.

Sisi ndio wananchi chagua kukaa panapo kupendeza na tutabariki. Kama ni Dar basi baki Dar...kama ni Dom basi baki Dom, kwa usalama wako.

Midege hii si ya kuamini sana Mama yetu. For your safety.

Nimemaliza.
abaki tu Dar, kulazimishana Dom si ishu.
 
Kwa vile ninampenda sana Rais wangu. Napenda niwashauri hili watu wake wa karibu.

Rais amekuwa haeleweki ni wapi hasa makazi yake. Safari za Dar - Dom zimekuwa nyingi sana. Na anapaa angani, ina month anaweza fanya kama mara nne mpaka saba. This is riskier...ni hatari kwa usalama wake.

Vyombo vinavyopaa angani hakika si salama sana, hasa ukizingatia ni Rais.

USHAURI
Mama chagua sehemu moja ya kukaa. Nafahamu unaandamwa na 'guilty conscious' kwamba unatimiza legacy...ili tu eti kuwaridhisha CCM, eti 'legacy' so unalazimika kuwa Dom mara kwa mara.

Sisi ndio wananchi chagua kukaa panapo kupendeza na tutabariki. Kama ni Dar basi baki Dar...kama ni Dom basi baki Dom, kwa usalama wako.

Midege hii si ya kuamini sana Mama yetu. For your safety.

Nimemaliza.
Kwa utafiti gani? Usafiri wa anga ndio usafiri salama zaidi kitakwimu kulinganisha na usafiri wa nchi kavu.
 
Kwa vile ninampenda sana Rais wangu. Napenda niwashauri hili watu wake wa karibu.

Rais amekuwa haeleweki ni wapi hasa makazi yake. Safari za Dar - Dom zimekuwa nyingi sana. Na anapaa angani, ina month anaweza fanya kama mara nne mpaka saba. This is riskier...ni hatari kwa usalama wake.

Vyombo vinavyopaa angani hakika si salama sana, hasa ukizingatia ni Rais.

USHAURI
Mama chagua sehemu moja ya kukaa. Nafahamu unaandamwa na 'guilty conscious' kwamba unatimiza legacy...ili tu eti kuwaridhisha CCM, eti 'legacy' so unalazimika kuwa Dom mara kwa mara.

Sisi ndio wananchi chagua kukaa panapo kupendeza na tutabariki. Kama ni Dar basi baki Dar...kama ni Dom basi baki Dom, kwa usalama wako.

Midege hii si ya kuamini sana Mama yetu. For your safety.

Nimemaliza.
Usichokijua tu ni kwamba yawezekana hata huko kuhamahama Dar na Dom Kisha Dom na Dar ni sehemu pia ya Uimarishwaji wa Ulinzi na Usalama wake.

Kuna tunayoyajua na tusiyoyajua hivyo ni vyema Mambo mengine tukawaachia tu wenye Kazi zao wayatekeleze na kwa aina ya Kikosi cha Ulinzi na Usalama wa Marais kilivyo nchini Tanzania bado sijaona wa Kuthubutu hata kutaka Kumdhuru Rais wa Tanzania popote pale na kwa namna yoyote ile.
 
Kwa vile ninampenda sana Rais wangu. Napenda niwashauri hili watu wake wa karibu.

Rais amekuwa haeleweki ni wapi hasa makazi yake. Safari za Dar - Dom zimekuwa nyingi sana. Na anapaa angani, ina month anaweza fanya kama mara nne mpaka saba. This is riskier...ni hatari kwa usalama wake.

Vyombo vinavyopaa angani hakika si salama sana, hasa ukizingatia ni Rais.

USHAURI
Mama chagua sehemu moja ya kukaa. Nafahamu unaandamwa na 'guilty conscious' kwamba unatimiza legacy...ili tu eti kuwaridhisha CCM, eti 'legacy' so unalazimika kuwa Dom mara kwa mara.

Sisi ndio wananchi chagua kukaa panapo kupendeza na tutabariki. Kama ni Dar basi baki Dar...kama ni Dom basi baki Dom, kwa usalama wako.

Midege hii si ya kuamini sana Mama yetu. For your safety.

Nimemaliza.
Kwanza ni hasara kwa nchi kuwa na ikulu mbili ni kutuumiza wanyonge wa nji hii. Ikulu ya Dar ifungwe. Sasa masuala ya ndoa sijui itakuwaje maana nasikia wapo watatu. Bora mwamba ndiye awe anasafiri kumfuata wife zamu yake inapofika
 
Uamuzi mzima wa kuhamishq mji mkuu kwenda Dodoma ulikuwa hauko practical kiuchumi wala kuangalia mahitaji ya nchi. Ulikuwa kisiasa zaidi.

Na tunazidi kuona hilo.
 
Shukrani zimuendee CHUMA JPM kwa kufufua shirika la ndege Mungu aendelee kumpa pumziko la milele.Amina.

Naona watu wanapaa tu kuna mstaafu mmoja nimemuona leo kaelekea Zambia na ATCL.

Aibu yao walipotaka kumchafua JPM wetu na ripoti yao feki ya CAG 😎
Dikteta magufuli hasafishiki labda kwa oil chafu
 
Back
Top Bottom