Tunakuonea huruma kufanya kazi ya Urais kama mwananchi wa gongo la mboto to kariakoo.
Hii kuwa hewani Dodoma,Dar,Dodoma,Dar si nzuri kwako.
Tunafahamu Chamwino bado kwa hadhi ya wageni wako kimataifa kuwapokea pale.
Pia jiografia ya Dodoma mjini hadi Chamwino ni ngumu kwa ugeni wakimataifa hata kuwahifadhi hotelini.
Tatu,Serikali ya Zanzibar wamekuwa watumwa kusafiri hadi Dodoma kila wakati.
Ulisema tushauri.
B
Rais Baki Dar
Makamu abaki Chamwino.
awe anakupokea ukienda
Ofisi za Chamwino zikiisha na makazi yako utaamua sasa.
Wananchi tunaelewa tu makao makuu yapo Dodoma hata ukiwa Magogoni.
Hii kuwa hewani Dodoma,Dar,Dodoma,Dar si nzuri kwako.
Tunafahamu Chamwino bado kwa hadhi ya wageni wako kimataifa kuwapokea pale.
Pia jiografia ya Dodoma mjini hadi Chamwino ni ngumu kwa ugeni wakimataifa hata kuwahifadhi hotelini.
Tatu,Serikali ya Zanzibar wamekuwa watumwa kusafiri hadi Dodoma kila wakati.
Ulisema tushauri.
B
Rais Baki Dar
Makamu abaki Chamwino.
awe anakupokea ukienda
Ofisi za Chamwino zikiisha na makazi yako utaamua sasa.
Wananchi tunaelewa tu makao makuu yapo Dodoma hata ukiwa Magogoni.