Safari za Dar - Dom za Rais Samia zimekuwa nyingi, ni hatari kwa usalama wake

Safari za Dar - Dom za Rais Samia zimekuwa nyingi, ni hatari kwa usalama wake

Kwa vile ninampenda sana Rais wangu. Napenda niwashauri hili watu wake wa karibu.

Rais amekuwa haeleweki ni wapi hasa makazi yake. Safari za Dar - Dom zimekuwa nyingi sana. Na anapaa angani, ina month anaweza fanya kama mara nne mpaka saba. This is riskier...ni hatari kwa usalama wake.

Vyombo vinavyopaa angani hakika si salama sana, hasa ukizingatia ni Rais.

USHAURI
Mama chagua sehemu moja ya kukaa. Nafahamu unaandamwa na 'guilty conscious' kwamba unatimiza legacy...ili tu eti kuwaridhisha CCM, eti 'legacy' so unalazimika kuwa Dom mara kwa mara.

Sisi ndio wananchi chagua kukaa panapo kupendeza na tutabariki. Kama ni Dar basi baki Dar...kama ni Dom basi baki Dom, kwa usalama wako.

Midege hii si ya kuamini sana Mama yetu. For your safety.

Nimemaliza.
Waweke wazi makao makuu ya nchi ambapo anakaa rais wa nchi ni wapi.
Dodoma ama Dar?
Kwa hiyo balozi za nje nchini zitangetange kati ya Dar na Dodoma au ziendelee kuweka makazi yao Dar?
 
Mashine mpya hizo. Shida iko wapi. Mbona mtangulizi wake kila siku alikuwa mikoani tena anapishana na madreva wasio na lesen na bado maisha yalienda bila shida. Je huyu anayetembea na chombo cha kupimwa na compyuta kabla ya kuondoka ndo iwe hatari kwake?

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Kwa vile ninampenda sana Rais wangu. Napenda niwashauri hili watu wake wa karibu.

Rais amekuwa haeleweki ni wapi hasa makazi yake. Safari za Dar - Dom zimekuwa nyingi sana. Na anapaa angani, ina month anaweza fanya kama mara nne mpaka saba. This is riskier...ni hatari kwa usalama wake.

Vyombo vinavyopaa angani hakika si salama sana, hasa ukizingatia ni Rais.

USHAURI
Mama chagua sehemu moja ya kukaa. Nafahamu unaandamwa na 'guilty conscious' kwamba unatimiza legacy...ili tu eti kuwaridhisha CCM, eti 'legacy' so unalazimika kuwa Dom mara kwa mara.

Sisi ndio wananchi chagua kukaa panapo kupendeza na tutabariki. Kama ni Dar basi baki Dar...kama ni Dom basi baki Dom, kwa usalama wako.

Midege hii si ya kuamini sana Mama yetu. For your safety.

Nimemaliza.
DODOMA sio Eneo Salama kwa Rais Mwendazake Alikurupuka kutaka aonekana ana jua
 
Kwa vile ninampenda sana Rais wangu. Napenda niwashauri hili watu wake wa karibu.

Rais amekuwa haeleweki ni wapi hasa makazi yake. Safari za Dar - Dom zimekuwa nyingi sana. Na anapaa angani, ina month anaweza fanya kama mara nne mpaka saba. This is riskier...ni hatari kwa usalama wake.

Vyombo vinavyopaa angani hakika si salama sana, hasa ukizingatia ni Rais.

USHAURI
Mama chagua sehemu moja ya kukaa. Nafahamu unaandamwa na 'guilty conscious' kwamba unatimiza legacy...ili tu eti kuwaridhisha CCM, eti 'legacy' so unalazimika kuwa Dom mara kwa mara.

Sisi ndio wananchi chagua kukaa panapo kupendeza na tutabariki. Kama ni Dar basi baki Dar...kama ni Dom basi baki Dom, kwa usalama wako.

Midege hii si ya kuamini sana Mama yetu. For your safety.

Nimemaliza.
Dar kutamu wewe asikuambie mtu, wanalazimisha tu huko Dodoma.Wanaficha aibu kuitosa Dodoma kwa kuwa wametumia mihela ya serikali kujenga Ikulu.Si vyombo vya habar ama viongozi licha ya jiji la Dar es Salaam kuvunjwa hawataji jiji la Ilala bado wanataja jiji la Dar es Salaam.
 
Kwa vile ninampenda sana Rais wangu. Napenda niwashauri hili watu wake wa karibu.

Rais amekuwa haeleweki ni wapi hasa makazi yake. Safari za Dar - Dom zimekuwa nyingi sana. Na anapaa angani, ina month anaweza fanya kama mara nne mpaka saba. This is riskier...ni hatari kwa usalama wake.

Vyombo vinavyopaa angani hakika si salama sana, hasa ukizingatia ni Rais.

USHAURI
Mama chagua sehemu moja ya kukaa. Nafahamu unaandamwa na 'guilty conscious' kwamba unatimiza legacy...ili tu eti kuwaridhisha CCM, eti 'legacy' so unalazimika kuwa Dom mara kwa mara.

Sisi ndio wananchi chagua kukaa panapo kupendeza na tutabariki. Kama ni Dar basi baki Dar...kama ni Dom basi baki Dom, kwa usalama wako.

Midege hii si ya kuamini sana Mama yetu. For your safety.

Nimemaliza.
Je, wajua!

Ndege moja imetoka Dodoma kwenda Dar Iko na mama, nyingne Iko Burundi na Waziri mkuu nyingine Ipo Ufaransa na Mpango nyingine ndo iko na Mzee kikwete. Kwenye mazishi ya Kenneth kaunda

ATCL🙉
 
Usilaumu,shauri.Mama anapenda ushauri, Umesikia anakoromea mtu?
Karibu
Hahaah mkuu utasikia mi napenda kukosolowe kumbe wapi! Hivi kisaikolojia tu kuna mtu anapenda kukosolowa kweli? Kuna mtu anapenda kusemwa vibaya? Hapana banah anajitafutia kinga tu
 
Halafu ni matumizi Mabaya rasilimali zetu adimu. Ndege ya watu 300 anapanda yeye tu
Acha wivu ........

Huyu ni Rais Wa JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA .

Command In Chief wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama..

Signatory wetu....

Sio babu yako huyu...anaweza akapanda kifaru,nyambizi,helicopters,speed military car ,anything kama itaonekana kuna haja ya kupanda as many times as she can.
 
Jipiganie kwanza kabla ya kuanza kumlilia Mungu..
Ukifa kizembe hata uko mbinguni utaambiwa umekufa kijinga.


Lete andiko linalosema hivyo, na nani huyo atakayesema hayo maneno??
 
Kwa vile ninampenda sana Rais wangu. Napenda niwashauri hili watu wake wa karibu.

Rais amekuwa haeleweki ni wapi hasa makazi yake. Safari za Dar - Dom zimekuwa nyingi sana. Na anapaa angani, ina month anaweza fanya kama mara nne mpaka saba. This is riskier...ni hatari kwa usalama wake.

Vyombo vinavyopaa angani hakika si salama sana, hasa ukizingatia ni Rais.

USHAURI
Mama chagua sehemu moja ya kukaa. Nafahamu unaandamwa na 'guilty conscious' kwamba unatimiza legacy...ili tu eti kuwaridhisha CCM, eti 'legacy' so unalazimika kuwa Dom mara kwa mara.

Sisi ndio wananchi chagua kukaa panapo kupendeza na tutabariki. Kama ni Dar basi baki Dar...kama ni Dom basi baki Dom, kwa usalama wako.

Midege hii si ya kuamini sana Mama yetu. For your safety.

Nimemaliza.
Duh, onyo na tahadhari hiyo. Hapo hana uchaguzi ni sharti akae Dom ambapo ndio makao makuu ya nchi tofauti na hapo ni utalii wa ndani .....................
 
Kuna siku atarudi dodoma akutane na Rais mwingine ashakalia kiti chake! Hyo hamahama ni hatar sana kwa rais wa nchi.. wakati yupo dar wa dodoma wanapanga yao.. km anaona akikaa ikulu moja atapoteza amuachie mme wake ikulu moja siku wakihitajiana mume ifuate rais!
 
Magu alikuwa na Makazi matatu... Dar,Dom na Chato...

Si muda Mama ataongeza kazi la tatu..Zanzibar.

Hii ndio TZ... Lakini nawaza zaidi hizo gharama...maana ni kodi zetu watanzania masikini..

Nchi ngumu sana hii.
Ndo maana akafa hatutaki litokee tena
 
Mimi ningemshauri Samia akae Dar, mpaka ikulu mpya ya Dodoma 'itakapokuwa tayari' then aslow down ujenzi kuhakikisha inakamilika by the time anatoka madarakani. So technically atakuwa hajairudisha ikulu Dar, ila atakuwa ana kaa Dar kwa 'muda, kusubiri ujenzi wa makazi muafaka ya Rais Dom yakamilike'.
Ataharibu flow, wafanyakazi nao wataanza kurudi dar mdogo mdogo
 
Back
Top Bottom