Safari za Dar - Dom za Rais Samia zimekuwa nyingi, ni hatari kwa usalama wake

Safari za Dar - Dom za Rais Samia zimekuwa nyingi, ni hatari kwa usalama wake

Acha afe.Madikteta wakifa ni jambo la kheri.Huyu ni Magufuli wa kike.Anazuiaje mikutano ya hadhara ya kisiasa wakati ni haki ya kikatiba?
Mzee wa NunDu kumbe unakatizaga mitaa ya Siasani huku😂
 
Kwa vile ninampenda sana Rais wangu. Napenda niwashauri hili watu wake wa karibu.

Rais amekuwa haeleweki ni wapi hasa makazi yake. Safari za Dar - Dom zimekuwa nyingi sana. Na anapaa angani, ina month anaweza fanya kama mara nne mpaka saba. This is riskier...ni hatari kwa usalama wake.

Vyombo vinavyopaa angani hakika si salama sana, hasa ukizingatia ni Rais.

USHAURI
Mama chagua sehemu moja ya kukaa. Nafahamu unaandamwa na 'guilty conscious' kwamba unatimiza legacy...ili tu eti kuwaridhisha CCM, eti 'legacy' so unalazimika kuwa Dom mara kwa mara.

Sisi ndio wananchi chagua kukaa panapo kupendeza na tutabariki. Kama ni Dar basi baki Dar...kama ni Dom basi baki Dom, kwa usalama wako.

Midege hii si ya kuamini sana Mama yetu. For your safety.

Nimemaliza.
Tatizo ni shughuli nyingi kuendelea kuwepo Dar.

Mfano sasa hivi kuna Sabasaba, lazima aje kufungua.
 
Ushauri mzuri abaki Dar tu, inatosha sana, so long as yupo Mambo ya kufurahisha nafsi za watu fulani ni shida.
 
Ushauri mzuri abaki Dar tu, inatosha sana, so long as yupo Tanzania Mambo ya kufurahisha nafsi za watu fulani ni shida.
 
CCM endeleeni kubaka wananchi,kulawiti wananchi kama tulivyoona enzi za Magufuli,kuiba kura,kuteka,kutesa,kuua,ukabila,ukanda,ubaguzi wa rangi(tulishuhudia hili enzi za Magufuli),kukandamiza demokrasia,kuua uhuru wa kujieleza,kuua uchumi,kudanganya wananchi na kadhalika.Haya ndiyo yatawasaidia?

Kila siku mnatoa ahadi hewa,kwenye kampeni zenu za uchaguzi mkuu wa 2020 mliahidi bima ya afya ya bure kwa kila mtanzania ila sasa hivi baada ya kuiba kura na kuchukua nchi mnadai ni kwa ambao hawana uwezo tu.Ninyi ni matapeli na vibaka wa kuiba kura mnaoharibu nchi hii ambao siku zenu zinahesabika.View attachment 1838631
Naona unaropoka sasa, mnapenda sana demokrasia ila haiwapendi Mwenyekiti wa kudumu amekihodhi chama tokea enzi za mfalme Herode.
 
Hakunaga hatari wala hasara kwa wavunja katiba (madikteta).
 
Naona unaropoka sasa, mnapenda sana demokrasia ila haiwapendi Mwenyekiti wa kudumu amekihodhi chama tokea enzi za mfalme Herode.
Unaelewa maana ya demokrasia?Kama kiongozi A anachaguliwa kila mwaka kwa kura nyingi bila ya wizi wa kura wala figisufigisu wala mizengwe wala uchakachuzi na anachaguliwa kwa mujibu wa katiba ya walio wengi,hiyo siyo demokrasia?
 
Kwa vile ninampenda sana Rais wangu. Napenda niwashauri hili watu wake wa karibu.

Rais amekuwa haeleweki ni wapi hasa makazi yake. Safari za Dar - Dom zimekuwa nyingi sana. Na anapaa angani, ina month anaweza fanya kama mara nne mpaka saba. This is riskier...ni hatari kwa usalama wake.

Vyombo vinavyopaa angani hakika si salama sana, hasa ukizingatia ni Rais.

USHAURI
Mama chagua sehemu moja ya kukaa. Nafahamu unaandamwa na 'guilty conscious' kwamba unatimiza legacy...ili tu eti kuwaridhisha CCM, eti 'legacy' so unalazimika kuwa Dom mara kwa mara.

Sisi ndio wananchi chagua kukaa panapo kupendeza na tutabariki. Kama ni Dar basi baki Dar...kama ni Dom basi baki Dom, kwa usalama wako.

Midege hii si ya kuamini sana Mama yetu. For your safety.

Nimemaliza.
Usalama wetu haupo chini ya ulizi wa yeyote isipokuwa Muumba wetu tu, Allah.

Msitishane kijinga. Ingekuwa usalama wetu upo kwenye mikono yetu au Kwa watu tunaowategemea, basi Nyerere, Karume na Magufuli tungekuwa nao Hadi Leo hii.

Inna li Llahi wa Inna Ilayhi rajiun.
 
Unaelewa maana ya demokrasia?Kama kiongozi A anachaguliwa kila mwaka kwa kura nyingi bila ya wizi wa kura wala figisufigisu wala mizengwe wala uchakachuzi na anachaguliwa kwa mujibu wa katiba ya walio wengi,hiyo siyo demokrasia?
Kwahiyo demokrasia ni uchaguzi?
 
Back
Top Bottom