EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Kwani anaenda kuchota maji na kisimani??[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]Hawezi ishi Dom ataishije kwenye ukame maji shida.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani anaenda kuchota maji na kisimani??[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]Hawezi ishi Dom ataishije kwenye ukame maji shida.
Mataga mna hasira khaaaaIt's very dangerous...
Ni Tanzania tu in a whole world Rais ana makazi mawili..
Too bad.
Wasije sema hatukusema lakini.
Nitumie
Mzee wa NunDu kumbe unakatizaga mitaa ya Siasani huku😂Acha afe.Madikteta wakifa ni jambo la kheri.Huyu ni Magufuli wa kike.Anazuiaje mikutano ya hadhara ya kisiasa wakati ni haki ya kikatiba?
Tatizo ni shughuli nyingi kuendelea kuwepo Dar.Kwa vile ninampenda sana Rais wangu. Napenda niwashauri hili watu wake wa karibu.
Rais amekuwa haeleweki ni wapi hasa makazi yake. Safari za Dar - Dom zimekuwa nyingi sana. Na anapaa angani, ina month anaweza fanya kama mara nne mpaka saba. This is riskier...ni hatari kwa usalama wake.
Vyombo vinavyopaa angani hakika si salama sana, hasa ukizingatia ni Rais.
USHAURI
Mama chagua sehemu moja ya kukaa. Nafahamu unaandamwa na 'guilty conscious' kwamba unatimiza legacy...ili tu eti kuwaridhisha CCM, eti 'legacy' so unalazimika kuwa Dom mara kwa mara.
Sisi ndio wananchi chagua kukaa panapo kupendeza na tutabariki. Kama ni Dar basi baki Dar...kama ni Dom basi baki Dom, kwa usalama wako.
Midege hii si ya kuamini sana Mama yetu. For your safety.
Nimemaliza.
Naona unaropoka sasa, mnapenda sana demokrasia ila haiwapendi Mwenyekiti wa kudumu amekihodhi chama tokea enzi za mfalme Herode.CCM endeleeni kubaka wananchi,kulawiti wananchi kama tulivyoona enzi za Magufuli,kuiba kura,kuteka,kutesa,kuua,ukabila,ukanda,ubaguzi wa rangi(tulishuhudia hili enzi za Magufuli),kukandamiza demokrasia,kuua uhuru wa kujieleza,kuua uchumi,kudanganya wananchi na kadhalika.Haya ndiyo yatawasaidia?
Kila siku mnatoa ahadi hewa,kwenye kampeni zenu za uchaguzi mkuu wa 2020 mliahidi bima ya afya ya bure kwa kila mtanzania ila sasa hivi baada ya kuiba kura na kuchukua nchi mnadai ni kwa ambao hawana uwezo tu.Ninyi ni matapeli na vibaka wa kuiba kura mnaoharibu nchi hii ambao siku zenu zinahesabika.View attachment 1838631
Samia ni Magufuli wa kike.Anaboa kama kile kiti cha Subaru Forester!😁Mzee wa NunDu kumbe unakatizaga mitaa ya Siasani huku😂
HahahahahSamia ni Magufuli wa kike.Anaboa kama kile kiti cha Subaru Forester!😁
Unaelewa maana ya demokrasia?Kama kiongozi A anachaguliwa kila mwaka kwa kura nyingi bila ya wizi wa kura wala figisufigisu wala mizengwe wala uchakachuzi na anachaguliwa kwa mujibu wa katiba ya walio wengi,hiyo siyo demokrasia?Naona unaropoka sasa, mnapenda sana demokrasia ila haiwapendi Mwenyekiti wa kudumu amekihodhi chama tokea enzi za mfalme Herode.
Usalama wetu haupo chini ya ulizi wa yeyote isipokuwa Muumba wetu tu, Allah.Kwa vile ninampenda sana Rais wangu. Napenda niwashauri hili watu wake wa karibu.
Rais amekuwa haeleweki ni wapi hasa makazi yake. Safari za Dar - Dom zimekuwa nyingi sana. Na anapaa angani, ina month anaweza fanya kama mara nne mpaka saba. This is riskier...ni hatari kwa usalama wake.
Vyombo vinavyopaa angani hakika si salama sana, hasa ukizingatia ni Rais.
USHAURI
Mama chagua sehemu moja ya kukaa. Nafahamu unaandamwa na 'guilty conscious' kwamba unatimiza legacy...ili tu eti kuwaridhisha CCM, eti 'legacy' so unalazimika kuwa Dom mara kwa mara.
Sisi ndio wananchi chagua kukaa panapo kupendeza na tutabariki. Kama ni Dar basi baki Dar...kama ni Dom basi baki Dom, kwa usalama wako.
Midege hii si ya kuamini sana Mama yetu. For your safety.
Nimemaliza.
Kwahiyo demokrasia ni uchaguzi?Unaelewa maana ya demokrasia?Kama kiongozi A anachaguliwa kila mwaka kwa kura nyingi bila ya wizi wa kura wala figisufigisu wala mizengwe wala uchakachuzi na anachaguliwa kwa mujibu wa katiba ya walio wengi,hiyo siyo demokrasia?
Wapi nimesema kuwa demokrasia ni uchaguzi?Kwahiyo demokrasia ni uchaguzi?
Rudi kasome ulichoandika.Wapi nimesema kuwa demokrasia ni uchaguzi?