Australia kubwa lazima akajipoteze kuanzia sydney, melbon ndo amalizie perth bwana labda ataonana na wabeba box hukoYaani mkutano unaanza Ijumaa mwisho wa wiki yeye ameondoka tangu Jumatatu mwanzo mwa wiki..haya ni maajabu ya dunia!!
Tehee! Teheee tehee hiyo kali mkuuAustralia kubwa lazima akajipoteze kuanzia sydney, melbon ndo amalizie perth bwana labda ataonana na wabeba box huko
Kwangu mimi naona kati ya ma-rais wa tanzania waliofanya safari zenye tija kwa Tanzania, JK ni wa kwanza. Miradi mingi ya barabara za lami, Miradi kupiga vita ugonjwa wa malaria, Usuluhishi wa migogoro iiyomo miongoni mwa nchi za afrika kama Kenya, Zimbabwe, Misamaha ya Madeni kutoka nchi za Magaribi. kuongezeka kwa wawekezaji wa nje n.k . Hayo ni baadhi tu mafanikio yaliyotokana na safari za JK nje. Mnaweza kuongezea mafanikio menginekwa muda mwingi watu wa kada mbalimbali wamekuwa wakilalamika juu ya Safari za Rais J.K kuwa hazina tija kwa nchi, nini maoni yenu wana Jamii
You are right broo. Jk kafanya hata tumeonekana angalau kwenye medani ya michezo. safari zake ndiyo zimefanya timu kubwa kama zile za Pembe ya Pwani, Brazil kuja nchini. Huyu jamaa unajua watu wanamuonea wivu tu. Kweli nabii hakubaliki home. sikilizia watanzania waishio Australia walivyomwagia sifa kwa uwezo wake wa kukuza uchumi. Tanzania kati ya nchi kumi ambazo uchumi wake unaonekana kukua.Kwangu mimi naona kati ya ma-rais wa tanzania waliofanya safari zenye tija kwa Tanzania, JK ni wa kwanza. Miradi mingi ya barabara za lami, Miradi kupiga vita ugonjwa wa malaria, Usuluhishi wa migogoro iiyomo miongoni mwa nchi za afrika kama Kenya, Zimbabwe, Misamaha ya Madeni kutoka nchi za Magaribi. kuongezeka kwa wawekezaji wa nje n.k . Hayo ni baadhi tu mafanikio yaliyotokana na safari za JK nje. Mnaweza kuongezea mafanikio mengine
Kwangu mimi naona kati ya ma-rais wa tanzania waliofanya safari zenye tija kwa Tanzania, JK ni wa kwanza. Miradi mingi ya barabara za lami, Miradi kupiga vita ugonjwa wa malaria, Usuluhishi wa migogoro iiyomo miongoni mwa nchi za afrika kama Kenya, Zimbabwe, Misamaha ya Madeni kutoka nchi za Magaribi. kuongezeka kwa wawekezaji wa nje n.k . Hayo ni baadhi tu mafanikio yaliyotokana na safari za JK nje. Mnaweza kuongezea mafanikio mengine
Umeahidiwa Cheo nini na JK kwa kumsifia?Toa PUMBA hapa,Kwangu mimi naona kati ya ma-rais wa tanzania waliofanya safari zenye tija kwa Tanzania, JK ni wa kwanza. Miradi mingi ya barabara za lami, Miradi kupiga vita ugonjwa wa malaria, Usuluhishi wa migogoro iiyomo miongoni mwa nchi za afrika kama Kenya, Zimbabwe, Misamaha ya Madeni kutoka nchi za Magaribi. kuongezeka kwa wawekezaji wa nje n.k . Hayo ni baadhi tu mafanikio yaliyotokana na safari za JK nje. Mnaweza kuongezea mafanikio mengine
kwa muda mwingi watu wa kada mbalimbali wamekuwa wakilalamika juu ya Safari za Rais J.K kuwa hazina tija kwa nchi, nini maoni yenu wana Jamii