Jason Bourne
JF-Expert Member
- May 11, 2011
- 200
- 438
- Thread starter
- #761
Leo rais yupo nchini Uholanzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo rais yupo nchini Uholanzi
jason bourneNina wasiwasi kuna kitu kimemtokea Jason bourne
Leo rais yupo nchini Uholanzi
Mh.Dr Jakaya M. Kikwete tangu alivyochaguliwa Oct,2005 hadi sasa April,2013 amesafiri safari za nje ya nchi mara 357...Kikubwa ni kwamba Safari moja inagharimu Mill.300
Tutafakari tokea alivyoanza kusafiri taifa limefaidika na nini ukilinganisha na gharama za kodi za walalahoi.
Nawasilisha....
jaman duuh this is too much, 345 for 8yrs!
tunaweza kupata details za wa kenye na uganda?
Anamaliza mwaka mmoja akishinda Airport,,ni zaid ya Vasco Da Gama
mkuu, ukifanya calculations amemaliza miaka miwili nje kwa estimates kama nilivyofanya kwenye post yangu juu,kamaliza miaka miwili nje..anaenda mwaka wa tatu