Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Nyerere alikuwa anabana matumizi ya fedha. Hata simu ya mkononi alikuwa hatumii.
 
nafasi ya wakati jamani lazima tuiangalie, muda ambao nyerere yupo madarakani nchi ilikuwa kwenye siasa ya ujamaa na kujitegemea, leo tujiulize tupo kwenye mfumo upi wa siasa? hebu tuwe realistic kwa nini kikwete tumfananishe na Nyerere? weka takwimu za Mwinyi na mkapa safari zao zilikuwaje?
 
nafasi ya wakati jamani lazima tuiangalie, muda ambao nyerere yupo madarakani nchi ilikuwa kwenye siasa ya ujamaa na kujitegemea, leo tujiulize tupo kwenye mfumo upi wa siasa? hebu tuwe realistic kwa nini kikwete tumfananishe na Nyerere? weka takwimu za Mwinyi na mkapa safari zao zilikuwaje?

hata mm nashangaa!,yaan zama za nyerere anataka kuzifananisha na hizi za sasa!kwan zama za nyerere ww mtoa mada uliruhusiwa kumiliki gari???mbona sasa mnamiliki magari mpaka mnasababisha folen barabaran,familia moja magari 7!!
 
Ongeza safari ya sasa hivi Japan, ambapo Mkutano wa TICAD unaanza tarehe 1/6/2013 lakini JK kishawasili Japan!!!
 
JK is amazing wakuu.....mimi nafikiria huyu bwana sijui ana matatizo gani kichwani......sidhani kama washauri hawajamwambia kuhusu hizi safari zisizo na maana.....jamani raisi gani hatulii???
 
Safari zisizo na kichwa wala miguu..huyu jamaa sidhani kama yuko sawa up stairs!
 
JK is amazing wakuu.....mimi nafikiria huyu bwana sijui ana matatizo gani kichwani......sidhani kama washauri hawajamwambia kuhusu hizi safari zisizo na maana.....jamani raisi gani hatulii???

Wamwambie alafu familia zao zile nini?? Mbele ya "mhe. Daktari Jumbo Kubwa"!! Na alivyomwepesi wa kututumua misuli achelewi kuwarusha mikoa mipya wakawe madiwani huko wasimtilie nuksi mipango yake bure!,

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Jason bourne

Mambo vp Kamanda wetu?

Tupe updates ya huyu M/kiti wa chama chama mafisadi mpaka hivi leo nasikia anakula bata Tokyo Japan.
 
Last edited by a moderator:
Yupo Singapore kaenda kunyoosha miguu
hivi hii ni route ya ngapi vile kwenye
kumbukumbu zake jamani maana
leo kaona Rasimu ya Katiba Mpya haina
lolote kwake bora safari.
 
Ameenda kuhudhuria birthday ya mtoto wa waziri mkuu
 
Tena huyu jamaa ni mara chache sana akawa na safari moja kwenda na kurudi. Mara nyingi huwa anaunganisha safari.
Marais wenzie walipotoka Ethiopia walirudi makwao.
Lakini hii ni hulka ya viongozi wengi waandamizi wa nchi hii hupenda sana posho za safari kuliko maantiki ya hizo safari.
Nadhani tungepata kujua safari za kina Ndullu n.k pale BoT tungeshangaa!
 
Anastahili kula kuku Jakaya kawafanyia watanganyika mambo makubwa hakuna rais yeyote aliyafikia haya kuwaletea identity yenu tena "Tanganyika" ama kweli historia inajirudia, uhuru wa Tanganyika kwa kiasi kikubwa ulikuwa na msukumo wa watu wa pwani, na leo mtoto wa watu wa pwani amerudisha tena uhuru wenu Tanganyika, Kikwete anastahili kupongezwa na ni Baba wa mabadiliko Tanzania, mwache ale kuku mpaka amalize muda wake, baada ya kukaa kumlaumu Jakaya jipangeni 2015 haiko mbali hamna hata draft ya katiba ya Tangayika shughulikieni mambo ya msingi ikifika 2015 muweze kusimama sio tena kuitegemea Zanzibar ambayo ina katiba yake, raisi wake, baraza la wawakilishi na mahakama yake, Tanganyika haina kitu zero ya sufuri.

Wazanzibari sasa wanajiandaa kuchagua watu watakaoingia katika commission ya mgawanyo wa mali zilizokuwa za jamhuri ya Muungano wa Tanzania na hasa zilizorithiwa kutoka East African Community, Watanganyika mna kazi kubwa mbele yenu, kwanza ni kuamua Lowasa awe Raisi wa Tanganyika au shirikisho, lakini mjue kwa kuanzia Rais wa kwanza wa shirikisho atatoka Zanzibar then ndio Tangayika maana hamjatulia, Mtwara inawashinda kuidhibiti mtaiweza Tanzania mpya, so ni Mzanzibari ndio Rais wa kwanza wa shirikisho, ili mpate muda Tangayika kushughulikia matatizo yenu ya ndani, Mtwara, Arusha, Iringa na kwengineko.
 
Hahaha hahaha mleta uzi Mungu akubariki sana!
 
Back
Top Bottom