Tangu zitolewe sababu zinazosababisha kiti cha rais wetu kisikalike kuwa ni kuitangaza Tanzania katika mataifa yaliyoendelea kana kwamba ni nchi mpya kama Sudan ya kusini ambayo inahitaji kukimbizana katika ulimwengu huu wa maendeleo, nimejiuliza mengi sana,
1. 1. Je, ni safari ngapi amefikisha hadi hivi sasa?
2. 2. Je, amewazidi nini akina Kagame, Kibaki, Mseven na Nkurunziza ambao safari zao zinahesabika?
3. 3. Je, safari hizo zimesaidia kukuza uchumi wetu na kuzipiku nchi jirani ambazo marais wake hawasafiri kama yeye?
4. 4. endeleza na wewe
Sina wivu ila ni haki yangu kujua matumizi ya kodi yangu.