kwanza asante kwa taarifa hii, lakini ndungu ebu tuchambulie hizo safari katika magroup, safari za kikazi ni ngapi ??, safari za binafsi ni ngapi ??? . pia hata wewe tupe historia ya safari zako ni ngapi tangia uhitimu miaka 18 mpaka leo hii ???
kwanii usiongelee historia yako ??? instead jumping to the opinion !!!!!!!. mimi naona rais yuko sahihi kabisa kwa kujiwekea hii historia, mbona watu wengine waliojiwekea historia ya maisha yao hawaongelewi hata kidogo .
kwanii usiongelee historia yako ??? instead jumping to the opinion !!!!!!!. mimi naona rais yuko sahihi kabisa kwa kujiwekea hii historia, mbona watu wengine waliojiwekea historia ya maisha yao hawaongelewi hata kidogo .