sosoliso
JF-Expert Member
- May 6, 2009
- 8,540
- 9,473
kati ya membe na mkuu wa kaya nani ana safari nyingi?
mkuu wa kaya anasafiri sana.. labda kama kutakuwa na document inayohitaji saini ya membe ndo atabebwa.. kama hii ya uk.. ilibidi na membe aende kwa ajili ya saini..