Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

safari ya 334 alikuwa msumbiji juzi pamoja na mambo mengine alikuwa anakutana na Rais wa malawi kujadili mgogolo wa mpaka kati ya Tz na Malawi
 
UPDATES.

SAFARI YA 335

Rais jakaya kikwete atatua Addis Ababa Ethiopia mda wowote kuanzia sasa kuhudhuria mazishi ya waziri mkuu wa nchi hiyo Melez Zenawi
 
Mh!... nikisema nitapigwa BAN, heri nilale tu!!.............
 
niliwahi kusoma kwenye cv yake sehemu anasema hobby zake ni kusafiri na kucheza basketball na ndio maana mkapa alimpa uwaziri wa mambo ya nje..acha aendeleze hobby yake mpaka 2015 atimue zake...nahisi itabidi ajiuguze ili kila mara awe anaenda nje kutibiwa..qaqaqaqaqaqqqqaaaaa


Wenzetu kule mbele huwa wanaangalia sana extra curricula activities, kwa sababu huwa zinaakisi sana tabia na mwenendo wa mtu. Tungejua kuwa 'anasafiri sana' nadhani tungefikiria mara mbili.
 
Mheshimiwa wa magogoni alisafiri kinyemela bila kutuaga waajili wake na kwenda Juba South Sudani kwenye birthday ya taifa hilo!
Hiyo ni safari ya 313 ta awe rais wa tz mwaka 2005

UPDATES

Mpaka leo tarehe 23/8/2011 tayari amesha safiri safari 315 tangu aingie magogoni octoba mwaka 2005
Hii ni rekodi ya kipekee duniani ambayo watz tunatakiwa kujivunia na kutembea kifua mbele maatako nyuma


UPDATES

Kesho tar 9/9/2011 rais atasafiri kuelekea Kenya kwa ziara ya kikazi
Hiyo ni safari ya 316 tangu rais aingie madarakani mwaka 2005!

UPDATES:

Safari ya 317 kwa rais wangu kipenzi!
ameenda marekani katika ufunguzi wa UNGA.vilevile atashiriki katika sherehe za kuazimisha maendeo yaliyofikiwa na nchi zinazo endelea.
wakati huo huo waziri mkuu pinda ametangaza kuwa serikali inakusudia kuongeza bei ya umeme kwa sababu tanesco inajiendesha kwa
hasara.mia

UPDATES
Safari ya 318 ya rais mwenye maajabu duniani!
JK anaondoka leo kuelekea Australia kwenye mkutano wa jumuiya ya madola...

UPDATES
Wakuu nimepata taarifa halisi za wastani wa gharama ya NAULI ya kila safari ya nje ambayo rais kikwete na ujumbe wake hutumia! Kwa mujibu wa vyanzo vyangu vya kuaminika toka wizara ya fedha,hazina na magogoni ni kuwa kila msafara hugharimu kadirio la juu milioni 300 na kadilio la chini ni milioni 250. Zingatieni hii ni NAULI ya ndege iende irudi tu!

Sasa hebu chambueni wenyewe ikulu inatumia kiasi gani kwa safari za rais?

UPDATES
16/12/2011
Safari ya 319, hivi sasa yupo nchi Uganda katika mkutano uitwao International Conference of Heads of State (ICGLR)


Rais wetu anazidi kujijengea heshima katika mkakati wake wa kuvunja rekodi ya dunia kwa kusafi hata ziara zenye kumtuma waziri, yeye anasafi tu ilimradi lengo litimie

Inashangaza sana kuona maraisi wenzake kwa kujali zaidi maslahi ya mataifa yao, hawakuona sababu za kuhudhuria sherehe za uhuru wa Tanganyika wakabaki na wengine kutuma wawakilishi tu, lakini jk hata kicheni pati akialikwa Urusi atasafiri bila kukosa.



UPDATES

Safari ya 320 ya Rais JK Ameenda Davos Kuikomboa Tanzania, acheni Kelele !
ambakoatahudhuria mikutano ya WEF na ule wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Afrika (AU)mjini Addis Ababa, Ethiopia atakapowasili Jumamosi, Januari 28, 2012

UPDATES:

SAFARI ya 321
ya Mh Rais Jakaya M. Kikwete, sasa leo anatua katika nchi ya Afrika kuhudhuria mkutano wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Afrika (AU) mjini Addis Ababa, Ethiopia atakapowasili leo Jumamosi, Januari 28, 2012

UPDATES: 21/2/2012

SAFARI ya 322,

Leo mheshimiwa Rais Jakaya M.Kikwete amesafiri kwenda Uingereza,hakuna sababu ya msingi inayompeleka huko japo kubwa ni kupangua Baraza la Mawaziri.

UPDATES: 24/2/2012
SAFARI YA 323,

Leo Rais mwenye maajabu duniani, mutu ya musoga, aka msafiri kafiri, anatua Botswana ikiwa ni mwendelezo wa safari zake za kikazi, huku nyumbani amecha mbwa wamepatwa na kichaa wanaua raia wanaomba haki yao ya kulindwa!

Inasikitisha, inashangaza aminini haya ndiyo ya FILAUNI.


UPDATES:


Safari ya 324!
15/04/2012 Rais Jakaya Kikwete ametua Brazili kwa ziara ya kikazi!

UPDATES:

SAFARI YA 325
Leo tarehe 22 rais Jakaya Kikwete amewasili Malawi kushiriki mazishi ya aliyekuwa rais wa Malawi Bingu wa Mtharika!

Raitba inasema atarudi tz tarehe 24




UPDATES:
Leo tarehe 9/5/2012
Safari ya 326 tangu mkuu wa nchi aingie madarakani!

Rais amewasili Addis Ababa Ethiopia KWA KONGAMANO LA UCHUMI LA KIMATAIFA KWA AFRICA!


UPDATES:
Safari yake ya 327
,
Rais Jakaya Kikwete yupo nchini Marekani tangu tarehe 16/5/2012 akisubiri kuhudhuria mkutano unaotarajiwa kufanyika tarehe 19/5/2012,

UPDATES

SAFARI YA 328:

Leo tarehe 1/7/2012

Rais wa Tanzania Mh Jakaya M. Kikwete na ujumbe wake wamesafiri mpaka Kigali Rwanda kuhudhuria sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa nchi hiyo!

Mungu ibariki Tanzania!


UPDATES:

SAFARI YA 329

Tarehe 2/7/2012

Rais Jakaya baada ya kutoka kuhudhuria sherehe za uhuru nchini Rwanda, ameunganisha kwenda nchini Burundi kuhudhurua sherehe za Uhuru wa nchi hiyo!


UPDATES

Tarehe 10/7/2012


Safari ya 330:

Hivi punde tumewasili nchini Uingereza,

Msafara wa mh rais Jakaya Kikwete umewasili Hyatt Regency London-The Churchill

Ziara hii imetufikisha hapa kwaajili ya mh rais kuhudhuria mkuta unaohusu mambo ya Family Plan!

UPDATES:

SAFARI YA 331


Tarehe 14, rais Jakaya Kikwete amewasili Mjini Addis Ababa Ethiopia kuhudhuria mkutano wa wakuu wa nchi za Umoja wa Afrika (AU),

UPDATES:

SAFARI YA 332.


Rais Jakaya Kikwete amewasili Kampala, Uganda,*kuhudhuria mkutano wa*nchi*za Maziwa Makuu asubuhi Agosti*8, 2012




UPDATES

SAFARI YA 333
.

Rais Jakaya Kikwete yupo nchni Ghana kuhudhuria msiba wa rais wa nchi hiyo.

UPDATES
SAFARI YA 334

Tarehe 16/8/2012 Rais JK alitua Maputo Msumbiji kuhudhuria mkutano wa wakuu wa Afrika,


UPDATES.

SAFARI YA 335

Rais jakaya kikwete atatua Addis Ababa Ethiopia mda wowote kuanzia sasa kuhudhuria mazishi ya waziri mkuu wa nchi hiyo Melez Zenawi

Sijaona ile ya kwenda kuhudhuria mkutano wa family planning marekani !
 
The most travelled president from african continent and probably world is...............
 
UPDATES.

SAFARI YA 335



Rais jakaya kikwete atua Addis Ababa Ethiopia leo kuhudhuria mazishi ya waziri mkuu wa nchi hiyo Melez Zenawi
 
Mngeweka na siku anazokaa huko ili akimaliza muhula wake tumkabidhi na invoice yake ya gharama alizo tusababishia na kumwambia kwanini tunaamini yeye hakuwahi kuwa rais bali waziri
 
Kikwete is one factor among many of why Tanzania is poor and an underveloped country.

Namaanisha ukiniambia nitaje sababu za umaskini wa nchi hii, Jakaya ni mojawapo. Of coz ccm is also another separate factor ironically.
 
I saw Obama's fanpage on FB anavyoshambuliwa kwa safari zake on tax payer's money and kuna wanaotetea na kupinga, pengine tujiulize tumefaidika na nini?

Hii ya JUBA Kenya wameenda wakiwa wamekamilika kwelikweli....

Je tunapata tija gani kama nchi kwa safari hizi ambazo kama kweli ni 313 means amekuwa nje almost the whole year! Ukiacha 28days za likizo...sasa wasting a year in 5yr reign is no small joke, his pace can only be beaten by Mugabe...

Nadhani ni muhimu kuzichambua na kuangalia faida husika kwa Tanzania...pengine ndio zimeleta ma investment ya ukweli kama Symbion Power
Hotuba yake ya kwanza BUNGENI usingetegemea mtu aliye pania kufanya mambo makubwa vile aishie kiongozi wa kwanza duniani kusafiri kwenda Nchi za nje huku nchi ikiwa mitafaruku kibao ya kijamii.AFRIKA BWANA HAINA TIBA.
 
Any chance of recovering our taxes/funds back? Kiranga, Msando please....
 
UPDATES.

SAFARI YA 335

Rais jakaya kikwete atua Addis Ababa Ethiopia leo kuhudhuria mazishi ya waziri mkuu wa nchi hiyo Melez Zenawi
Katika hali ya kawaida Safari hizi zinafaa kufanyiwa tathimini kama zinaumuhimu na kweli kulikuwa na haja ya Raisi kusafiri safari hizi zote.
Pili gharama zote za Safari hizi zinafaa kufanyiwa ukaguzi
Tatu waheshimiwa Wabunge lazima wafike mahali kuwawalikilisha wapiga kura wao kihalali kwa kutoa hoja ya kuleta utaratibu na kanuni zitakazo zingatiwa na Ikulu katika kufikia uamuzi wa Raisi kwenda Safari za nje ya Nchi.
Nne kwa vile tuko kwenye Mchakato wa Katiba mpya kuna umuhimu suala hili kuwa wazi Kwenye Katiba kwa kuweka mipaka ,sababu na kiwango cha Gharama kwa Safari ya kuanzia Raisi mpaka maofisa wengine kwenda nje ya Nchi kwa shughuli ya Kiserikali au shughuli yoyote itakayo kuwa ikigharamiwa kwa Pesa za walipa Kodi.

Mkuu JB kazi yako ni nzuri sana endelea kuiboresha kwa kuleta jumla ya masiku alizo kaa nje ya Nchi kwa Safari zote na wastani wa Gharama zilizotumika mpaka sasa.
 
Uongozi umshinde na kutumia kodi zenu pia ashindwe si atakuwa mjinga?
 
Duuuu, ama kweli huyu jamaa ni vasco dagama. Hivi kwa wastani, safari moja inaweza kugharimu kiasi gani?
Nukuu za mwezi wa nne walisema safari moja (kabla hajapunguza idadi ya maafsa alokuwa anasafiri nao) ilikuwa inagharimu Millioni mia tatu 300,000,000. Habari ndo hiyo!
 
Back
Top Bottom