Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,210
- 1,720
Mkuu Jason bourneupdate juu pilot kwa sasa yupo Muscat anakula tende kwa siku 3..itakuwa safari ya 337 kama sijampunguzia....
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna jamaa tayari ametaarifu jukwaa kwamba leo hii mkuu amegonga safari ya 337.
Kama taarifa hizi ni sahihi basi inamaana kiongozi huyu wa taifa letu masikini, lenye msingi wa kodi ya kuungaunga, atakua amebakisha safari nyingine kama 29 tu ili awe ametimiza mwaka mzima mawinguni.