Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Kama utapenda kupayuka machafu na kutusi hayo yanathibitisha shule ulohitimu na kitabu ulichosoma nk....... Tujenge Taifa pamoja tutafika (tusingoje Rais atufanyie).

Ukisoma kitabu hicho unakuwa mtembezi, hutulii, unavumilia ujinga na kugeuka gaidi?.
 
Kwa hisani ya mratibu wa safari za Jk aliyemo humu JF, je anaweza kutuletea kila safari na gharama zake pamoja na kundi la wapambe walioongozana nae?
 
Sasa nimeelewa kwanini una ID kama hiyo! Ila ibadilishe isomeke "Mind is short" maana kama mpaka sasa huoni wajibu wa Rais kwa wananchi wake na badala yake unadai (wananchi) tusingoje Rais atufanyie basi sioni ajabu kwa watu kama wewe kushabikia kuwa na Rais mzururaji kama huyu! Kama huoni haja ya Rais kufanya jambo kwa wananchi wake, kwa akili yako, Shule/Chuo ulichosoma na Kitabu ulichotumia unadhani ni kwanini Rais huchaguliwa? Au ni kwaajili ya kuzurura ughaibuni? AIBU hata kwa wazazi waliokuzaa!
Mkuu vipi bado hujaelimika kuwa na upeo yaani sinta kupa presha au kukukaripia we bado kijana ni haki yako kulalama nakuuguza njaa yako oh poor and short minded. PROTOCOL ya rais JK ni yakipekee hayo wewe huwezi kuyaona kutokana na hali yako. chukuwa maalumati haya hapo nchini kuna mabalozi wa nchi nyingi sasa fanya utafiti wako uaanze kumuulizia rais mmnamonaje na katunufaisha na nini? hapo ndiyo utajua msimamo wako kijana; ilikuwa mfaa njaa na muangamie katika taswira humu, Lakini badala ya kumshukuru rais Mchapa kazi eti mnamsakama Looh bughudhaa na chuki mlokuwanazo nyie hamufai ila kupata Dikteta wa mwisho barani Afrika. KumRadhi Mabao uliyokalia shuleni kwenu yalikuwa misaada ya Cofin (majeneza ya maiti)
Tujenge Taifa tusianze kutazama ya wenzetu.
 
Ukisoma kitabu hicho unakuwa mtembezi, hutulii, unavumilia ujinga na kugeuka gaidi?.
Vipi kaka umecha hav lunch, au tumbo tupu maana tubo tupu huacha kichwa bila busara, wasemavyo empty brain.
Rais JK ni mwaminifu na ana wasiliana na watu wenye uaminifu huko majuu (honourable people) watu wenye msimamo na maneno kauli lukuki kiutendaji kazi yake JK hutoijuwa wewe wataijua wenye nia nzuri na wenye kujituma kiuhakika, wewe upo kwa kutukana na kejeli kwa jamii wewe ni mpiga debe wa VICHAA hapo wewe ni bingwa!! fanya utafiti utajiona.
inuka tujenge nchi...kisomo ulichanacho sii cha kukupotezea mda. wengi wamenyimwa elimu lakini wapo kazini na wanwajibika. Tafadhali usichukie wala kupandisha ukweli unauma sana lakini kubali yenye mafao.
Keep up kijana jenga taifa haupo peke!! Good luck.
 
Huyu nae katokea wapi??? hahaahaha , zero brain...go mr president go, ...sasa basi ----- wako ulouliza mh rais JK alishakujibu kitambo hapa http://www.dailynews.co.tz/index.php/local-news/16415-kikwete-outlines-crucial-state-achievements
Mkuu jioni njema; Hapa mie nasikitika hawa wandugu sijui vipi, hivo mafunzo na elimu waliyo gharamikiwa na kunyanyuliwa
kiwango chao, la ajabu hawatumii akili kufikiri..kweli ni hasara iliyojee kweli hawa wataweza kujenga nchi au kuwajibika na kulipa fadhila ya kimaendeleo, Ni hasara mtupu kuwa na raia wa namna hii yani " matsusi na maneno machafu juu ya jamii ndiyo shahada ya usomi wao, chuki na fitina ndo imani zao, Uharibifu na mparaganyo ipo ndani ya nyoyo na itikadi zao.
Nashangaa sijui tutaishi na wajamaa na maswahiba hawa vipi. Mkuu hebu soma hoja zao na tazama mfululizo wa matamko yao ya kukatiza morali za wananchi na kuwapotezea mwelikeo. Wapo wapo Full nondo kulaumu na kupakiziya.
Kila la heri nchi itajengwa na wachapa kazi na tuzo lao ni development na maisha bora. haijalishi nani awe Rais tupo pamoja.
 
Ameleta vyandarua na wanyonyaji na kuwauzia taifa wachina na wamerekani.


Mkuu jioni njema; Hapa mie nawasikitika nyie wandugu sijui vipi, hivo mafunzo na elimu mliyo gharamiki na kunyanyulika
kiwango chenu, la ajabu hamutumii akili kufikiri..kweli ni hasara iliyojee kweli hawa wataweza kujenga nchi au kuwajibika na kulipa fadhila ya kimaendeleo, Ni hasara tupu kuwa na raia wa namna hii. yaani " matsusi na maneno machafu juu ya jamii ndiyo shahada ya usomi wenu, chuki na fitina ndo imani zenu, Uharibifu na mparaganyo ipo ndani ya nyoyo na itikadi zenu.
Nashangaa sijui tutaishi na wajamaa na maswahiba kamanyinyi vipi. Hebu musome hoja zenu na tazama mfululizo wa matamko yenu ya kukatiza morali za wananchi na kuwapotezea mwelikeo. Mpo Mapo tu Full nondo kulaumu na kupakiziya uongo na uhasidi.
Kwa kila la heri nchi hii itajengwa na wachapa kazi na tuzo lao ni development na maisha bora. haijalishi nani awe Rais. Atakaye kuja tutamuheshimu na kumuunga mkono kama alivyo kuwa rais JKwete tupo naye pamoja.
Songa mbele non-stop.
 
Vipi kaka umecha hav lunch, au tumbo tupu maana tubo tupu huacha kichwa bila busara, wasemavyo empty brain.
Rais JK ni mwaminifu na ana wasiliana na watu wenye uaminifu huko majuu (honourable people) watu wenye msimamo na maneno kauli lukuki kiutendaji kazi yake JK hutoijuwa wewe wataijua wenye nia nzuri na wenye kujituma kiuhakika, wewe upo kwa kutukana na kejeli kwa jamii wewe ni mpiga debe wa VICHAA hapo wewe ni bingwa!! fanya utafiti utajiona.
inuka tujenge nchi...kisomo ulichanacho sii cha kukupotezea mda. wengi wamenyimwa elimu lakini wapo kazini na wanwajibika. Tafadhali usichukie wala kupandisha ukweli unauma sana lakini kubali yenye mafao.
Keep up kijana jenga taifa haupo peke!! Good luck.

Suti za London vipi?!.. Twiga wetu wanaotoroshwa kia je?... Tembo wetu wanaouawa kila kukicha.. Wauaji kama Kamuhanda wanapandishwa vyeo kama pongezi nao pia ni UAMINIFU??????
 
Suti za London vipi?!.. Twiga wetu wanaotoroshwa kia je?... Tembo wetu wanaouawa kila kukicha.. Wauaji kama Kamuhanda wanapandishwa vyeo kama pongezi nao pia ni UAMINIFU??????
Za Asubuhi Tenende,
Mkuu mzima hapouilpo? nimekupata kifupi kuwa ulimwengu upo kama BIASHARA yaani mfanyabiashara huwekeza mfano Tsh.1000 akitegemea kupata rasilimali yake na faida zaidi.
Kuhusu wanyama walinunuliwa kihalali na walikuja bebwa mchana kweupe hapo hakuna shaka Petrodola zilipwa tasilimu!!
Mambo mengine ni porojo zetu wasawhili situnajijua!! mkuu mchana mwema tupo pamoja kusavayvu.
 
Duh kumbe zilishafikia 350!!! Basi safari ya 35....tufanye ya 360 ...anaelekea singapore
 
Za Asubuhi Tenende,
Mkuu mzima hapouilpo? nimekupata kifupi kuwa ulimwengu upo kama BIASHARA yaani mfanyabiashara huwekeza mfano Tsh.1000 akitegemea kupata rasilimali yake na faida zaidi.
Kuhusu wanyama walinunuliwa kihalali na walikuja bebwa mchana kweupe hapo hakuna shaka Petrodola zilipwa tasilimu!!
Mambo mengine ni porojo zetu wasawhili situnajijua!! mkuu mchana mwema tupo pamoja kusavayvu.

Nakuheshimu mkuu... Ila nasikitika kukuambia kwamba umesema uongo. Twiga walibebwa usiku. Ile ni dili ya wakubwa. Ndiyo maana walitimuliwa kazi watu wa ngazi za chini. Ingekuwa si wizi asingefukuzwa mtu yeyote. Bahati nzuri kazi zangu nafika mara kwa mara KIA.. Baadhi ya nyaraka hizo nimeziona.
 
Mkuu jioni njema; Hapa mie nasikitika hawa wandugu sijui vipi, hivo mafunzo na elimu waliyo gharamikiwa na kunyanyuliwa
kiwango chao, la ajabu hawatumii akili kufikiri..kweli ni hasara iliyojee kweli hawa wataweza kujenga nchi au kuwajibika na kulipa fadhila ya kimaendeleo, Ni hasara mtupu kuwa na raia wa namna hii yani " matsusi na maneno machafu juu ya jamii ndiyo shahada ya usomi wao, chuki na fitina ndo imani zao, Uharibifu na mparaganyo ipo ndani ya nyoyo na itikadi zao.
Nashangaa sijui tutaishi na wajamaa na maswahiba hawa vipi. Mkuu hebu soma hoja zao na tazama mfululizo wa matamko yao ya kukatiza morali za wananchi na kuwapotezea mwelikeo. Wapo wapo Full nondo kulaumu na kupakiziya.
Kila la heri nchi itajengwa na wachapa kazi na tuzo lao ni development na maisha bora. haijalishi nani awe Rais tupo pamoja.

Mimi hata sijakuelewa unamanisha nini ktk uzi wako huu. Yani wewe unamanisha kwamba watu wanaokosoa uongozi wa jk wana chuki, na fitina? Hapo hapo unasema nchi itajengwa na wenye moyo? Moyo upi huo unaousema? Na hao wachapa kazi unaowasema ni akina nani? Wafanyakazi ama?
wewe naona ndo unafaidi na huu utawala usiwalaumu wengine ambao hawaridhishwi nao.
 
Mimi hata sijakuelewa unamanisha nini ktk uzi wako huu. Yani wewe unamanisha kwamba watu wanaokosoa uongozi wa jk wana chuki, na fitina? Hapo hapo unasema nchi itajengwa na wenye moyo? Moyo upi huo unaousema? Na hao wachapa kazi unaowasema ni akina nani? Wafanyakazi ama?
wewe naona ndo unafaidi na huu utawala usiwalaumu wengine ambao hawaridhishwi nao.
jioni njema mkuu, mtu haambiwi nenda kazi kila siku,Ipasavyo huzinduka na kwenda kuwajibika bila kutazama Fulani au shetani ameamka auamekenda nayekazini yako yanyie kazi ya wengine waachie wenyewe .... hayo ndiyo ya muhimu Nchi/Taifa hali jengwi kwa kufuatana na kuchunguzana TOO MUCH... Tuwajibike kwa moyo wa kujituma... Afrka yote inalalama sana Asia inaendelea kutawala biashara zote Duniyani hatusikii lawama kama zetu... Bali wametufikia hadi hapa nasi tupo macho makavu tunapekuana na kuchunguzana..... Kazi ni Kazi. matokeo yatakuwa mazuri. Ujaaliwemema
 
Popote anakokwenda Rais, anaiwakilisha nchi na watu wake. Rais wa nchi anastahili heshima. Rais wetu kila anakokwenda anaambulia aibu. Kuna visa vingi sana, ila nitawapa mifano michache tu ya hivi karibuni.

-Waingereza walimdhalilisha na kutokumtaka kwao Soma hapa
-Uholanzi alipokelewa na Afisa wa ngazi ya chini
-Japan majuzi kaishia kuzunguka na maofisa wa ngazi wa chini kabisa.
-Huko huko Japan kaishia kufungua chekechea
-Baada ya kufika Japan, badala ya kwenda kwenye shuguli zilizompleleka, akabakia kuwaomba wakina Kigwangalla kumuwakilisha. Really Rais Kikwete?
-Singapore kapokelewa na mkurugenzi wa mambo ya nchi za nje.
-Marekani ambako kuna mvutano kati yake na viongozi wa juu, anajipokea mwenyewe

Ni lini rais kikwete licha kuiaibisha nchi, ataona ni muda muhafaka kukaa nyumbani kuilinda hadhi yake kimataifa. Kwani hata kwa majirani amenza kuonekana mtu asiye na akili timamu. Gazeti nchini Rwanda imemshmbulia, kumdhlilisha, imemtukana na imemuita "MDINI" kutokana na matamshi yake iliyoishtua dunia. Soma Hapa

Nadhani Rais anapofikia hatua ya kujidhalilisha, inabidi akae nchini akatulia. Kwani tunachokipata siyo misaada anayotafuta, bali aibu
 
Kuna siku hatapokelewa kabisa, ataishia kujilipia gharama za kukodi nyumba ya kulala wageni!
 
J.K ni chaguo la Mungu, ili yote yatimie ktk taifa hili Mungu akatupatia Jakaya
 
Back
Top Bottom